Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MJUE VIZURI RAPPER CHIPUKIZI ALIYETWAA TUZO YA KILI JUZI

Rapper chipukizi, Young Killer, aliyechukua tuzo za Kili 2013/14 katika mahojiano maalum na Global TV aliyoyafanya February mwaka huu na mtangazaji wetu Pamela. Killer (kushoto), akiongea machache mara baada ya kutwaa tuzo ya Kili mwishoni mwa wiki iliyopita. (PICHA: Makataba ya…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Mfanyakazi wa ndani aliyetwaa tuzo ya Malkia Elizaberth

Ukitaja jina la Angela Benedicto kwa wakazi wa Mkoa wa Mwanza litakuwa siyo geni kutokana na jitihada zake za kupambana na umaskini, amekuwa mtu muhimu katika jamii inayomzunguka hasa kwa kuwasaidia waofanya kazi za ndani.

 

10 years ago

Vijimambo

SEPP BLATTER AACHIA NGAZI KUONGOZA CHOMBO KIKUBWA KABISA KINACHOONGOZA MPIRA WA MIGUU DUNIA FIFA LICHA YA JUZI JUZI TU KUSHINDA KWA KISHINDO


Kutoka na tuhuma za rushwa ilichokikumba chama cha soka duniani FIFA rais wake ajiuzulu. Habari zaidi kuwaletea kwaiyo endelea kukodolea macho blog yako ya jamii Vijimambo.

 

5 years ago

BBCSwahili

Tuzo ya Kumla Dumor 2020: Inamtafuta mwandishi chipukizi kutoka Afrika

BBC inamsaka mwandishi nyota wa Afrika kwa tuzo ya BBC ya Komla Dumor 2020.

 

10 years ago

CloudsFM

Rapper Fid Q apewa tuzo ya `CHAMPION na umoja wa Nchi za Ulaya EU

Umoja wa nchi za ulaya EU wampa tuzo Fareed Kubanda a.k.a Fid Q ya CHAMPION of the 2015 Europe Year for Development in Tanzania ,Pia Fid Q alifunguka kwenye Amplifaya ya Cloudsfm nakusema amefarijika sana kupata Tuzo hiyo kwani itampa hamasa ya kufanya kazi kwa bidii zaidiPia Fid Q alisema amepata Tuzo hiyo kutokana na kujitolea kusaidia vijana katika jamii ili waache miadarati na japo kuwa darasa kwa sasa limefungwa ila anampango wa kulifungua tena upya darasa hilo

 

9 years ago

Dewji Blog

Kili Stars yaanza vizuri Cecafa Senior Challenge, yaikamua Somalia, bingwa mtetezi Kenya nae aipa kipigo Uganda!

kilistars

Kikosi cha Kilimanjaro Stars..

Na Rabi Hume, Modewji blog

Timu inayowakilisha Tanzania bara katika mashindano ya Cecafa Senior Challenge, Kilimanjaro Stars jana imeanza vyema mashindano hayo kwa kuifunga timu ya taifa ya Somalia kipigo cha goli 4 kwa bila.

Katika mchezo huo ambao Kili Stars ilionekana kutawala kwa kipindi kirefu ilifanikiwa kupata goli la kwanza dakika ya 11 kupitia kwa nahodha wa timu hiyo, John Bocco kwa njia ya mkwaju wa penati.

Goli la pili lilifungwa na Elias...

 

11 years ago

Mwananchi

Tuzo za Kili zazinduliwa rasmi

Tuzo za Muziki, maarufu ‘Kilimanjaro Music Award’ zimezinduliwa rasmi jana na zitafikia kilele chake Mei 3 kwenye ukumbi wa Mlimani City jijini Dar es Salaam.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani