Miss Ilala 2013 Dorice Mollel atembelea kampuni ya RIELA Ujerumani
Bw. Karl Heinz Knoop akielezea historia fupi kuhusu kampuni yake kwa wanafunzi wa Chuo cha kumbukumbu ya Mwl. Nyerere akiwemo Miss Ilala 2013 Dorice Mollel wanaoshiriki program ya mwezi mmoja nchini Ujerumani.
Miss Ilala 2013 Dorice Mollel (kushoto pichani) akiwa kwenye program ya mwezi mmoja, na wenzake 8 kutoka Chuo cha kumbukumbu ya Mwl. Nyerere ambapo wamepata nafasi ya kwenda kutembelea Kiwanda cha Kilimo kilichoanzishwa mwaka 1972 ambacho kinamilikiwa na Bw. Karl Heinz Knoop ,...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi14 Aug
MISS ILALA 2013 DORICE MOLLEL ATEMBELEA KAMPUNI YA KUTENGENEZA UMEME WA GESI NA KUTUNZA MAZAO RIELA NCHINI UJERUMANI
![photo](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/08/photo.jpg)
Miss Ilala 2013 Dorice Mollel (kushoto pichani) akiwa kwenye program ya mwezi mmoja, na wenzake 8 kutoka Chuo cha kumbukumbu ya Mwl. Nyerere ambapo wamepata nafasi ya kwenda kutembelea Kiwanda cha Kilimo kilichoanzishwa mwaka 1972 ambacho kinamilikiwa na Bw. Karl Heinz Knoop...
10 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/08/photo.jpg?width=650)
MISS ILALA 2013 DORICE MOLLEL ATEMBELEA KAMPUNI YA KUTENGENEZA UMEME WA GESI NA KUTUNZA MAZAO RIELA NCHINI UJERUMANI
10 years ago
Dewji Blog18 Aug
Miss Kanda ya Kati Dorice Mollel akutana na Balozi wa Tanzania nchini Ujerumani
Miss Kanda ya Kati Dorice Mollel katika picha ya pamoja na Balozi wa Tanzania nchini Ujerumani Mhe Philip Marmo nje jengo la ubalozi wa Tanzania jijini Berlin alipotembelea ubalozi huu akiwa kwenye program ya mwezi mmoja, na wenzake 8 (hawapo pichani) kutoka Chuo cha kumbukumbu ya Mwl. Nyerere.
Baada ya kutembelea ofisi za ubalozi wa Tanzania jijini Berlin, Mhe. Marmo aliwaelezea historia ya ushirikiano baina ya Ujerumani na Tanzania ambapo nchi hiyo imekuwa miongoni mwa wadau wa maendeleo...
11 years ago
Dewji Blog14 Apr
Miss Ilala 2013 Doris Mollel akabidhi vitabu 50 shule ya msingi Pugu Dar
Miss Ilala 2013, Doris Mollel ijumaa ya wiki iliyopita alitembelea shule ya msingi Pugu jijini Dar es Salaam na kukabidhi vitabu 50 za hadithi kwa wanafunzi wa shule hiyo katika harakati zake binafsi za kuwajengea wanafunzi na watoto utamaduni na tabia ya kujisomea kwenye umri mdogo.
Miss Ilala huyo wa mwaka 2013 alitumia nafasi hiyo kuwahamasisha wanafunzi kujisomea kama ufunguo wa maisha yao ya baadaye.
Miss Ilala 2013, Doris Mollel, akisaini kitabu cha wageni baada ya kutembea shule...
10 years ago
Dewji Blog04 Jan
Miss Singida 2014 Dorice Mollel atoa msaada wa vifaa tiba kwa wodi ya watoto njiti
Miss Singida 2014 Dorice Mollel akizungumza muda mfupi kabla ya kukabidhi vifaa tiba vyenye thamani ya zaidi ya shilingi 1.2 milioni kwenye wodi ya watoto njiti ya hospitali ya mkoa mjini Singida. Miss Singida huyo ambaye mwaka jana alikuwa pia mshindi wa kwanza Miss kanda ya kati na kushika nafasi ya tatu katika shindano la kumsaka Miss Tanzania, amesema ametoa msaada huo kwa sababu na yeye alizaliwa mapacha njiti.
Na Nathaniel Limu, Singida
JUMLA ya watoto 284 hadi 300, huzaliwa kila...
10 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/01/DSC03176.jpg)
MISS SINGIDA 2014 DORICE MOLLEL ATOA MSAADA WA VIFAA TIBA KWA WODI YA WATOTO NJITI
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-pQ33IrYYY8w/VXWnImfB6TI/AAAAAAAHdB4/TgBsRyunhzE/s72-c/unnamedccc.jpg)
Dorice Mollel Foundation yasaidia yatima jijini dar
![](http://4.bp.blogspot.com/-pQ33IrYYY8w/VXWnImfB6TI/AAAAAAAHdB4/TgBsRyunhzE/s640/unnamedccc.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-qCb_XEnaDrk/VIKegTT3r2I/AAAAAAAG1fo/NPBiG0QuCZ0/s72-c/unnamed%2B(12).jpg)
Miss Tanzania 2013 Happiness Watimanya at the Miss World in London
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/rkFK1BYzsGhfFZFGY-ZOvR0kkM-AHVwvGWmmBdj3Ku19CBsbiwPRseS8xP9Gj7GZVIZEkM-uyUMfNSWdlQ0xiqw4qF2rGm2i/MISS1.jpg?width=650)
MISS TANZANIA 2013 JETS INTO LONDON TO FOR THE MISS WORLD PAGEANT