Mkasi | S10E13 With Paul Makonda
![](http://img.youtube.com/vi/rON7gooQydI/default.jpg)
Vijimambo
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-JQCJar-9Q-Y/Xl-VysRd-lI/AAAAAAALg7M/RR2ILAmxsP4d1u4NBU6VL6Li4hn4R5IlgCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-04%2Bat%2B2.04.17%2BPM.jpeg)
RC MAKONDA ATANGAZA DAWA KWA WAKANDARASI WANAOKIUKA TARATIBU ZA MIKATABA * RC Makonda asema hakuna mgonjwa wa Covid 19, awataka wananchi kufuata maelekezo Na Leandra Gabriel, Michuzi TV MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda ametangaza kamati ya w
![](https://1.bp.blogspot.com/-JQCJar-9Q-Y/Xl-VysRd-lI/AAAAAAALg7M/RR2ILAmxsP4d1u4NBU6VL6Li4hn4R5IlgCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-04%2Bat%2B2.04.17%2BPM.jpeg)
* RC Makonda asema hakuna mgonjwa wa Covid 19, awataka wananchi kufuata maelekezo
Na Leandra Gabriel, Michuzi TVMKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda ametangaza kamati ya watu 13 kutoka Serikali na sekta binafsi ambao...
11 years ago
GPLPAUL MAKONDA WA UVCCM ATEMBELEA GLOBAL
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Qyn*Uz1WnG8Kl78QPfJxtu8vfJyIkusuDEnPEgY3bNJ1p8g1ksoxidWlc32-dMW3s-LV869DtVabBH*v7OgUDJpkgBVAEEpt/5.jpg)
MHE. PAUL MAKONDA AANZA UTEKELEZAJI
9 years ago
StarTV18 Dec
Paul Makonda aagiza kusitishwa malipo ya wakandarasi
Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Paul Makonda ameagiza kusitishwa kwa malipo ya wakandarasi wanaojenga Barabara sita za Manispaa hiyo kutokana na ubadhirifu wa fedha zaidi ya shilingi bilioni tano kuendelea kutumika kwenye ujenzi huo kwa kilichodaiwa kuwa ni nyongeza ya kazi kwenye barabara hizo.
Kwa mujibu wa mkataba wa ujenzi wa barabara hizo sita kama ilivyoelezwa na mkuu huyo wa Wilaya zilipaswa kugharimu kiasi cha Shilingi bilioni nne, milioni 965, laki 2 na nne elfu mia tisa na hamsini...
9 years ago
MillardAyo15 Dec
DC Paul Makonda kwenye hizi sentensi tatu
Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Paul Makonda leo amekutana na viongozi wa masoko mbalimbali na kuzungumzia kero zinazokabili masoko hayo. “Nimeitisha kikao cha viongozi wa masoko, wamekuja wote na kujadili afya, vyoo vinayotumika ndani ya masoko, biashara katika ukusanyaji wa masoko, nimeelekeza Afisa bishara na viongozi wa Wilaya ni kuziangalia changamoto hizo ikiwemo kupima eneo […]
The post DC Paul Makonda kwenye hizi sentensi tatu appeared first on TZA_MillardAyo.
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-b11SH7iDwh4/UwyG2f6d2PI/AAAAAAAFPcI/LCaQuYIxHyc/s72-c/unnamed+(26).jpg)
RASIMU YA KATIBA IMEWASAHAU VIJANA - PAUL MAKONDA
![](http://1.bp.blogspot.com/-b11SH7iDwh4/UwyG2f6d2PI/AAAAAAAFPcI/LCaQuYIxHyc/s1600/unnamed+(26).jpg)
Mimi ni Kijana, ninayoyazungumza,ninayoyafanya yana reflect uhalisia huo. Hivyo kwa wito wa Ujana najikuta nashawishika sana kuongeza umakini katika masuala yahusuyo vijana hasa kwenye Katiba.
Ni ajabu lakini kweli kuwa sehemu inayotaja juu ya Haki na Wajibu wa Vijana katika Rasimu yote ni Ibara ya 44 tu, tena inataja kwa ujumla wake bila hata...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-zW3vQ1vjhKo/VFe8Jt2afbI/AAAAAAAGvWI/jQqXV2hGc4U/s72-c/unnamed%2B(11).jpg)
10 years ago
VijimamboMKUU WA WILAYA YA KINONDONI, PAUL MAKONDA KUSOMESHA YATIMA 12
Hayo aliyabainisha Dar es Salaam jana wakati Kampuni ya Simu za mkononi Zantel ikikabidhi kisima cha maji safi katika kituo cha kulea watoto yatima na wanaoishi katika mazingira magumu cha Watoto Wetu Tanzania kilichopo Mbezi Suka jijini Dar es Salaam.
Watoto hao 12, ambapo 8 kati yao wana elimu ngazi ya sekondari huku 3 wakitakiwa...
10 years ago
GPLPAUL MAKONDA, DK SLAA WAMJULIA HALI ASKOFU GWAJIMA