Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Exclusive gossip: Paul wa kundi la Psquare ampeleka mwanae klabu ya Chelsea Fc

903696235776098340_188019783Paul Okoye  wa Psquare akiwa na mtoto wake wa kiume, Andre (2) ambaye  pia ameamua kumuingiza mtoto wake huyo kuwa ‘mnazi’ wa klabu ya Chelsea ambapo anamtabilia atakuwa mchezaji wa Kimataifa na wa kulipwa.

Na Andrew Chale, Modewji blog

Ukweli ni kuwa,  wakali wanaotikisa katika muziki, kundi la Psquare linaloundwa na Mapacha ‘kaka wawili’  Peter  na Paul Okoye (Psquare)  ni wanazi wa kutupwa wa timu ya Chelsea Fc  yenye makazi yake  London huku ikitumia uwanja wa  Arena, Stamford Bridge,...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Mke wa Master P ampeleka kortini mwanae, Romeo

Mke wa Master P, Sonya Miller anamshtaki mwanae wa kiume, Romeo, kwa mujibu wa TMZ. Familia ya Master P Sonya anadai kuwa Master P amekuwa akimtumia Romeo kuficha mali zake wakati wa masuala ya talaka yao yakiendelea. Amedai kuwa kampuni ya No Limit Forever iliyokuwa No Limit Records awali ni mfano wa ujanja wa mumewe. […]

 

10 years ago

Dewji Blog

Exclusive gossip: Bobby Brown Says Bobbi Kristina ‘Is Awake’

720x405-153963570

Bobbi

“I can say today, Bobbi is awake. She’s watching me,” he told a shocked crowd at the Verizon Theater in Dallas, Texas, on Saturday. A video of his statement was posted to Instagram.

The video was captioned, “Theirs [sic] been terrible rumors circulating for months … @kingbobbybrown would like to share a message with you all … From our family to yours … Thank you for all the well wishes and prayers for his daughter #BK …. But let it be known that #GOD holds the glory …. continue to...

 

10 years ago

Dewji Blog

Exclusive gossip: Wabongo ‘wamtibulia’ mwanadada wa Zimbabwe kwa Amber Rose Instagram

11174943_835331553170384_3503190908409502878_n

Picha hii  ndio iliyozua ‘zengwe’ baada ya watanzania waishio Bongo na UK kutukanana matusi na Wazimbabwe waishio Uingereza (UK), ambapo hata hivyo, AmberRrose ameiondoa katika mtandao wake wa Instagram baada ya kuogopa uvunjikaji wa amani baina ya Tanzania na Zimbabwe.

Na Andrew Chale wa Modewji blog

Huenda ujapata kusikia hii ambayo ni mpya kabisa na hata kama umeisikia basi ni juu juu, ukweli ni kuwa, Watanzania mbalimbali ambao wanatumia Instagram (IG ) walio fans wa  video queen,...

 

10 years ago

Dewji Blog

Exclusive gossip:Diamond Platnumz aongoza kuwa na wafuasi wengi mtandao wa Instagram

DIAMOND789

 

Diamond Platinum mwenye Followers 571K ‘Kings of Instagram fans’ kwa mujibu wa Modewji blog, utafiti uliofanywa na timu nzima ya dewjiblog.com

… afuatiwa kwa karibu na Wema Sepetu ..wamo pia Kajala Masanja, MillardAyo, Veemoney, Zari 

Na Andrew Chale wa MOdewji blog

Huenda bado ujapata kutembelea mitandao ya kijamii ikiwemo Instagrma, Twitter na Facebook ambayo kwa sasa  ndio imekuwa kimbilio la mastaa wengi wa Bongo wakiwemo wa filamu, muziki na watu maalufu.

Uchunguzi wa kina uliofanywa...

 

10 years ago

Dewji Blog

Exclusive gossip: Diamond Platinumz ‘kuwalipia’ Bima ya Afya wakazi 200 wa Tandale

10409754_830601046976768_7274119858185255012_nPost aliyotupia Diamondplatnumz kwenye mtandao wake wa Instagram. alipotembelea ofisi za Edgepoint Company Ltd watoaji wa huduma ya bima ya afya

 

Na Andrew Chale wa Modewji blog

Kitu kingine kwa mwanamuziki anayefaanya vizuri Bongo nan je ya Bongo, Nasib Abdul maalufu kama Diamond Platinumz,  ameweza kuibuka nacho ni suala la kuisaidia jamii ya wakazi wa Tandale, eneo alilozaliwa na kukulia katika maisha yake.

