Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Misa ya Kumbukumbu ya Col. Clement Xavier Mwihava.

 Col. Clement Xavier Mwihava enzi ya uhai wake
Familia ya Mwihava inapenda kuwakaribisha nyote, kwenye misa ya kumbukumbu ya baba yao mpendwa. Col. Clement Xavier Mwihava (baba yao mzazi Cane Mwihava na Derick Mwihava) Aliye fariki Tanzania December 26, 2014Misa itafanyika Jumapili January 4, 2015.Kuanzia saa nane mchana (2pm) katika kanisa la St. Edwards Roman Catholic Church  Anuani ni 901 Poplar Grove St, Baltimore, MD 21216, USA
Kwa maelezo zaidi tafadhali wasiliana naCane Mwihava 301 806...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

MISA YA KUMBUKUMBU YA COL CLEMENT XAVIER MWIHAVA BALTIMORE, MARYLAND NCHINI MAREKANI

Picha ya Col. Clement Mwihava ikiwa mbele ya kanisa wakati wa misa.Padri Honest Munishi(kushoto) akisaidiwa na padri Filbert Tairo wakati wakiongoza misa ya kumbukumbu ya Col. Clement Mwhava iliyofanyika siku ya Jumampili Januari 4, 2015 katika kanisa la Katoliki la Mt. Edward lililopo Baltimore.Derek Mwihava akisoma somo la kwanza katika misa ya kumbukumbu ya mpendwa baba yao iliyofanyika Baltimore katika kanisa la Mt. Edward siku ya Jumapili Januari 4, 2015.Neema Tembele akisoma somo la...

 

10 years ago

Michuzi

MISA YA KUMBUKUMBU YA COL. CLEMENT XAVIER MWIHAVA BALTIOMORE, MARYLAND NCHINI MAREKANI

Picha ya Col. Clement Mwihava ikiwa mbele ya kanisa wakati wa misa.Padri Honest Munishi(kushoto) akisaidiwa na padri FilbertTairo wakati wakiongoza misa ya kumbukumbu ya Col. Clement Mwhava iliyofanyika siku ya Jumampili Januari 4, 2015 katika kanisa la Katoliki la Mt. Edward lililopo Baltimore.Derek Mwihava akisoma somo la kwanza katika misa ya kumbukumbu ya mpendwa baba yao iliyofanyika Baltimore katika kanisa la Mt. Edward siku ya Jumapili Januari 4, 2015.Neema Tembele akisoma somo la...

 

10 years ago

GPL

MISA YA KUKMBUKUMBU YA COL CLEMENT XAVIER MWIHAVA BALTIOMORE, MARYLAND NCHINI MAREKANI‏

Picha ya Col. Clement Mwihava ikiwa mbele ya kanisa wakati wa misa. Padri Honest Munishi(kushoto) akisaidiwa na padri FilbertTairo wakati wakiongoza misa ya kumbukumbu ya Col. Clement Mwhava iliyofanyika siku ya Jumampili Januari 4, 2015 katika kanisa la Katoliki la Mt. Edward lililopo Baltimore.…

 

10 years ago

Michuzi

KUMBUKUMBU NA MISA

Maria G. Mapango (IA) leo umetimiza miaka miwili tangu ulipoteuliwa na Baba wa Mbingumi. Daima tunakukumbuka mwanetu, mdogo wetu, 
Tunakuombea upunguziwe adhabu za kaburi na upatiwe mwanga wa milele.
Misa itafanyika leo tarehe 4 Machi, 2015 katika kanisa Mtakatifu Joseph jijini Dar es salaam, Saa 11.00 jioni

 

11 years ago

Michuzi

kumbukumbu na tangazo la misa

Mzee Alfredy Raphael Kiswaga Baba leo unatimiza miaka kumi na tano toka ulipotutoka. Mtoto wak Fredy Kiswaga, Kaka na dada pamoja na ndugu, jamaa, marafiki na majirani wanakukumbuka siku ya leo, huku wakiwa na imani kuwa japo kimwili haupo nao, lakini kimawazo na upendo viko pale pale.Siku ya Jumapili Oktoba 12, 2014  kutakuwa na misa ya kumbukumbukatika Kanisa Katoliki la Mwenge la Mt. Maximilian saa mbili asubuhi. Nyote mnakaribishwa kumkumbuka na kumuombea Mzee Alfredy Raphael...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Misa kumbukumbu ya Regia kesho

FAMILIA ya aliyekuwa Mbunge wa Viti Maalumu, Regia Mtema (CHADEMA), imeandaa misa takatifu ya kumbukumbu ya miaka miwili tangu afariki dunia Januari 14 mwaka 2011. Akizungumza na Tanzania Daima jana,...

 

10 years ago

Vijimambo

MISA YA KUMBUKUMBU DMV JUMAMOSI APRIL 11, 2015

Familia ya Stephen na Esther Msungu wanapenda kuwakaribisha kwenye misa ya kumbukumbu ya wapendwa wao baba yake Stephen Mzee Peter Dremus Msungu aliyefariki Tanzania February 20,2015, na kaka yake Esther, Gerald Arthur Natumwa aliyefariki Tanzania March 15,2015.Misa itafanyika April 11,2015 kuanzia saa 10 jioni (4) katika kanisa la St. Edward Roman Catholic Church.Anuani ya kanisa ni901 Poplar Grove StBaltimore Md 21216Kwa maelezo zaidi, unaweza wasiliana naStephen Msungu 240 476 9056.Esther...

 

10 years ago

Vijimambo

Misa ya kumbukumbu ya Marehemu Michael Ndaskoi Mlingi .

Familia ya Geraldine Ngowi na Grace Mlingi wa Silver Spring, MD inapenda kuwashukuru wote kwa kushiriki kwa njia moja au nyingine kwenye misa ya kumbukumbu ya maisha ya Michael Ndaskoi Mlingi .Michael Mlingi alikuwa baba mzazi wa Grace Mlingi na tulimpoteza mwezi wa machi mwaka huu.misa hiyo ilifanyika Jumamosi May 16th 2015 katika kanisa la Saint Edward Roman Catholic Church 901 Poplar Grove St, Baltimore, Maryland 21216



ibada ikiendelea
Ndugu Kenneth Mshiu (binamu wa marehemu) akisoma...

 

10 years ago

Vijimambo

MISA YA KUMBUKUMBU DMV LEO JUMAMOSI APRIL 11, 2015

Familia ya Stephen na Esther Msungu wanapenda kuwakaribisha kwenye misa ya kumbukumbu ya wapendwa wao baba yake Stephen Mzee Peter Dremus Msungu aliyefariki Tanzania February 20,2015, na kaka yake Esther, Gerald Arthur Natumwa aliyefariki Tanzania March 15,2015.Misa itafanyika April 11,2015 kuanzia saa 10 jioni (4) katika kanisa la St. Edward Roman Catholic Church.Anuani ya kanisa ni901 Poplar Grove StBaltimore Md 21216Kwa maelezo zaidi, unaweza wasiliana naStephen Msungu 240 476 9056.Esther...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani