Misikiti minane kufungwa Tunisia
Utawala nchini Tunisia unasema kuwa utafunga misikiti minane wiki moja inayokuja kwa madai kuwa inachochea ghasia.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili18 Dec
Drummond miaka minane kutoshiriki riadha
9 years ago
Mwananchi22 Dec
Blatter, Platini wafungiwa miaka minane
10 years ago
Mwananchi14 Feb
Bado miezi minane, ahadi zimeota mbawa
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-gZM9n_YJJdc/VBvbd46T0_I/AAAAAAAGkaI/QSWdJB8_MmM/s72-c/unnamed%2B(58).jpg)
LIBENEKE LA MJENGWABLOG LATIMIZA MIAKA MINANE LEO
![](http://1.bp.blogspot.com/-gZM9n_YJJdc/VBvbd46T0_I/AAAAAAAGkaI/QSWdJB8_MmM/s1600/unnamed%2B(58).jpg)
LEO ni Septemba 19, ni Siku ya Kuzaliwa Mtandao wa Mjengwablog.
Kwa mwanadamu, hakupaswi kuwapo na ukomo wa kujitahidi kufanya yalo mema kwa jamii yako.
Na katika kujitahidi kuyafanya yalo mema, basi, mwanadamu uwe tayari kukumbana na changamoto nyingi. Na kama ilivyo kwa maji ya mto, yanapokutana na mwamba, basi, kasi yake huongezeka maradufu.
Leo blogu yako hii ya Mjengwablog imetimiza miaka minane. Miaka minane si haba. Kwa mtoto, aweza kuwa darasa la Pili. Na kwetu wa...
11 years ago
Mwananchi15 Jan
Ariel Sharon: Mbabe aliyepigania maisha miaka minane
10 years ago
Mwananchi27 Mar
Miaka minane imepita: hatujui walipo Lemy na Zacharia(2)
10 years ago
Mwananchi16 Apr
Miili minane ya waliofariki dunia kwa radi yaagwa
10 years ago
Dewji Blog19 Sep
Happy Birthday Mjengwablog kwa kutimiza miaka minane na mzidi kusonga mbele!
Ndugu zangu,
LEO ni Septemba 19, ni Siku ya Kuzaliwa Mtandao wa Mjengwablog.
Kwa mwanadamu, hakupaswi kuwapo na ukomo wa kujitahidi kufanya yalo mema kwa jamii yako.
Na katika kujitahidi kuyafanya yalo mema, basi, mwanadamu uwe tayari kukumbana na changamoto nyingi. Na kama ilivyo kwa maji ya mto, yanapokutana na mwamba, basi, kasi yake huongezeka maradufu.
Leo blogu yako hii ya Mjengwablog imetimiza miaka minane. Miaka minane si haba. Kwa mtoto, aweza kuwa darasa la Pili. Na kwetu wa...
10 years ago
StarTV27 Nov
Misikiti iliofungwa yafunguliwa Mombasa.
Misikiti minne iliofungwa na maafisa wa polisi wiki iliopita baada ya kuchukuliwa na vijana wenye itikadi kali za kiislamu hatimaye imefunguliwa.
Hatua ya kuifungua misikiti hiyo ya Minaa,Sakina,Musa na Swafaa inajiri baada ya siku mbili za mazungumzo kati ya viongozi wakuu wa kiislamu,wataalam na uongozi wa kaunti ya Mombasa.
Maelezo ya mazungumzo hayo yalioandaliwa na Gavana wa Mombasa Hassan Joho na kaunti kamishna Nelson Marwa yamefanywa kuwa siri.
Kabla ya misikiti hiyo kufunguliwa...