‘Mjumbe mteule akifa nafasi haijazwi’
Mjumbe wa Kamati ya Kumshauri Mwenyekiti wa Muda wa Bunge Maalumu la Katiba, Tundu Lissu amesema kama mjumbe wa Bunge hilo aliyeteuliwa na Rais atafariki dunia au vyovyote vile, nafasi yake haiwezi kujazwa na mtu yeyote.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania07 Aug
Mtatiro: Askari akifa mapambano palepale
Na Mwandishi Wetu
ALIYEKUWA Naibu Katibu Mkuu wa CUF-Bara, Julius Mtatiro, amesema kujiuzulu kwa Mwenyekiti wa chama hicho, Profesa Ibrahim Lipumba ni sawa ana askari kufia mstari wa mbele na mapambano yanaendelea kama kawaida.
Mtatiro alitoa kauli hiyo, kupitia ukurasa wake wa mtandao wa kijamii wa Facebook mjini Dar es Salaam jana.
“Mapambano yaendee, askari amekufa akiwa mstari wa mbele wakati vita inakaribia kuisha, ni bahati mbaya, chukueni mwili wake, upeni heshima zote za mwisho...
9 years ago
BBCSwahili02 Nov
Mji uliozoea kupandisha bendera nusu mlingoti mkazi akifa
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-FZjUBIw6Q5Y/VfbH7s170fI/AAAAAAAH4v8/HrZlqsrgK0k/s72-c/aitv.png)
10 years ago
MichuziBREAKING NEWZZZZ: MWIGULU NCHEMBA AJIUZULU NAFASI YA NAIBU KATIBU MKUU WA CCM, RAJABU LUHWAVI ACHUKUA NAFASI YAKE
9 years ago
VijimamboMGOMBEA WA NAFASI YA UBUNGE JIMBO LA DODOMA MJINI KUPITIA CCM ANTHON MAVUNDE AMECHUKUA FOMU ZA KUGOMBEA NAFASI HIYO
10 years ago
Bongo Movies27 Dec
PICHA: Hakuna Mtu Anaweza Kuchukua Nafasi Yako Kama Upo Kwenye Nafasi Yako-Lulu
Hayo ni maneno ambayo mwigizaji Elizabeth Michael “Lulu” aliyaandika kwa lungha ya kingereza kabla ya kuzitupia picha hizo hapo juu.
“Cant Nobody Take Your Place If You're In Your Place...!”
Kiukweli, kama utaweka chuki zako pembeni, utakubaliana na mimi kuwa Lulu ni mwigizaji anaependa na kwenda na fasheni kuwashinda waigizaji wote wa hapa bongo.
Jionee picha hizo.
By Mzee wa Ubuyu
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-bt6IpJJ82Xc/VdHG7gLAWkI/AAAAAAAHxyQ/qtfugpjI9zQ/s72-c/740.jpg)
WANACHAMA WA VYAMA VYA SIASA WAJITOKEZE KUWANIA NAFASI MBALI MBALI KUWANIA NAFASI NEC
![](http://2.bp.blogspot.com/-bt6IpJJ82Xc/VdHG7gLAWkI/AAAAAAAHxyQ/qtfugpjI9zQ/s640/740.jpg)
Iddi akikabidhiwa Fomu za kuwania nafasi ya Ujumbe wa Baraza laWawakilishi Zanzibar Jimbo la Mahonda kutoka kwa Afisa wa UchaguziWilaya ya Kaskazini B Ndugu Makame Pandu Khamis.
![](http://1.bp.blogspot.com/-GpJeaYlcVsI/VdHG7nYzDRI/AAAAAAAHxyM/Z8OQaZrSr8o/s640/742.jpg)
Pandu Khamis akitoa maelezo kumpatia Balozi Seif ya namna ya ujazajiwa fomu za kuwania Uwakilishi Jimbo la Mahonda Ofisini kwake MahondaWilaya ya Kaskazini “B” Mkoa wa Kaskazini Unaguja.
![](http://3.bp.blogspot.com/-r77g9zHypFs/VdHG74uDMaI/AAAAAAAHxyI/NVLarryMu5I/s640/744.jpg)
9 years ago
Mwananchi29 Oct
DK Magufuli rais mteule Tanzania
9 years ago
Mwananchi30 Oct
Rais mteule aikosoa CCM