Katika kurasa wake wa Instagram, Diamond Platinumz ama pia akifahamika kama Chibu...

 

10 years ago

Dewji Blog

EXCLUSIVE Gossip: “Dada wa Diamond Platnumz, Esma afunguka juu ya manyanyaso ya #teamWema mtandaoni

11068392_831372470232959_8951500805736951610_n

Esma mdogo wa Diamond Platnumz, aliyevunja ukimya, asubuhi ya leo juu ya kufuatwa fuatwa na watu wanaodaiwa kuwa ni wa marafiki wa Wema Sepetu #teamWema, ambao wamekuwa wakitukana na kumtaka asimsaidie kaka yake juu ya shughuli zake za muziki.

Na Andrew Chale wa Modewji blog

Kuna misemo mingi juu ya mawifi wengi ‘wanagugu’ hasa wa ndugu wa mme, hilo ndilo lililomkuta dada wa mwanamuziki nyota nayefanya vizuri Bongo nan je ya Bongo, Nasib Abdul ‘Diamond Platnumz’ ajulikanaye kwa jina la Esma...

 

10 years ago

Dewji Blog

Exclusive gossip!! Elizabeth Michael ‘Lulu’ atimiza miaka 20, akutwa na majanga makubwa tena?

11141247_829399100430296_1991739193983155009_n

Lulu akiwa kwenye pozi..

  ..Afunga ‘akaunti’ yake ya Instagram kwa siku zisizojulikana  ..Wema Sepetu ampongeza, amuonea huruma kifo cha Seki

 Na Andrw Chale wa Modewji blog

Habari maalum hadi tunakuwekea hapa,  Leo Aprili 16.2015, ni siku ya kipekee kwa muigizaji na Msanii wa filamu na ‘modo’ kwenye matangazo mbalimbali ya Bongo, Elizabeth Michael maalufu kama Lulu ambaye ametimiza miaka 20.

Hata hivyo hadi hivi sasa Lulu ambaye  pia amekuwa na wafuasi wengi kwenye mitandao yake ya...

 

10 years ago

Dewji Blog

Exclusive gossip: Nuh Mziwanda wa Shilole, ‘achafua’ hali ya hewa kwenye mtandao wa Instagram

 

 

sadNuh Mziwanda akiwa na mchumba wake, Shilole

..Maneno  ya ‘Sadd na Sadness’, ‘Women na Woman’ yamtatiza

Na Andrew Chale wa Modewji blog

Huenda hii ikawa ni tabia endelevu kwa baadhi ya mastaa wa Bongo hasa wasanii wa filamu, muziki na watu maalufu kwa kung’ang’ania kuutukuza ‘Umagharibi’, hasa kwa kupenda kutumia lugha ya  Kiingereza ambacho mara zote kimekuwa kikiwatoa jacho..

Hivi sasa Nuh Mziwanda ambaye mwenye mahusiano ya uchumba na  mwimbaji Shilole ameibua mijadara huku wengi...

 

9 years ago

Bongo5

Baba yake Paul Walker naye awashtaki Porsche kwa kifo cha mwanae

Paul-Walker

Baba yake na Paul Walker Jumatano hii amewasilisha mashtaka dhidi ya kampuni ya magari ya Porsche akidai kuwa gari ambalo mwanae alikuwa akiendesha lilikosa vitu vya kiusalama ambavyo vingeweza kuokoa maisha yake.

Paul-Walker

Muigizaji huyo wa Fast & Furious alifariki November 2013 kwenye ajali mbaya ya gari huko Santa Clarita, Calif., iliyomuua pia rafiki yake Roger Rodas, dereva wa gari aina ya 2005 Porsche Carrera GT.

Mashtaka hayo ni kama yale yaliyowasilishwa na mtoto wa Meadow, ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani