Mke wa Polisi ajinyonga
WATU watatu wameripotiwa kufariki dunia jijini Dar es Salaam katika matukio tofauti, akiwamo mke wa Polisi aliyefariki dunia kwa kujinyonga. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Ilala, Marietha Minangi, alimtaja mke...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi12 Sep
Ajinyonga kwa katani baada ya kunyang’anywa mke
11 years ago
Habarileo19 Mar
Ajinyonga kituo cha Polisi
WATU watatu wamekufa katika matukio tofauti likiwamo la mahabusu kujinyonga akiwa Kituo cha Polisi cha Kati mjini Mbeya. Mahabusu aliyekufa kwa kujinyonga amefahamika kwa jina la Nasson Paulo (70) Mkazi wa Ruiwa wilayani Mbarali.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/U7YWT3FNhpyWgWFPGM2j5WpS7fJwpqTGTNgK4MwCRmexIaiM8Zp6s2Ge6hMzqRN1UCHoPePRD36vW2cr7TPPvXksdV8FCInu/macho.jpg?width=650)
ATEMBEA NA MKE WA POLISI...
10 years ago
Mtanzania31 Mar
Polisi wamhoji mke wa Dk. Slaa
Na Waandishi Wetu, Dar es Salaam
MKE wa Katibu Mkuu wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo(Chadema), Josephine Mushumbusi amehojiwa na Jeshi la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, kuhusu tuhuma za mauaji zinazomkabili mume wake Dk. Wilibrod Slaa.
Katika mahojiano hayo, Mushumbusi alitoa maelezo pamoja na kuelezea tukio la Dk. la kutaka kuwekewa sumu na mlinzi wake Khalid Kagezi.
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana, Dk Slaa alisema kuwa, mkewe ametoa maelezo hayo...
10 years ago
Vijimambo31 Mar
Mke wa Slaa ahojiwa polisi kwa saa tatu.
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Dr%20Slaa%20na%20Mkewe-31March2015.jpg)
Mke wa Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk. Willibrod Slaa, Josephine Mushumbusi, jana alitoa ushahidi katika Kituo Kikuu cha Polisi jijini Dar es Salaam, kuhusiana na tuhuma zinazomkabili Khalid Kagenzi, za kutaka kumdhuru mumewe.
Kutokana na hatua hiyo ya Mushumbusi, Dk. Slaa alisema tayari wamefunga ushahidi kwa upande wake. Mushumbusi ambaye aliongozana na mumewe, Dk. Slaa walifika katika kituo hicho saa 4:00...
11 years ago
Mwananchi22 Jul
Mke wa polisi afia nyumbani kwa dereva wa bodaboda
10 years ago
Dewji Blog04 Feb
Mke wa Rais wa Ujerumani, Bi Daniella Schadt atembelea Dawati la Jinsia na Watoto katika Kituo cha Polisi Temeke
FINAL_Press Release German First Lady Visit_03022015.docx by moblog
Mke wa Rais wa Ujerumani, Bi Daniella Schadt akisalimiana na maofisa wa Jeshi la Polisi wakati alipotembelea Dawati la Jinsia na Watoto katika Kituo cha Polisi Cha Temeke jana.
Mkuu wa Dawati la Jinsia na Watoto kutoka Jeshi la Polisi Tanzania, DCP Adolphina Chialo akitoa ripoti ya dawati la jinsia na watoto tokea kuanzishwa kwake wakati mke wa rais wa Ujerumani Bi Daniella Schadt alipotembelea dawati la jinsia na...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-0NnbyC9fgxg/Xn3m8An5VzI/AAAAAAALlSg/23AuC6e-pvUhOseL5DzpwNFXwdr81r-8ACLcBGAsYHQ/s72-c/39a1c201-bb67-4b73-aa44-3876b031b88d.jpg)
JESHI LA POLISI KANDA MAALUM DAR ES SALAAM YAWASHIKILIA MUME,MKE KWA TUHUMA ZA KUENEZA TAARIFA ZA UONGO KUHUSU CORONA
Na Said Mwishehe,Michuzi Globu ya jamii
JESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limesema linawashikilia watu wawili ambao ni mume na mke kwa tuhuma na kueneza taarifa za uongo kwa wananchi kuhusu ugonjwa COVID-19(Corona) na kwamba watafikishwa mahakamani wakati wowote.
Akizungumza leo Machi 27 mwaka 2020 ,Kamanda wa Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam Lazaro Mambosasa amesema watu hao wamekamatwa Machi 20 mwaka huu saa saba mchana wakiwa kwenye daladala aina ya Toyota DCM...