MKALI WA YOUTUBE GLOZELL LYNETTE ALIVYOPAGAWA KUMFANYIA MAHOJIANO RAIS OBAMA
![](http://api.ning.com:80/files/JUluVB-wEZQEKijDlkaNx1wx0E36rSmAFWrIozxmgV4QkxeYkyejaJsPmbyeBcP9oREcUqw3EXwqgdSilNSmo0*SgWfMnQZ4/GloZell.jpg?width=650)
GloZell Lynette Simon akiwa kazini. GloZell baada ya kupata taarifa za kumfanyia mahojiano Rais Obama. MKALI wa Youtube na komedi, GloZell Lynette Simon, hivi karibuni alipagawa baada ya kuambiwa kuwa atamfanyia mahojiano Rais wa Marekani, Barrack Obama. GloZell ambaye ni raia wa Marekani mwenye umri wa miaka 52, amejipatia umaarufu sana kupitia kwenye kazi yake ya komediani na kupitia video zake kwenye mtandao wa Youtube...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili24 Jul
Mahojiano ya BBC na Obama
9 years ago
Dewji Blog02 Oct
Mkali wa Songi la ‘Amarula’ Roberto toka Zambia awasili nchini Tanzania, atua Mwanza pata mahojiano aliyofanya na Jembe FM 93.7
![](http://3.bp.blogspot.com/-Vsbiy6qCklk/Vg6hcjY-2SI/AAAAAAABSeg/JDb12ehTbv8/s640/00.1JEMBE%2BROBERTO%2BAMARULA7.jpg)
BOFYA PLAY...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Vsbiy6qCklk/Vg6hcjY-2SI/AAAAAAABSeg/JDb12ehTbv8/s72-c/00.1JEMBE%2BROBERTO%2BAMARULA7.jpg)
MKALI WA SONGI LA 'AMARULA' ROBERTO TOKA ZAMBIA AWASILI NCHINI TANZANIA, ATUA MWANZA PATA MAHOJIANO ALIYOFANYA NA JEMBA FM 93.7
![](http://3.bp.blogspot.com/-Vsbiy6qCklk/Vg6hcjY-2SI/AAAAAAABSeg/JDb12ehTbv8/s640/00.1JEMBE%2BROBERTO%2BAMARULA7.jpg)
10 years ago
BBCSwahili25 Jul
Unamfahamu dadake rais Obama,Auma Obama?
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-qZ_taV7lQAc/VURfrlc_KXI/AAAAAAAAtDQ/HowY65av2gE/s72-c/shemeji.jpg)
Kikwete: "Nisingekuwa Rais Ningekuwa Msanii Mkali wa Bongo Fleva.".........HOTUBA Nzima ya Rais Kikwete Aliyoitoa Jana Mei Mosi Iko HAPA
![](http://2.bp.blogspot.com/-qZ_taV7lQAc/VURfrlc_KXI/AAAAAAAAtDQ/HowY65av2gE/s640/shemeji.jpg)
RAIS Dkt. Jakaya Kikwete, ametamba kuwa angakuwa msanii wa muziki wa kizazi kipya basi angelikuwa wa “BongoFleva” kutokana na kuwa na sauti nzuri yenye kumudu kuimba nyimbo kwa ufasaha zaidi.
Kauli hiyo aliitoa jana jijini Mwanza kwenye uwanja wa michezo wa CCM Kirumba wakati wa maadhimisho ya kilele cha sherehe za Mei mosi zilizofanyika Kitaifa jijini Mwanza kwa mwaka huu wa mwisho wa utawala wake.
Dkt. Kikwete aliimba wimbo wa Bendi ya OSS (Ochestra Safari Sound) wenye mashairi yasemayo...
10 years ago
Dewji Blog26 Nov
Rais Kikwete apokea salamu za kheri kutoka kwa Rais Obama
Balozi wa Tanzania nchini Marekani Mh.Liberata Mulamula akiwasilisha kwa Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete salamu za kumtakia kheri na afya njema kutoka kwa Rais wa Marekani Barack Obama leo jijini Baltimore, Maryland, Marekani.
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akisoma salamu maalumu za kumtakia kheri na afya njema kutoka kwa Rais Barack Obama wa Marekani leo jijini Baltimore, Maryland, Marekani.
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiongea na Balozi Liberata Mulamula na ujumbe wake wa...
10 years ago
Dewji Blog25 Nov
Rais apokea salamu za pole toka kwa Rais Obama
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete mchana wa Jumatatu, Novemba 24, 2014 amepokea salamu za pole kutoka kwa Rais wa Marekani Mheshimiwa Barak Obama.
Katika salamu zake Rais Obama ameelezea kufurahishwa na taarifa kwamba Rais Kikwete anaendelea vyema kiafya baada ya kufanyiwa upasuaji kwa mafanikio na kuondoa tatizo la tezi dume alilokuwa nalo.
Rais Obama amesema katika salamu hizo kuwa alipata heshima kufanya ziara rasmi nchini Tanzania mwaka 2013, na...
10 years ago
Dewji Blog03 Sep
Rais Kikwete akutana na Bibi yake Rais Obama wa Marekani, jijini Nairobi leo
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwa na Bibi yake Rais wa Marekani,Mh. Barack Obama,Mama Sarah Obama walipokutana Leo kwenye hoteli ya Villa Rosa Kempiski jijini Nairobi, Kenya, wakati Rais Kikwete akijiandaa kurejea nchini.Mama Sarah Obama anatarajia kuzindua taasisi ya kusaidia elimu kijijini Kogelo nchini Kenya,alikozaliwa Baba yake na Rais Obama wa Marekani itakayofahamika kama (Sarah Obama foundation) ambapo atajenga shule kuanzia za awali mpaka sekondari. Rais kikwete sasa hivi yuko...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-fIDaZ43XkK0/VAd2lkYMifI/AAAAAAACp90/77TZZGS0Rno/s72-c/unnamed.jpg)
RAIS Kikwete akutana na Bibi yake Rais Obama wa Marekani,jijini Nairobi leo
![](http://3.bp.blogspot.com/-fIDaZ43XkK0/VAd2lkYMifI/AAAAAAACp90/77TZZGS0Rno/s1600/unnamed.jpg)
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwa na Bibi yake Rais wa Marekani,Mh. Barack Obama,Mama Sarah Obama walipokutana Leo kwenye hoteli ya Villa Rosa Kempiski jijini Nairobi, Kenya, wakati Rais Kikwete akijiandaa kurejea nchini.Mama Sarah Obama anatarajia kuzindua taasisi ya kusaidia elimu kijijini Kogelo nchini Kenya,alikozaliwa Baba yake na Rais Obama wa Marekani itakayofahamika kama (Sarah Obama foundation) ambapo atajenga shule kuanzia za awali mpaka sekondari. Rais kikwete sasa hivi ...