Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


‘Bosi’ Tanesco, mke kortini

ALIYEKUWA Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco), William Mhando, amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, akikabiliwa na mashitaka ya kutumia vibaya madaraka kwa kutoa zabuni ya usambazaji wa vifaa kwa kampuni inayomilikiwa na mkewe.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Uhuru Newspaper

Bosi Bandari kortini



 Adaiwa kutoa zabuni kinyume cha sheria Ni ya upanuzi wa gati namba 13 na 14 Dar  
NA FURAHA OMARY
ALIYEKUWA Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA), Ephraim Mgawe na Naibu wake, Hamad Koshuma, wamefikishwa  mahakamani kwa tuhuma za matumizi mabaya ya madaraka.

Vigogo hao wanadaiwa kutoa zabuni ya upanuzi wa gati namba 13 na 14 katika Bandari ya Dar es Salaam  kwa China Communications Construction Company (CCCC), bila ya kutangaza zabuni.
Mgawe na mwenzake walifikishwa...

 

11 years ago

GPL

BOSI ALIYEMNG’ATA HAUSIGELI WAKE KUTINGA KORTINI

Yusta  akiwa hospitalini Mwananyamala alipotembelewa na mtandao huu. …Akipata huduma kutoka kwa muuguzi.  AMINA MAIGE ambaye alikuwa bosi wa hausigeli Yusta Lucas (20) wa jijini Dar es Salaam, atafikishwa mahakamani wakati wowote kwa tuhuma za  kumng’ata sehemu mbalimbali za mwili kwa…

 

10 years ago

Habarileo

Waomba mahakama ikatae ushahidi kesi ya bosi Tanesco

UPANDE wa Utetezi katika kesi inayomkabili aliyekuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco), William Mhando umeiomba mahakama isipokee nakala ya ripoti ya kamati ya tathmini ya zabuni ya Santa Clara Supplies kama sehemu ya ushahidi wa upande wa jamhuri.

 

11 years ago

Mwananchi

Tanesco kupandishwa kortini Mahakama Kuu

Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) leo linafikishwa katika Mahakama Kuu na Kampuni ya MacDonald Live Line Technology likidaiwa fidia baada ya kusitisha mkataba wa kukarabati njia ya umeme kati ya Mikoa ya Arusha na Kilimanjaro.

 

11 years ago

Dewji Blog

Binti wa kazi ajeruhiwa vibaya kwa kumwagiwa uji wa moto na mke wa bosi wake, kisa wivu wa kimapenzi

jeraha

Msichana Jackline Lasway akiwa amelazwa katika wodi ya kina mama namba mbili katika hospitali ya Mkoa wa Singida baada ya kujeruhiwa kwa kumwagiwa uji wa moto wakati akiwa dukani kwa bosi wake eneo la soko kuu Manispaa ya Singida.

Na Mwandishi Wetu , Singida.

Msichana mmoja mkazi wa eneo la Minga Manispaa ya Singida amenusurika kifo baada ya kumwagiwa uji wa moto na mke wa tajiri wake wa dukani  kutokana na kile kinachosadikiwa kuwa ni wivu wa kimapenzi.

Msichana huyo Jackline Lasway...

 

10 years ago

Mwananchi

Mke wa Cheka aangua kilio kortini

Wakati mke wa bondia maarufu nchini, Francis Cheka (32), Toshi Asenga akimwaga machozi mahakamani mumewe alipohukumiwa kifungo cha miaka mitatu jela na kulipa fidia ya Sh1 milioni, mabondia wa zamani, wadau wengine wameshikwa butwaa.

 

11 years ago

Habarileo

Mke kortini kwa kumfanyia fujo mumewe

MKAZI wa eneo la Majengo mjini Singida, Anna Bonaventure (34) amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Mwanzo Utemini, akikabiliwa na mashitaka ya kumfanyia fujo mumewe, Abdallah Ally (34) kwenye eneo lake la biashara.

 

9 years ago

Bongo5

Mke wa Master P ampeleka kortini mwanae, Romeo

Mke wa Master P, Sonya Miller anamshtaki mwanae wa kiume, Romeo, kwa mujibu wa TMZ. Familia ya Master P Sonya anadai kuwa Master P amekuwa akimtumia Romeo kuficha mali zake wakati wa masuala ya talaka yao yakiendelea. Amedai kuwa kampuni ya No Limit Forever iliyokuwa No Limit Records awali ni mfano wa ujanja wa mumewe. […]

 

10 years ago

Habarileo

Aeleza mke wa kigogo Tanesco alivyopata zabuni

 Eva Mhando KAIMU Meneja Mwandamizi wa Ununuzi wa Shirika la Umeme (Tanesco) Makao makuu, Atanaz Kalikamwe ameieleza mahakama jinsi mke wa aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu wa zamani wa shirika hilo, William Mhando alivyopata zabuni ya usambazaji wa vifaa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani