Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Misri waisaidia Muhimbili vifaatiba

Idadi ya wagonjwa wanaohitaji huduma ya upasuaji katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili huenda ikapungua baada ya hospitali hiyo kupewa vifaa tiba kutoka Serikali ya Misri vitakavyotumika kutoa matibabu kwa wingi na haraka.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

Wahitimu Shule ya Msingi Muhimbili Waisaidia Shule Yao

Mwenyekiti wa umoja wa wanafunzi wahitimu wa darasa la saba Shule ya Msingi Muhimbili Mwaka 1988, Bi. Usia Nkhoma Ledama akizungumza. Mwenyekiti wa umoja wa wanafunzi wahitimu wa darasa la saba Shule ya Msingi Muhimbili Mwaka 1988, Bi. Usia Nkhoma Ledama akionesha sehemu ya msaada wa viti na meza na ofisi iliyokarabatiwa na umoja wao. Mkuu wa Shule ya Msingi Muhimbili wa sasa, Dafrossa Asenga (katikati) akizungumza kuwakaribisha wageni katika hafla ya kukabidhiwa msaada wa viti na meza...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Misri yaleta vifaa tiba, madaktari Muhimbili

SERIKALI ya Misri imetoa msaada wa vifaa tiba vyenye thamani ya sh milioni 400 katika Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) na kuahidi kuleta madaktari kubadilishana uzoefu. Akizungumza katika hafla fupi...

 

11 years ago

Mwananchi

NMB yasaidia vifaatiba Amana, MNH

Benki ya NMB imetoa misaada ya vifaatiba mbalimbali kwa Hospitali za Amana na Muhimbili(MNH), ikiwa ni sehemu ya shamrashamra za ufunguzi wa tawi jipya la benki hiyo lililopo,Barabara ya Mandela, Dar es Salaam.

 

10 years ago

Mwananchi

Uhaba vifaatiba waitikisa benki ya damu Tanzania

 Uhaba wa dawa na vifaatiba umeitikisa ‘Benki ya Damu Tanzania’, kwani haina vitendanishi (reagents) vya kutosha kwa ajili ya kupima usalama wa damu inayokusanywa kutoka wachangiaji mbalimbali na Mpango wa Taifa wa Damu Salama (NBTS).

 

10 years ago

Habarileo

Wanawake Afrika waisaidia Tanzania kukabili saratani

CHAMA cha Wanawake wa Afrika na Uelewa wa Saratani (AWCAA) kimemkabidhi mke wa Rais, Mama Salma Kikwete mashine moja ya Mammogram, ambayo inatumika kupima ugonjwa wa saratani ya matiti, yenye thamani ya zaidi dola za Marekani 200,000 (Sh milioni 320).

 

5 years ago

Michuzi

Wafanyakazi wa Benki ya NMB Waisaidia Hospitali ya Ocean Road

Benki ya NMB wakati wote inaamini katika kugusa na kubadili maisha ya wanajamii, ushiriki wa Wafanyakazi katika programu za kuisaidia jamii umeongezeka maradufu ukichangiwa zaidi na ari waliyonayo kutaka kupunguza changamoto na kero zilizopo kwenye jamii inayowazunguka na wanayoihudumia.Kaimu Meneja wa NMB Kanda ya Dar es Salaam, Seka Urio (kushoto) akimkabidhi vifaa vya Hospitali Kaimu Mkurugenzi wa Tiba wa Taasisi ya Ocean Road , Dk. Asafu Munema ikiwa ni michango ya wafanyakazi wa Benki...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani