MKATABA WASAINIWA KUFIKISHA UMEME MWAMBAO WA ZIWA NYASA, LUDEWA
![](https://1.bp.blogspot.com/-et5adn4lS9Y/XrfaMeZPySI/AAAAAAALpqY/X2JlzNVgC44MWN5_9xVjzYd7fJI30XcUACLcBGAsYHQ/s72-c/A.png)
Na Amiri kilagalila,Njombe
Wakala wa Nishati Vijijini (REA) umesainiana mkataba wenye thamani ya zaidi ya mil 920 na kampuni ya JV Mufindi Power Services Ltd wa kusabambaza umeme katika vijiji 4 vya tarafa ya mwambao wa ziwa Nyasa wilayani Ludewa mkoani Njombe ambavyo vimekuwa na changamoto hiyo kabla na baada ya uhuru .
Akizungumza mara baada ya kupokea mkataba huo,mkuu wa wilaya ya Ludewa Andrew Tsere amesema serikali imedhamilia kufikisha nishati ya umeme katika vijiji vyote wilayani humo...
CCM Blog
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-et5adn4lS9Y/XrfaMeZPySI/AAAAAAALpqY/X2JlzNVgC44MWN5_9xVjzYd7fJI30XcUACLcBGAsYHQ/s72-c/A.png)
Ludewa kwa zidi kunoga,mkataba wa mamilioni wasainiwa kufikisha umeme mwambao wa ziwa Nyasa
Na Amiri kilagalila,Njombe
Wakala wa Nishati Vijijini (REA) umesainiana mkataba wenye thamani ya zaidi ya mil 920 na kampuni ya JV Mufindi Power Services Ltd wa kusabambaza umeme katika vijiji 4 vya tarafa ya mwambao wa ziwa Nyasa wilayani Ludewa mkoani Njombe ambavyo vimekuwa na changamoto hiyo kabla na baada ya uhuru .
Akizungumza mara baada ya kupokea mkataba huo,mkuu wa wilaya ya Ludewa Andrew Tsere amesema serikali imedhamilia kufikisha nishati ya umeme katika vijiji vyote wilayani...
10 years ago
Habarileo27 Apr
Mkataba wasainiwa mabasi ya kasi kuanza
MIEZI imeanza kuhesabika kabla ya huduma ya usafiri kupitia mradi wa mabasi yaendayo haraka jijini Dar es Salaam kuanza, baada ya mkataba kusainiwa kati ya serikali na wamiliki wa daladala kwa ajili ya kuendesha katika kipindi cha mpito.
10 years ago
StarTV30 Dec
Magati yaanza kujengwa mwambao wa Ziwa Viktoria.
Na Maliganya Charahani,
Mwanza.
Mamlaka ya bandari nchini TPA imeanza kuziimarisha bandari zake katika mwambao wa Ziwa Viktoria kwa kujenga magati imara kwa ajili ya kuegeshea meli ili kurahisisha usafiri kwa wakazi wa maeneo hayo na katika visiwa.
Uimara wa magati hayo utavutia pia kampuni ya huduma za meli kurejesha safari za meli kwenye maeneo hayo ambazo zilisitishwa kwa muda mrefu kutokana na miundombinu dhaifu.
Wakazi wa visiwani na mwambao wa Ziwa Viktoria wanatumia mitumbwi...
11 years ago
Habarileo15 Feb
Utetezi wa Ziwa Nyasa
WAZIRI wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Profesa Anna Tibaijuka, ameweka wazi utetezi wa Tanzania katika mgogoro wa mpaka wa Ziwa Nyasa na Malawi. Akizungumza na wahariri wa habari katika semina ya ardhi Dar es Salaam jana, Profesa Tibaijuka alisema tayari Rais Jakaya Kikwete ametoa ushahidi wa mpaka huo katika Kamati ya Marais Wastaafu, Festus Mogae wa Botswana, Joachim Chisano wa Msumbiji na Thabo Mbeki wa Afrika Kusini.
10 years ago
Mtanzania14 Aug
Malawi: Hakuna mjadala Ziwa Nyasa
![Rais wa Malawi, Profesa Peter Mutharika](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/08/Peter-Mutharika.jpg)
Rais wa Malawi, Profesa Peter Mutharika
NA MWANDISHI WETU
RAIS wa Malawi, Profesa Peter Mutharika, kwa mara nyingine amesisitiza kuwa Ziwa Nyasa linamilikiwa na nchi yake.
Kutokana na hali hiyo, amesema katu uongozi wake hautarajii kukaa katika meza ya majadiliano na nchi jirani ya Tanzania kuzungumzia umiliki huo.
Mutharika alisema hayo alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari juzi mjini Lilongwe kuhusu ziara yake ya hivi karibuni jijini Washington DC, Marekani ambako alikuwa akishiriki...
11 years ago
Habarileo17 Dec
‘Suluhu mpaka Ziwa Nyasa bado’
KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, imebainisha kuwa hadi sasa jitihada za kusuluhisha mgogoro wa mpaka baina ya Tanzania na Malawi, hazijafanikiwa kutokana na ukweli kuwa katika gharama za usuluhishi, Malawi imelipia asilimia 6.6 wakati Tanzania ni asilimia 50.9.
10 years ago
Mtanzania18 Feb
Filikunjombe: Ziwa Nyasa lipo salama
Na Mwandishi Wetu, Ludewa
MBUNGE wa Ludewa, Deo Filikunjombe (CCM), amewataka wananchi wanaoishi mwambao wa Ziwa Nyasa kufanya shughuli zao, kwani mazungumzo ya kutafuta amani kati ya Tanzania na Malawi yanakwenda vizuri.
Kauli ya mbunge huyo imekuja huku nchi hizo zikiwa zimefikishana mbele ya jopo la viongozi wastaafu wa nchi za Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC), chini ya mwenyekiti wake Rais Mstaafu wa Msumbuji, Joachim Chisano.
Hayo aliyasema juzi katika mkutano wa hadhara...
10 years ago
VijimamboMAMLAKA YA BANDARI KUJENGA MELI ZIWA NYASA
Kufuatia adha ya usafiri wa majini inayowakabili wakazi waishio katika fukwe za Ziwa Nyasa, Mamlaka ya Bandari Tanzania kupitia kituo chake cha Kyela ipo mbioni kujenga meli ya abiria na mizigo ili kuwahudumia wakazi hao.
Hayo yaliwekwa bayana na Mkuu wa Bandari ya Kyela, Bw. Percival Ntetema wakati timu wakaguzi wa miradi ya maendeleo kutoka Ofisi ya Tume ya Mipango ilipotembelea na kukagua bandari za Itungi na Kiwira zilizopo wilaya ya Kyela, mkoani Mbeya.
Bw....