MJUMITA WASHINDA TUZO YA MAZINGIRA YA UN
![](http://3.bp.blogspot.com/-L4D3SvuAEgc/VgKG27Vvp1I/AAAAAAAAhNk/lIb9EZnYomI/s72-c/un.jpg)
Mkuu wa Mfuko wa Maendeleo wa Umoja wa Mataifa ( UNDP), Helen Clark (kushoto) akiwa na Mcheza senema maarufu na mwanaharakati wa Mazingira, Alec Baldwin (katikati) na Mkewe, Hilaria Thomas wakati wa mkutano maalum na waandishi wa habari wa kutangaza washindi wa Tuzo ya Ikweta ambayo hutolewa na Umoja Mataifa kwa NGO ambazo zinajihusisha na utunzaji wa mazingira, ulinzi na uhifadhi wa misitu, matumizi bora na endelevu ya ardhi na mali asili na kupiga vita umaskini.
Tuzo ya mwaka huu wa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-L0avcRS0xcA/VgD5VIiYDaI/AAAAAAAH6vw/5XcYrx_-JzI/s72-c/unnamed.jpg)
NGO YA TANZANIA Mtandao wa Kijamii wa Usimamizi wa Misitu Tanzania ( MJUMITA) YASHINDA TUZO YA UMOJA WA MATAIFA
9 years ago
Bongo514 Dec
Alikiba na Vanessa washinda tuzo za Nzumari 2015 Kenya
![ali na vee](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/ali-na-vee-300x194.jpg)
Tuzo za Nzumari 2015 zimetolewa Ijumaa iliyopita (Dec.11) huko Mombasa, Kenya.
Kutoka Tanzania, Alikiba ameshinda kipengele cha ‘Male Artist Tanzania’ alichokuwa akishindana na Ommy Dimpoz, AY, Rich mavoko na Shetta. Vanessa Mdee ameshinda kipengele cha ‘Female Artist Tanzania’ alichokuwa akishindana na Lady Jaydee, Shilole, Linah na Shaa.
Nzumari Awards 2015… Classic Edition
Winners as per the votes from the people not as per the management:
Male Artist Mombasa
Sudi Boy 9 votes
Dazlah...
9 years ago
Bongo511 Oct
Diamond, Vanessa Mdee na Ommy Dimpoz washinda tuzo za Afrimma
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/kdMiOwfaxve7ykrcsaRm3CZHyRkpBBgCR4UgDB8ykNZkFupjz*IjlVzlAbEv7BHpAaAXj4nFY5uvTMC0-bo7zFPdZ04kGuNm/msechu.jpg)
DIAMOND, VANESSA WASHINDA TUZO ZA 2014 AFRIMA HUKO NIGERIA
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Eif6J1ZYHeg/VlKNaVnsgQI/AAAAAAAIH1Y/WptEEDxDL1s/s72-c/New%2BPicture.png)
MRADI WA VETA, VSO NA LNG TANZANIA WASHINDA TUZO YA BRITISH GAS
![](http://3.bp.blogspot.com/-Eif6J1ZYHeg/VlKNaVnsgQI/AAAAAAAIH1Y/WptEEDxDL1s/s640/New%2BPicture.png)
![](http://2.bp.blogspot.com/-qu397Imnfc0/VlKNU18FiKI/AAAAAAAIH1A/_-7JI_TXIRw/s640/New%2BPicture%2B%25281%2529.png)
![](http://4.bp.blogspot.com/-Jx75C4Q1dMc/VlKNVKD3qWI/AAAAAAAIH1E/Cy2YICgG7Zk/s640/New%2BPicture%2B%25282%2529.png)
11 years ago
Bongo527 Jul
Diamond na Lady Jaydee washinda tuzo za AFRIMMA 2014 zilizofanyika Marekani
9 years ago
Bongo521 Dec
H.Baba azirejesha ‘Tuzo za Familia’ Dully Sykes na Riyama washinda (Picha)
![Dr. Fadhili Emily akiiwakilisha The Fadhaget Sanitarium Clinic akimkabidhi Tanzanite tuzo ya ubalozi wa Kliniki hiyo](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/Dr.-Fadhili-Emily-akiiwakilisha-The-Fadhaget-Sanitarium-Clinic-akimkabidhi-Tanzanite-tuzo-ya-ubalozi-wa-Kliniki-hiyo--300x194.jpg)
Tuzo za Familia za msanii wa muziki, H.Baba akishirikiana na mke wake, Flora Mvungi zimefanyika kwa mara ya pili, Jumapili hii ndani ya City Style Hotel iliyopo Sinza jijini Dar es Salaam ambapo wawili hao waliondoka na tuzo na Best Couple of The Year 2015.
Flora Mvungi akijiandaa kumkabidhi Riyama tuzo
Katika tuzo hizo, Dully Sykes aliondoka na tuzo ya Hall Fame of The Year 2015 kwa upande wa muziki huku Riyama Ally akiondoka na Hall Fame Of The Year 2015 kwa upande wa...
9 years ago
Bongo516 Nov
Diamond Platnumz na Vanessa Mdee washinda tuzo 4 za AFRIMA 2015 Nigeria
![d n v](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/d-n-v-300x194.jpg)
Tuzo za All Afrika Music Awards 2015 (AFRIMA) zimetolewa usiku wa Jumapili November 15 jijini Lagos, Nigeria ambapo Tanzania imetoa washindi wawili.
Diamond Platnumz aliyekuwa akiwania tuzo hizo ameibuka mshindi wa vipengele 3 kikiwemo kipengele muhimu cha Msanii Bora Wa Mwaka (Artist Of The Year) ambayo ilikuwa ikiwaniwa na Alikiba, Davido, Jose Chameleone, Wizkid, Yemi Alade, Sarkodie na Flavour.
Vipengele vingine alivyoshinda Diamond ni Msanii Bora wa Kiume Afrika Mashariki (Best...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-NJV-Jd9ufwc/VOq9Z0RJfNI/AAAAAAAHFUo/MVYthyVEZOc/s72-c/unnamed%2B(24).jpg)
Julianne More na Eddie Redmayne washinda tuzo za uigizaji bora wa filamu za oscar
![](http://1.bp.blogspot.com/-NJV-Jd9ufwc/VOq9Z0RJfNI/AAAAAAAHFUo/MVYthyVEZOc/s1600/unnamed%2B(24).jpg)