Misikiti iliofungwa yafunguliwa Mombasa.
Misikiti minne iliofungwa na maafisa wa polisi wiki iliopita baada ya kuchukuliwa na vijana wenye itikadi kali za kiislamu hatimaye imefunguliwa.
Hatua ya kuifungua misikiti hiyo ya Minaa,Sakina,Musa na Swafaa inajiri baada ya siku mbili za mazungumzo kati ya viongozi wakuu wa kiislamu,wataalam na uongozi wa kaunti ya Mombasa.
Maelezo ya mazungumzo hayo yalioandaliwa na Gavana wa Mombasa Hassan Joho na kaunti kamishna Nelson Marwa yamefanywa kuwa siri.
Kabla ya misikiti hiyo kufunguliwa...
StarTV
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili27 Nov
Misikiti iliofungwa kufunguliwa Mombasa
10 years ago
BBCSwahili17 Nov
Msako mkali dhidi ya misikiti Mombasa
10 years ago
StarTV17 Nov
Msako mkali watembezwa dhidi ya misikiti Mombasa
Polisi nchini Kenya wanasema kuwa wamenasa maguruneti na silaha nyinginezo usiku wa kuamkia leo katika msako mkali walioanza kufanya dhidi ya misikiti inayodaiwa kutoa mafunzo ya itikadi kali za kidini mjini Mombasa pwani ya Kenya.
Mtu mmoja aliuawa na wengine zaidi ya 250 kukamatwa katika msako huo unaolenga misikiti inayosemekana kutoa mafunzo kusiana na harakati za wapiganaji wa kiisilamu wa Al Shabaab nchini Somalia.
Polisi wanadai kuwa misikiti hiyo ikiwemo Masjid Musa inatumika kwa...
9 years ago
BBCSwahili19 Nov
Misikiti ya Canada na US yakabiliwa na tishio
10 years ago
BBCSwahili27 Jun
Misikiti minane kufungwa Tunisia
10 years ago
BBCSwahili21 Mar
IS yakiri kushambulia misikiti Yemen
10 years ago
BBCSwahili18 Mar
Ni misikiti 19 pekee iliosalia CAR
11 years ago
BBCSwahili04 Feb
Serikali yaombwa kutofunga misikiti Kenya
10 years ago
Mtanzania30 Mar
Dar yaongoza kesi za misikiti, makanisa
Na Kulwa Karedia, Dar es Salaam
SERIKALI imesema kuna fukuto kubwa la kesi za misikiti na makanisa ambalo linaweza kusababisha uvunjivu wa amani kama hatua za haraka hazitachukuliwa na mamlaka zinazohusika hasa Mkoa wa Dar es Saalam.
Akizungumza na wahariri wa vyombo mbalimbali vya habari mjini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki iliyopita, Ofisa Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Usajili,Ufisili na Udhamini(RITA),Philip Saliboko alisema migogoro iliyopo sasa inatisha.
“Kuna fukuto kubwa kwenye kesi za...