Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mji uliozoea kupandisha bendera nusu mlingoti mkazi akifa

Mji mmoja kaskazini mwa Iceland umekuwa ukipeperusha bendera ya taifa nusu mlingoti kila mkazi wa mji huo anapofariki.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

WANANCHI WATOA MAONI JUU YA MUWSA KUOMBA KUPANDISHA BEI YA UTOLEWAJI WA HUDUMA YA MAJI KATIKA MJI WA MOSHI

Viongozi wa Mamlaka ya Maji safi na Usafi wa mazingira mjini Moshi,MUWSA wakifuatilia hotuba iliyokuwa ikitolewa na mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro,Leonidas Gama (hayupo pichani) wakati wa utolewaji wa maoni juu ya bei mpya ya huduma ya maji.
Mkuu wa mkoa a Kilimanjaro,Leonidas Gama akizungumza katika mkutano huo ulioandaliwa na EWURA.
Mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro,Leonidas Gama akiteta jambo na Mwenyekiti wa Bodi ya wakurugenzi wa mamlaka ya maji safi na usafi wa mazingira mjini Moshi (MUWSA)...

 

11 years ago

Mwananchi

‘Mjumbe mteule akifa nafasi haijazwi’

Mjumbe wa Kamati ya Kumshauri Mwenyekiti wa Muda wa Bunge Maalumu la Katiba, Tundu Lissu amesema kama mjumbe wa Bunge hilo aliyeteuliwa na Rais atafariki dunia au vyovyote vile, nafasi yake haiwezi kujazwa na mtu yeyote.

 

10 years ago

Mtanzania

Mtatiro: Askari akifa mapambano palepale

MtatiroNa Mwandishi Wetu

ALIYEKUWA Naibu Katibu Mkuu wa CUF-Bara, Julius Mtatiro, amesema kujiuzulu kwa Mwenyekiti wa chama hicho, Profesa Ibrahim Lipumba ni sawa ana askari kufia mstari wa mbele na mapambano yanaendelea kama kawaida.

Mtatiro alitoa kauli hiyo, kupitia ukurasa wake wa mtandao wa kijamii wa Facebook mjini Dar es Salaam jana.

“Mapambano yaendee, askari amekufa akiwa  mstari wa mbele wakati vita inakaribia kuisha, ni bahati mbaya, chukueni mwili wake, upeni heshima zote za mwisho...

 

10 years ago

Bongo5

‘Nusu Nusu’ ya Joh Makini yaingia kwenye Official African Chart ya MTV Base

Joh Makini anazidi kupaa juu zaidi. Video ya wimbo wake ‘Nusu Nusu’ aliyomshirikisha G-Nako, imeingia kwenye ‘Official African Chart’ ya MTV Base. Video hiyo iliyofanyika nchini Afrika Kusini imekamata nafasi ya 8 wiki hii. Huo ni wimbo wa kwanza wa Joh Makini kuwahi kuingia kwenye chart hizo. Video hiyo pia inafanya vizuri kwenye kituo cha […]

 

10 years ago

Mwananchi

Majimbo ya Siha, Same Magharibi na Same Mashariki ni nusu kwa nusu

Jimbo la Siha Siha ni moja ya wilaya zilizoko katika mkoa wa Kilimanjaro na ilianzishwa mwaka 2005 baada ya kuigawa Wilaya ya Hai. Jimbo la Siha lina jumla ya kata 12 na vijiji 39 na lina zaidi ya watu 150,000.

 

10 years ago

GPL

VITUKO UGHAIBUNI: JAMAA AZIGAWA MALI ZAKE NUSU KWA NUSU BAADA YA KUMWAGANA NA MKEWE

Baiskeli iliyokatwa na jamaa huyo. Gari hili nalo lilikatwa katikati kwa ajili ya kumaliza mgogoro kati ya jamaa huyo na mkewe. Video ya jamaa huyo akikata mali zake katikati. NJEMBA mmmoja nchini Ujerumani amezua sintofahamu baada ya kuamua kugawa nusu kwa nusu kila mali…

 

10 years ago

Bongo5

Video mpya ya Joh Makini ‘Nusu Nusu’ kutambulishwa ‘Exclusive’ na MTV Base Ijumaa (April 24)

Rapper wa Weusi Joh Makini anaingia kwenye orodha ya wasanii wa Tanzania wanaoliwania soko la kimataifa. Video mpya ya rapper huyo wa Weusi iitwayo ‘Nusu Nusu’ itaoneshwa kwa mara ya kwanza (Exclusive) Ijumaa April, 24 na kituo cha kimataifa MTV Base saa kumi na mbili jioni saa za Afrika Mashariki, kupitia kipindi chao cha kutambulisha […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani