Uhaba vifaatiba waitikisa benki ya damu Tanzania
 Uhaba wa dawa na vifaatiba umeitikisa ‘Benki ya Damu Tanzania’, kwani haina vitendanishi (reagents) vya kutosha kwa ajili ya kupima usalama wa damu inayokusanywa kutoka wachangiaji mbalimbali na Mpango wa Taifa wa Damu Salama (NBTS).
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima28 May
‘Tanzania ina uhaba mkubwa wa damu’
TANZANIA inakabiliwa na uhaba mkubwa wa damu katika hospitali na vituo vya afya ambapo mahitaji ya mwaka ni chupa 400,000 lakini zinazopatikana ni 160,000. Uhaba huo umebainishwa jana jijini Dar...
11 years ago
Dewji Blog12 Jun
Wafanyakazi wa Benki ya Barclays wajitolea Damu kuadhimisha siku ya Damu Duniani
Mfanyakazi wa Benki ya Barclays Tanzania, Agnes Mushi akijitolea damu ikiwa ni sehemu ya matukio ya benki hiyo kuadhimisha Siku ya Damu Duniani inayotarajiwa kuadhimishwa kesho. Hafla hiyo ilifanyika jijini Dar es Salaam jana. Anayemtoa ni Mtaalamu wa kutoa damu kutoka kitengo cha Damu Salama, Judith Goshashy.
Wafanyakazi wa Benki ya Barclays Tanzania, Marcy Mwakajwanga na Kassim Kanyamara (kulia) wakijitolea damu ikiwa ni sehemu ya matukio ya benki hiyo kuadhimisha Siku ya Damu Duniani...
11 years ago
GPL![](http://1.bp.blogspot.com/-EYXbjlLREWo/U5vgEQs9ECI/AAAAAAACjZM/ewbmg7rMYIo/s1600/EXIM+BLOOD+PIX+1.jpg)
BENKI YA EXIM YACHANGIA DAMU KUADHIMISHA SIKU YA UCHANGIAJI DAMU DUNIANI JUNI 14, 2014
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/---fnEB9MwfU/VX6cT_ZV_4I/AAAAAAAC6rg/G08Xq8b7HEA/s72-c/unnamed.jpg)
BENKI YA EXIM YACHANGIA DAMU KUADHIMISHA SIKU YA KUCHANGIA DAMU DUNIANI. DAR ES SALAAM: JUNE 14, 2015
![](http://4.bp.blogspot.com/---fnEB9MwfU/VX6cT_ZV_4I/AAAAAAAC6rg/G08Xq8b7HEA/s640/unnamed.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-IRxgF1BsE_U/VX6UusV8zuI/AAAAAAAC6qo/te0Vu82P4GA/s640/Exim%2BPicture%2B2.jpg)
10 years ago
Mtanzania12 May
Muhimbili yakumbwa na uhaba wa damu
NA TUNU NASSOR , DAR ES SALAAM
HOSPITALI ya Taifa Muhimbili (MNH) imekumbwa na uhaba wa damu hali ambayo imeulazimu uongozi wa hospitali hiyo kuomba msaada wa dharura kwa Serikali na watu binafsi.
Uongozi huo pia umewaomba Watanzania, mashirika ya umma, makampuni na watu binafsi kujitokeza kusaidia kuchangia damu kuokoa maisha ya wagonjwa wanaopelekwa katika hospitali hiyo.
Taarifa iliyotolewa jana na Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano na Huduma kwa Wateja, Aminiel Aligaesha, ilieleza kuwa kwa...
11 years ago
Tanzania Daima28 May
Uhaba wa damu usifumbiwe macho
MOJA ya taarifa zilizopo kwenye gazeti hili ni uhaba mkubwa wa damu katika hospitali na vituo vya afya, ambapo mahitaji ya mwaka ni chupa 400,000 lakini zinazopatikana ni 160,000. Kwa...
9 years ago
Mtanzania28 Dec
Uhaba wa damu waikumba Mount Meru
Na Mwandishi Wetu, Arusha
HOSPITALI ya Mkoa wa Arusha, Mount Meru, inakabiliwa na upungufu mkubwa wa damu salama kwa ajili ya kuokoa maisha ya wagonjwa wanaohitaji damu hospitalini hapo.
Kauli hiyo ilitolewa mwishoni mwa wiki na Mganga Mkuu wa Hospital ya Mkoa wa Arusha, Dk. Frida Mokiti, alipokuwa akizungumza katika kikao cha Kamati ya Maafa ya Mkoa, ambapo alisema hospitali hiyo inahitaji uniti 1560 za damu salama, waka akiba ya damu salama iliyopo ni uniti 40 .
Kutokana na upungufu...
5 years ago
BBCSwahili17 Feb
Ni kwa nini Kenya inakabiliwa na uhaba mkubwa wa damu?
11 years ago
GPLMPANGO WA TAIFA WA DAMU SALAMA -TANZANIA CHANGIA DAMU OKOA MAISHA