Mke wa Master P ampeleka kortini mwanae, Romeo
Mke wa Master P, Sonya Miller anamshtaki mwanae wa kiume, Romeo, kwa mujibu wa TMZ. Familia ya Master P Sonya anadai kuwa Master P amekuwa akimtumia Romeo kuficha mali zake wakati wa masuala ya talaka yao yakiendelea. Amedai kuwa kampuni ya No Limit Forever iliyokuwa No Limit Records awali ni mfano wa ujanja wa mumewe. […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog03 May
Exclusive gossip: Paul wa kundi la Psquare ampeleka mwanae klabu ya Chelsea Fc
Paul Okoye wa Psquare akiwa na mtoto wake wa kiume, Andre (2) ambaye pia ameamua kumuingiza mtoto wake huyo kuwa ‘mnazi’ wa klabu ya Chelsea ambapo anamtabilia atakuwa mchezaji wa Kimataifa na wa kulipwa.
Na Andrew Chale, Modewji blog
Ukweli ni kuwa, wakali wanaotikisa katika muziki, kundi la Psquare linaloundwa na Mapacha ‘kaka wawili’ Peter na Paul Okoye (Psquare) ni wanazi wa kutupwa wa timu ya Chelsea Fc yenye makazi yake London huku ikitumia uwanja wa Arena, Stamford Bridge,...
11 years ago
Habarileo27 May
‘Bosi’ Tanesco, mke kortini
ALIYEKUWA Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco), William Mhando, amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, akikabiliwa na mashitaka ya kutumia vibaya madaraka kwa kutoa zabuni ya usambazaji wa vifaa kwa kampuni inayomilikiwa na mkewe.
10 years ago
Mwananchi03 Feb
Mke wa Cheka aangua kilio kortini
11 years ago
Habarileo10 Aug
Mke kortini kwa kumfanyia fujo mumewe
MKAZI wa eneo la Majengo mjini Singida, Anna Bonaventure (34) amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Mwanzo Utemini, akikabiliwa na mashitaka ya kumfanyia fujo mumewe, Abdallah Ally (34) kwenye eneo lake la biashara.
10 years ago
Habarileo09 Jan
Nyama ya mbuzi yamkwama kooni, afa, mke aburuzwa kortini
MKAZI wa kijiji cha Nakachindu kata ya Mkundi Halmashauri ya wilaya ya Masasi mkoani hapa, Asumini Bakiri (39) amefikishwa mahakamani kujibu shitaka la mauaji linalomkabili la kumuua mumewe, Simoni Simoni (45).
11 years ago
TheCitizen16 May
Lofty target for Alfa Romeo unrealistic
11 years ago
Tanzania Daima29 Jun
Diamond ampeleka Wema kimataifa
STAA wa muziki wa Bongo fleva nchini, Naseeb Abdul ‘Diamond Platinumz’, amemtanulia wigo wa filamu mpenzi wake Wema Sepetu kwa kumuunganisha na wasanii wa Ghana ili aweze kuwika kimataifa katika...
10 years ago
Mtanzania22 Jan
Wema ampeleka Diamond Polisi
NA MWANDISHI WETU, DAR ES SALAAM
MKALI wa filamu nchini na Miss Tanzania mwaka 2006, Wema Sepetu ‘Wema’, amemfungulia kesi ya madai mpenzi wake wa zamani ambaye ni mwanamuziki wa bongo fleva, Nassib Abdul ‘Diamond’, kwa kumtapeli kiasi cha Sh milioni 10.
Kwa mujibu wa mtandao wa Shirika la Utangazaji (BBC) idhaa ya Kiswahili, Wema aliripoti madai yake kituo cha Polisi Oysterbay akidai kuwa alimpatia mwanamuziki huyo kiasi hicho kwa makubaliano ya kazi na kuahidi kumlipa, lakini amekwenda...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/eiC0hTlxr2IH5rZm6MTCT1EfhpA3dDBl-yvr1RCMaIGlPLZDvFL35Jn5jHO-6Ktq5LJGQlQcbeMR2qp3Xt5kNgMPsaDRpYNv/loga.jpg?width=650)
Loga ampeleka Owino Simba B, agoma