MJUMITA YASAIDIA KUOKOA MSITU WA ANGAI WILAYANI LIWALE
Na Abdulaziz ,Lindi Mtandao wa Jamii wa Usimazi wa misitu Tanzania (MJUMITA) wamekuwa wakitoa elimu ya utawala bora katikavijiji 24 vinavyozunguka msitu wa Angai kuanzia mwaka 2011 kwa ufadhili wa Limas (lindi and masasi agribusiness support) Mjumita wamekuwa wakitoa elimu hiyo katika hivyo ikiwemo Uraghabishi ,utawala bora, Usimamizi shirikishi wa misitu,Uongozi na Utawala bora huku Elimu ikitolewa kwa jamiii za vitongoji juu ya uwezeshaji na utunzaji wa misitu kwa manufaa ya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziNMB YASAIDIA WAHANGA WA MAFURIKO - WILAYANI HAI-KILIMANJARO
Benki hiyo imetoa vitu mbalimbali vikiwemo unga, maharage, magodoro na sementi vyenye gharama ya shilingi milioni 10 kwa ajili ya kusaidia wahanga wa tukio hilo lililowaacha mamia ya Watanzania bila makazi huku mali zao zikiharibiwa kwa kiasi kikubwa.
Akikabidhi msaada huo kwa...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-LdUBNYpOQ8c/Uwvv5OQztJI/AAAAAAAFPVQ/gWaAl8Wmq60/s72-c/unnamed+(25).jpg)
mkuu wa mkoa wa lindi akagua miradi ya maendeleo wilayani liwale, atoa agizo kwa Wazazi kuhakikisha watoto waliopasi kuingia sekondari wawe wameripoti shuleni ndani ya siku 7
![](http://2.bp.blogspot.com/-LdUBNYpOQ8c/Uwvv5OQztJI/AAAAAAAFPVQ/gWaAl8Wmq60/s1600/unnamed+(25).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-McO1S_5cpgw/Uwvv5M_DPqI/AAAAAAAFPVI/moQ0LK-HLx4/s1600/unnamed+(26).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-6HCzY7_P8Ng/Uwvv5fCYQjI/AAAAAAAFPVM/RMRR6eb9yTQ/s1600/unnamed+(27).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/--KIC2sVOEYE/Uwvv5-rL3yI/AAAAAAAFPVY/-Djtn1iETgM/s1600/unnamed+(29).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-HYSZOLG1dVo/Uwvv52SIYTI/AAAAAAAFPVo/1rDgW2VFyYw/s1600/unnamed+(30).jpg)
10 years ago
Dewji Blog08 Aug
Benki ya Posta Tanzania, yasaidia shule za msingi wilayani Ileje mkoani Mbeya
![](http://3.bp.blogspot.com/-abIV-EwZRWM/VcWOrMQvIpI/AAAAAAAAXSc/-nWNTa1Vx9s/s640/Mbene_TPB%2Bschool%2Bdesks.jpg)
Naibu waziri wa Viwanda na Biashara, Janet Mmbene, (wapili kushoto), akipeana mikono na Meneja msaidizi wa Benki ya Posta Tanzania, TPB, tawi la Tunduma, Teddy Msanzi, wakati wa hafla ya kukabidhi madawati yaliyotolewa kama msaada na benki hiyo, kusaidia shule mbili za msingi wilayani Ileje, mkoa wa Mbeya, hivi karibuni.
NA K-VIS MEDIA
Benki ya Posta Tanzania (TPB) kupitia tawi lake la Tunduma, imetoa msaada wa madawati 100 yenye thamani ya shilingi Milioni Tatu kwa shule mbili za...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Cw5v9eOZUDA/VX6YWG_LxuI/AAAAAAAC6rM/YsCRE0zuycY/s72-c/Picture%2B1.jpg)
TIPER YASAIDIA VIFAA VYA MAABARA VYENYE THAMANI YA SH. ML 20/- KWA SEKONDARI WILAYANI RUFIJI
Kampuni ya kuhifadhi mafuta nchini,...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-L4D3SvuAEgc/VgKG27Vvp1I/AAAAAAAAhNk/lIb9EZnYomI/s72-c/un.jpg)
MJUMITA WASHINDA TUZO YA MAZINGIRA YA UN
![](http://3.bp.blogspot.com/-L4D3SvuAEgc/VgKG27Vvp1I/AAAAAAAAhNk/lIb9EZnYomI/s640/un.jpg)
Tuzo ya mwaka huu wa...
9 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-3qDxc6t8M34/VdHUZwkXbNI/AAAAAAAAgKU/SKE72qXnyDo/s72-c/5.jpg)
MJUMITA: TUCHAGUE VIONGOZI WATAKAO TETEA USIMAMIZI ENDELEVU WA MISITU
![](http://1.bp.blogspot.com/-3qDxc6t8M34/VdHUZwkXbNI/AAAAAAAAgKU/SKE72qXnyDo/s640/5.jpg)
Na Father Kidevu Blog
Mtandao wa Jamii wa Usimamizi wa Misitu nchini (MJUMITA) leo imeanza mkutano wake Mkuu wa Siku mbili ambao kwanza umeanza na Warsha ya siku moja ya wadau wote wa mtandao huo. Wajum,be na wadau wa Mjumita kesho Agosti 18, watafanya mkutano...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-o431tr5wG3c/Uy0TY0dud_I/AAAAAAAFVlM/QQ_JIPm36wU/s72-c/unnamed.jpg)
MJUMITA has been rewarded with WWF Sweden´s annual environmental prize, Jihde award
![](http://1.bp.blogspot.com/-o431tr5wG3c/Uy0TY0dud_I/AAAAAAAFVlM/QQ_JIPm36wU/s1600/unnamed.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-lcEV6yARUiY/Uy0TZ4OQl5I/AAAAAAAFVlQ/35ezT2UUrDo/s1600/unnamedV.jpg)
10 years ago
VijimamboMJUMITA WAZINDUA WIMBO WA MKUHUMI ULIOIMBWA NA MPOTO, AFANDE SELE NA DAYNA
Hayo yalisema jijini Dar es Salaam leo wakati wa uzinduzi wa wimbo maalum wa kuhamasisha utunzaji wa mazingira uliojulikana kama ‘Mkuhumi’.
Wimbo huo ulioimbwa na wanamuziki wa kizazi kipya Seleman Msindi ‘Afande Sele’, Dayna Nyange pamoja na msanii nguli wa kughani mashairi Afrika Mashariki, Mrisho Mpoto maarufu kama ‘Mjomba’.
Akizungumza kwenye...
10 years ago
Tanzania Daima18 Oct
Madiwani Liwale ‘wamcharukia’ mtendaji
MADIWANI wa Halmashauri ya Wilaya ya Liwale, Lindi wamempa siku 10 Mtendaji wa wilaya hiyo kuhakikisha anachukua hatua za kisheria kwa kamati zinazosimamia miradi. Hatua hiyo imetokana na kuchoshwa na...