Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Somalia yaandaa mkutano wa IGAD

Mawaziri wa mataifa ya Afrika mashariki wamekamilisha mkutano wao wa kihistoria katika mji mkuu wa Somali Mogadishu.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Misri yaandaa mkutano wa Gaza

Wawakilishi wa nchi kadha watarajiwa Misri kujadili pendekezo jipya la Misri la kusitisha mapigano Gaza

 

10 years ago

Habarileo

Taasisi yaandaa mkutano wa kimataifa wa maendeleo

Waziri wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Dk Harrison Mwakyembe TAASISI ya Kimataifa inayojishughulisha na Usafirishaji, Uchukuzi na Uhudumiaji wa Bidhaa (CILT Africa) imeandaa Mkutano wa Kimataifa utakaowashirikisha wadau kutoka mataifa mbalimbali duniani utakaojadili masuala mbalimbali ya maendeleo na kufanyika jijini Arusha.

 

10 years ago

Michuzi

WAMA YAANDAA MKUTANO WA SARATANI YA SHINGO YA KIZAZI NA MATITI KWA AKINA MAMA AFRIKA MASHARIKI

Mkurugenzi wa Afya katika Taasisi ya Wanawake na Maendeleo, WAMA, Dkt. Sarah Maongezi akiongea wakaati wa ufunguzi wa mkutano wa uragibishi wa saratani ya shingo ya kizazi na matiti kwa akina mama unaofanyika Hoteli ya Courtyard hapa Da es Salaam tarehe 11.9.2014.Dkt. Williama Kafura akifungua rasmi mkutano wa uragibishi wa saratani ya mlango wa kizazi na matiti kwa niaba ya Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii kwa akina mama katika nchi za Afrika Mashariki. Katibu wa Taasisi ya Wanawake na...

 

10 years ago

Led South Sudan Peace Talks Delayed Again

IGAD


Radio Tamazuj
IGAD-led South Sudan peace talks delayed again
Radio Tamazuj
South Sudan's formal peace process facilitated by the East African Inter-Governmental Authority on Development (IGAD) continues to be put on hold. After an adjournment for 'consultations,' the peace negotiations were initially scheduled to resume on 16 ...
South Sudanese Factions Meet for Peace TalksteleSUR English
Tanzanian leader meets S. Sudan rivalswww.worldbulletin.net
Warring S.Sudan leaders accept 'responsibility'...

 

10 years ago

BBCSwahili

IGAD yajadili Sudan Kusini

Marais wa Igad wanajadili mzozo nchini Sudan Kusini uliodumu kwa zaidi ya miezi saba sasa.

 

11 years ago

BBCSwahili

IGAD:Waangalizi kwenda S. Kusini

Shirika la kikanda la IGAD, limeamua kuwa waangalizi wanapaswa kwenda nchini Sudan Kusini kuhakikisha kuwa mkataba wa kusitisha mapiganop unatekelezwa.

 

11 years ago

BBCSwahili

IGAD kupatanisha mahasimu Sudan.K

Viongozi wa IGAD wanakutana kwa kikao maalum mjini Adis Ababa nchini Ethiopia kujadili mzozo wa kisiasa unaokumba taifa la Sudan Kusini.

 

11 years ago

BBCSwahili

IGAD kupeleka wanajeshi S. Kusini

Mataifa ya Afrika Mashariki yameidhinisha kupelekwa kikosi cha wanajeshi 5,500 nchini Sudan Kusini ili kumaliza mgogoro wa kisiasa ambao umekuwa ukiendelea kwa wiki kadhaa sasa.

 

10 years ago

BBCSwahili

IGAD yaipa S-Sudan wiki mbili.

Jumuia ya Pembe ya Afrika yataka vita vimalizwe Sudan Kusini katika siku 15 zijazo la sivyo nchi itawekewa vikwazo

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani