Bado miezi minane, ahadi zimeota mbawa
Kila unapofanyika Uchaguzi Mkuu nchini idadi kubwa ya wabunge huwa hawarudi bungeni, kwa maana ya kushindwa kwa kura katika uchaguzi huo ama kutopitishwa na vyama vyao kugombea tena nafasi hiyo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo21 May
Miaka 19 ya ajali Mv. Bukoba: Usafiri bado wa kubahatisha, Ahadi ya Rais kikwete haijatekelezwa.
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/MV%20Bukoba-21May2015.jpg)
Ni kawaida kwa nchi yeyote kama ilivyo kwa watu binafsi, kuwa na utaratibu wa kuadhimisha matukio yaliyo muhimu katika historia ama maisha ya nchi zao, watu binafsi, jumuiya au taasisi.
Kwa ujumla, sherehe ama maadhimisho ya matukio ya aina hiyo muhimu, huweza kufanyika kwa namna mbili.
Kufanya kumbukumbu ya tukio au matukio ya furaha kwa upande mmoja, ama kumbukumbu ya tukio au matukio ya huzuni kwa...
9 years ago
Mwananchi04 Oct
KONA YA MAKENGEZA : Ahadi za nani zitatufikisha kwenye nchi ya ahadi?
Ama kweli, mwaka wa uchaguzi ni mwaka wa uchafuzi. Nimesema mara nyingi kwamba wanasiasa huwa wanajiona miungu kabisa. Wakiona kitu, wanasema, na iwe, ikawa jioni, ikawa asubuhi siku ya kwanza. Ni sawa. Hasa katika mwaka wa uchafuzi. Hawasubiri hadi hata asubuhi, ikawa jioni ikawa usiku mambo yote yatakuwa sawa na mbinguni.
10 years ago
Mwananchi20 Oct
Ahadi, ahadi sasa zimetosha kwenye klabu
Kuna msemo unaosema “miluzi mingi humpoteza mbwaâ€. Kwamba mbwa anayeongozwa na miluzi kufanya jambo fulani, anaweza kushindwa kutekeleza maelekezo ya bosi wake iwapo miluzi itazidishwa.
10 years ago
BBCSwahili27 Jun
Misikiti minane kufungwa Tunisia
Utawala nchini Tunisia unasema kuwa utafunga misikiti minane wiki moja inayokuja kwa madai kuwa inachochea ghasia.
9 years ago
Mwananchi22 Dec
Blatter, Platini wafungiwa miaka minane
Rais wa Shirikisho la Soka la Kimataifa (Fifa), Sepp Blatter na Rais wa Shirikisho la Soka Barani la Ulaya, Michel Platini wamefungiwa kutojihusisha na shughuli za soka kwa miaka minane kutokana na uchunguzi maalumu uliofanywa na Kamati ya Maadili ya Fifa. Baada ya uchunguzi huo walikutwa na hatia rushwa ya kutoa na kupokea rushwa inayokadiliwa kuwa Pauni 1.3 milioni za ‘malipo hewa’ yaliyofanywa na Fifa yakihizinishwa na Blatter kwenda kwa Platini mwaka 2011.
10 years ago
BBCSwahili18 Dec
Drummond miaka minane kutoshiriki riadha
Drummond ni Mkufunzi wa Mkimbiaji Tayson Gay, afungiwa miaka minane
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-gZM9n_YJJdc/VBvbd46T0_I/AAAAAAAGkaI/QSWdJB8_MmM/s72-c/unnamed%2B(58).jpg)
LIBENEKE LA MJENGWABLOG LATIMIZA MIAKA MINANE LEO
![](http://1.bp.blogspot.com/-gZM9n_YJJdc/VBvbd46T0_I/AAAAAAAGkaI/QSWdJB8_MmM/s1600/unnamed%2B(58).jpg)
LEO ni Septemba 19, ni Siku ya Kuzaliwa Mtandao wa Mjengwablog.
Kwa mwanadamu, hakupaswi kuwapo na ukomo wa kujitahidi kufanya yalo mema kwa jamii yako.
Na katika kujitahidi kuyafanya yalo mema, basi, mwanadamu uwe tayari kukumbana na changamoto nyingi. Na kama ilivyo kwa maji ya mto, yanapokutana na mwamba, basi, kasi yake huongezeka maradufu.
Leo blogu yako hii ya Mjengwablog imetimiza miaka minane. Miaka minane si haba. Kwa mtoto, aweza kuwa darasa la Pili. Na kwetu wa...
10 years ago
Tanzania Daima30 Aug
Uraia pacha waota mbawa
MATUMAINI ya Watanzania waishio nje ya nchi kupata uraia pacha yameota mbawa baada ya serikali kuweka bayana kuna athari kubwa za kiusalama. Licha ya sababu hiyo ya serikali kutotaka liwemo...
11 years ago
Mwananchi15 Jan
Ariel Sharon: Mbabe aliyepigania maisha miaka minane
>Sharon amefikwa na mauti akiwa na umri wa miaka 85 baada ya kuugua kiharusi tangu mwaka 2006, wakati huo akiwa kwenye kilele cha maisha yake ya kisiasa.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania