Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MJENO WA BARAZA LA WAWAKILISHI LINALOSHAHABIANA NA MJENGO WA CAPITOL HILL NCHINI MAREKANI

Mjengo wa baraza la wawakilishi ZanzanibarMjengo wa Capitol Hill Washington, DC nchini Marekani

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

BABY SHOWER YA PRISCA CAPITOL HEIGHTS, MARYLAND NCHINI MAREKANI

Prisca na Elius wakiwa katika picha ya pamoja na watoto katika sherehe ya utarajio ya mapacha ya Prisca iliyofanyika siku ya Jumamosi Januari 31, 2015 Capitol Heights, Maryland nchini Marekani na kuhudhuriwa na ndugu, jamaa na marafiki.Prisca na Elius wakipokea zawadi kwenye sherehe ya utarajio ya mapacha ya Prisca iliyofanyika siku ya Jumamosi Januari 31, 2015 Capitol Heights, Maryland.Elius na Prisca wakipata chakula.Prisca akipata ukodak moment na wageni wake.Watoto wakitoa baraka kwa...

 

10 years ago

Vijimambo

6TH ANNUAL JULIUS K. NYERERE COMMEMORATION YAFANYIKA CAPITOL HEIGHTS MARYLAND NCHINI MAREKANI

Bwana na Bibi Rick Tingling wakiwashukuru watu kwa kuja kumuenzi Baba wa Taifa Mwalimu Julius Nyerere ambayo hiyo jana siku ya Jumapili Novemba 2, 2014 ilikua ni kumbukumbu ya 6 tangia bwn. Rick Tingling alipoanzisha kumbukumbu za Mwalimu Nyerere mwaka 2009 hapa DMV. Yeye bwn. Tingling ni Mmarekani aliyemjua Mwalimu Nyerere kwa kusoma vitabu vyake na kuanza kumfuatilia na kutambua kwamba Mwalimu Julius Nyerere ni kiongozi asiyekua na mfano na ambaye huwezi kumlinganisha na kionozi yeyeyote...

 

10 years ago

Dewji Blog

Cassim Mganga, Aunty Ezekiel watembelea mjengo mweupe, Aunty asaini kitabu ubalozi wa Tanzania nchini Marekani, Washington, Dc

IMG_5858

Aunty akitia saini kitabu cha wageni alipotembelea Ubalozi wa Tanzania nchini Marekani siku ya Jumanne Sept 16, 2014.

 Aunty Ezekiel akipata picha ndani ya mjengo wa Ubalozi wa Tanzania Washington, DC  Aunty akipata picha nje ya mjengo wa Ubalozi wa Tanzania nchini Marekani.  Aunty na Cassim Mganga wakipata menu ndani ya jiji la Washington, DC.  Cassim Mganga akipata picha nje ya mjengo mweupe wa Obama

Aunty Ezekiel akipata picha nje ya mjengo wa Obama.

IMG_5896

Shabiki akipata picha...

 

10 years ago

Michuzi

CASSIM MGANGA, AUNTY EZEKIEL WATEMBELEA MJENGO MWEUPE, AUNTY ATIA SAINII KITABU UBALOZI WA TANZANIA NCHINI MAREKANI, WASHINGTON, DC



 Aunty akitia saini kitabu cha wageni alipotembelea Ubalozi wa Tanzania nchini Marekani siku ya Jumanne Sept 16, 2014. Aunty Ezekiel akipata picha ndani ya mjengo wa Ubalozi wa Tanzania Washington, DC Aunty akipata picha nje ya mjengo wa Ubalozi wa Tanzania nchini Marekani. Aunty na Cassim Mganga wakipata menu ndani ya jiji la Washington, DC Shabiki akipata picha na wasanii Aunty na Cassim Mganga  Shabiki akipata picha na wasanii Aunty na Cassim Mganga

 

10 years ago

Michuzi

KUTOKA BARAZA LA WAWAKILISHI ZANZIBAR

WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais Zanzibar Mh. Muhamed Aboud (katikati),akizungumza na mwakilishi wa Wawi CUF,Saleh Nassor Juma kushoto huku Mwakilishi wa Kiembesamaki na Naibu Waziri wa Afya Mahmoud Thabit Kombo akisikiliza mazungumzo hayo baada ya mapumziko ya kikao cha Baraza la Wawakilishi kinachoendelea hapa Zanzibar huko Chukwani.MJUMBE wa Baraza la Wawakilishi jimbo Magomeni (CCM) Salmin Awadh Salmin (kushoto),akizungumza na mjumbe wa baraza hilo Ali Mzee Ali...

 

10 years ago

Habarileo

Baraza la Wawakilishi laanza kikao

BARAZA la Wawakilishi limeanza kikao chake jana ambako pamoja na mambo mengine litajadili miswada miwili ya sheria, huku Muswada wa Maadili ya Viongozi ukirudishwa tena kwa kamati kwa ajili ya majadiliano zaidi na kupokea maoni mbalimbali ya wadau kwa maboresho mapya.

 

10 years ago

Habarileo

Dk Shein kuvunja Baraza la Wawakilishi

Rais wa Zanzibar, Dk Ali Mohamed Shein.RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk Ali Mohamed Shein leo anahutubia Baraza la Wawakilishi, akitarajiwa kutumia fursa hiyo kuaga na kusitisha uhai wa Baraza hilo uliodumu kwa miaka mitano na hivyo kumaliza kazi yake kwa mujibu wa Katiba.

 

11 years ago

GPL

BARAZA LA WAWAKILISHI, ZANZIBAR LEO

Wawakilishi wakibadilishana mawazo nje ya Ukumbi wa Baraza la Wawakilishi kabla ya kuingia ndani ya ukumbi kuanza kwa kikao cha Baraza hilo Mbweni nje ya mji wa Zanzibar.
Muwakilishi wa Jimbo la Nungwi Haji Mwadini Makame kushoto akibadishana mawazo na Muwakilishi waJimbo la Koani Mussa Ali Hassan nje ya Ukumbi wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar.…
...

 

11 years ago

Michuzi

taswira Kutoka Baraza la Wawakilishi Zanzibar


Mkuu wa Shughuli za Serekali Baraza la Wawakilishi Makamo wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi, akitowa hutuba ya uhairishaji wa Baraza la 8, Mkutano wa 15, Kikao cha 11, cha Baraza la Wawakilishi baada ya Kuwasilishwa kwa Ripoti za Kamati za Baraza na kuchagiwa na Wajumbe wa Baraza hilo.ufungaji huo umefanyika jioni  Wajumbe wa Baraza wakimsikiliza Makamo wa Pili wa Rais akihutubia katika uhairishaji wa Baraza jana. Spika wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar  Mhe. Pandu Ameir...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani