Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Misri yaandaa mkutano wa Gaza

Wawakilishi wa nchi kadha watarajiwa Misri kujadili pendekezo jipya la Misri la kusitisha mapigano Gaza

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Somalia yaandaa mkutano wa IGAD

Mawaziri wa mataifa ya Afrika mashariki wamekamilisha mkutano wao wa kihistoria katika mji mkuu wa Somali Mogadishu.

 

10 years ago

Habarileo

Taasisi yaandaa mkutano wa kimataifa wa maendeleo

Waziri wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Dk Harrison Mwakyembe TAASISI ya Kimataifa inayojishughulisha na Usafirishaji, Uchukuzi na Uhudumiaji wa Bidhaa (CILT Africa) imeandaa Mkutano wa Kimataifa utakaowashirikisha wadau kutoka mataifa mbalimbali duniani utakaojadili masuala mbalimbali ya maendeleo na kufanyika jijini Arusha.

 

10 years ago

Michuzi

WAMA YAANDAA MKUTANO WA SARATANI YA SHINGO YA KIZAZI NA MATITI KWA AKINA MAMA AFRIKA MASHARIKI

Mkurugenzi wa Afya katika Taasisi ya Wanawake na Maendeleo, WAMA, Dkt. Sarah Maongezi akiongea wakaati wa ufunguzi wa mkutano wa uragibishi wa saratani ya shingo ya kizazi na matiti kwa akina mama unaofanyika Hoteli ya Courtyard hapa Da es Salaam tarehe 11.9.2014.Dkt. Williama Kafura akifungua rasmi mkutano wa uragibishi wa saratani ya mlango wa kizazi na matiti kwa niaba ya Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii kwa akina mama katika nchi za Afrika Mashariki. Katibu wa Taasisi ya Wanawake na...

 

10 years ago

Vijimambo

MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AIWAKILISHA TANZANIA KATIKA MKUTANO WA KIUCHUMI NA MAENDELEO WA MISRI (EGYPT THE FUTURE).

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, (katikati) akiwa na baadhi ya viongozi kutoka mataifa mbalimbali wakati akiwa katika mkutano wa Kiuchumi na maendeleo wa Misri, uliofunguliwa jana Machi 13, 2015 na Rais wa Misri, Abdel-Fattah El- Sisi, mjini Sharm El-Sheikh, Misri.Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akihutubia katika mkutano wa Kiuchumi na maendeleo wa Misri, uliofunguliwa jana Machi 13, 2015 na Rais wa...

 

10 years ago

Michuzi

MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AWASILI SHARM EL SHEIKH KUHUDHURIA MKUTANO WA KIMATAIFA KUHUSU MAENDELE NA UCHUMI WA NCHI YA MISRI

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisalimiana na Waziri Mkuu wa Misri, Ebrahim Mehlep, wakati alipowasili kwenye Uwanja wa ndege wa Sharm El- Sheikh, kwa ajili ya kuhudhuria Mkutano wa Kimataifa kuhusu maendeleo na Uchumi wa nchini Misri. Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akiongozana na mwenyeji wake, Waziri Mkuu wa Misri, Ebrahim Mehlep, wakati alipowasili kwenye Uwanja wa ndege wa Sharm El- Sheikh,...

 

10 years ago

Vijimambo

MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AWASILI SHARM EL SHEIKH KUHUDHURIA MKUTANO WA KIMATAIFA KUHUSU MAENDELE NA UCHUMI WA NCHI YA CAIRO MISRI

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisalimiana na Waziri Mkuu wa Misri, Ebrahim Mehlep, wakati alipowasili kwenye Uwanja wa ndege wa Sharm El- Sheikh, kwa ajili ya kuhudhuria Mkutano wa Kimataifa kuhusu maendeleo na Uchumi wa nchini Misri.Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akiongozana na mwenyeji wake, Waziri Mkuu wa Misri, Ebrahim Mehlep, wakati alipowasili kwenye Uwanja wa ndege wa Sharm El- Sheikh,...

 

10 years ago

Mtanzania

Indonesia yaandaa mafunzo

NA TUNU NASSOR, DAR ES SALAAM
INDONESIA imeandaa mafunzo ya kilimo kwa maofisa kilimo wa nchi za Afrika na Mashariki ya Kati yanayolenga kuwajengea uwezo katika kutekeleza majukumu yao.
Akizungumza katika ufunguzi wa mafunzo hayo Dar es Salaam jana , Mkurugenzi Mkuu wa Mawasiliano na Diplomasia ya Umma katika Wizara ya Mambo ya Nje ya Indonesia, Esti Andayani alisema nchi hiyo imeandaa mafunzo yanayofanyika Mei 17 hadi 23 mwaka huu huko Mkindo, mkoani Morogoro.
Mafunzo hayo yamejikita katika...

 

10 years ago

BBCSwahili

Gaza yaahidiwa mamilioni

Wafadhili mjini Cairo wameahidi kutoa dola za kimarekani bilioni tano nukta nne kwa Gaza.

 

11 years ago

BBCSwahili

Mazungumzo ya Gaza yasusiwa

Israil na Marekani hazitohudhuria mazungumzo ya kujadili usitishwaji wa mapigano Gaza na hakuna matumaini ya suluhu

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani