Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mkasa wa moto gerezani Rwanda, 3 wauawa

Moto mkubwa umeteketeza gereza la Nyakibira Rubavu, karibu nampaka wa Rwanda na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo. 3 wamefariki.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Watu 27 wafariki katika mkasa moto wa Romania

Watu 27, wengi wao vijana wadogo, wamefariki baada ya moto kuzuka katika kilabu kimoja cha usiku mjini Bucharest, Romania.

 

11 years ago

BBCSwahili

Aliyekuwa Meya Rwanda 'kudumu' gerezani

Meya wa zamani aliyepatikana na hatia ya kuhusika na mauaji ya kimbari nchini Rwanda ameongezewa kifungo chake kutoka miaka 15 hadi 25

 

10 years ago

Bongo Movies

MKASA:Amanda asimulia mkasa wakufiwa na mchumba wake ghafla na kumuachia mimba lakini mtoto akafia tumboni

"....Kwenye hii dunia ukizaliwa mpaka unakufa lazima kuna mitihani binaadam utaipitia ,toka nimezaliwa me Amanda mpaka leo hii nimepitia mitihani migumu sana ...lakini katika mitihani yooote hakuna mtihani unaokataa kuondoka ndani ya kichwa changu kama ule niliyowahi kufiwa na mchumba angu tena ghafla nusu saa baada ya kuongea nae na kuniachia mimba then mtoto akafia tumboni....

Kiukweli nilijifunza sana na ndio maana mpaka leo uwa naamini kila mwanamke ameumbwa kutoka kwenye ubavu wa...

 

11 years ago

Habarileo

Vikongwe wauawa, miili yao yachomwa moto

 Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Singida, Geofrey KamwelaWATU wanne wamekufa mkoani Singida katika matukio mawili tofauti, likiwemo la wanandoa, vikongwe kuuawa kisha nyumba yao kuchomwa moto na mtu asiyefahamika.

 

11 years ago

Mwananchi

Raia wawili, askari wauawa Moro, kituo chachomwa moto

Watu watatu, akiwamo askari polisi wamefariki dunia na wengine watatu kujeruhiwa baada ya kuzuka mapambano kati ya polisi na raia katika Kijiji cha Igwati, Tarafa ya Malinyi Wilaya ya Ulanga, Morogoro.

 

9 years ago

BBCSwahili

Mgodi wa mkasa Tanzania

Habari ya uokolewaji wa wachimba madini watano waliokutwa hai baada ya kufukiwa chini ya ardhi kwa siku 41, umeendelea kusisimua wengi nchini Tanzania

 

11 years ago

Mwananchi

Mkasa wa mwenyekiti wa CCM aliyeliwa na mamba

>Mvua inaweza kuwa neema pale inaponyesha kwa wastani, lakini ikawa karaha pale inapokuwa kubwa, hasa kwa watu wanaoishi mabondeni au kandokando ya mito.

 

10 years ago

Mwananchi

Mkasa wa binti aliyeolewa, mengine yaibuka

Ilikuwa Oktoba 7 mwaka huu, saa 1.00 asubuhi katika eneo la Mbondole, Kata ya Msongola, Wilaya la Ilala mkoani Dar es Salaam kulipozuka tafrani baada ya mwanamume mmoja kukamatwa akituhumiwa kumweka kinyumba binti mwenye umri wa miaka 15.

 

10 years ago

Mwananchi

Mkasa uliompata Rais wa Misri nchini Ujerumani

Kisa cha kushangaza na kufadhaisha kimetokea katikati ya wiki iliyopita katika mji mkuu wa Ujerumani, Berlin.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani