Polisi wamhoji mke wa Dk. Slaa
Na Waandishi Wetu, Dar es Salaam
MKE wa Katibu Mkuu wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo(Chadema), Josephine Mushumbusi amehojiwa na Jeshi la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, kuhusu tuhuma za mauaji zinazomkabili mume wake Dk. Wilibrod Slaa.
Katika mahojiano hayo, Mushumbusi alitoa maelezo pamoja na kuelezea tukio la Dk. la kutaka kuwekewa sumu na mlinzi wake Khalid Kagezi.
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana, Dk Slaa alisema kuwa, mkewe ametoa maelezo hayo...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo31 Mar
Mke wa Slaa ahojiwa polisi kwa saa tatu.
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Dr%20Slaa%20na%20Mkewe-31March2015.jpg)
Mke wa Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk. Willibrod Slaa, Josephine Mushumbusi, jana alitoa ushahidi katika Kituo Kikuu cha Polisi jijini Dar es Salaam, kuhusiana na tuhuma zinazomkabili Khalid Kagenzi, za kutaka kumdhuru mumewe.
Kutokana na hatua hiyo ya Mushumbusi, Dk. Slaa alisema tayari wamefunga ushahidi kwa upande wake. Mushumbusi ambaye aliongozana na mumewe, Dk. Slaa walifika katika kituo hicho saa 4:00...
10 years ago
Tanzania Daima30 Sep
Polisi wamhoji Mwenyekiti CHADEMA Singida
JESHI la Polisi mkoani hapa limemuhoji Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mkoa, Shabani Limu kwa zaidi ya saa nne kwa madai ya kuwahamasisha wanachama wa chama hicho...
9 years ago
VijimamboMKE HALALI WA NDOA WA DK.WILBROD SLAA, MBUNGE ROSE KAMILI AMLIPUA DR SLAA
Mbunge wa Viti Maalumu kupitia chadema,Rose Kamili,akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo jioni kuhusiana na tuhuma alizozitoa mume wake kwamba waliishi kwa maisha ya kula mihogo na familia yake ili kuhakikisha chadema inastawi na kuimarika jambo ambalo si la kweli walikuwa na maisha mazuri ya kawaida tu na kusema kuwa Dk.Slaa anapaswa awaombe radhi wataznzania kwa kufafanisha kula mihogo kuwa ni umaskini na kuongeza kwa kusema mbona ukienda katika mahoteli makubwa...
10 years ago
Mwananchi07 Aug
Mke wa Dk Slaa afunguka
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/3ydo-rPuK9rt3empT5Odq9rT4cmZpThBA9l7vL3VKMcPUiDNyXvnPhJz9oDB1HmfbfdGj0ETofH89O1hXVw1zBoiAtlP9s6k/Mke.jpg?width=650)
MKE WA D.K SLAA ALA BATA U.S.A
9 years ago
Mtanzania04 Sep
Mke wa Dk. Slaa Amwaga mboga
AZIZA MASOUD NA SHABANI MATUTU, DAR ES SALAAM
KWA vijana wa mjini, wanaweza kusema kwamba alichofanya Dk. Willibrod Slaa juzi kwa kuachana na siasa na kurusha tuhuma kwa chama chake, ni sawa na kumwaga ugali, na majibu aliyotoa mkewe wa kwanza, Rose Kamili jana, ni sawa na kumwaga mboga.
Mke huyo aliyedai kutelekezwa na Dk. Slaa mwaka 2010 pamoja na watoto, alisema kiongozi huyo ni mwongo na ni dhaifu kwa wanawake.
Akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam jana, Rose alisema...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/lnNHCVxKyAK*j5P-Yq8DdaL1hd1GyGwIfqgHZlHH5tuJkrlkbOnRRxaECXU3qyQd3MMZ8M7jfNCn56ELPNfT1wPnqzqMCYqm/slaa.gif?width=650)
SIRI YA DK. SLAA ANAYO MKE WAKE
9 years ago
Mtanzania05 Sep
Mke mwingine wa Slaa aibua maswali
NA EVANS MAGEGE
HATIMAYE mke mdogo wa Dk. Willibrod Slaa, Josephine Mushumbusi, ameibuka na kujibu baadhi ya hoja ambazo zimekuwa zikielekezwa kwake yeye binafsi na kwa mume wake na zaidi akisema yote yanayosemwa dhidi yao hayako katika fikra zao kwani kwa sasa baada ya kuachana na siasa wanajipanga kuelekea upande mwingine wa kuwa wawekezaji.
Akizungumza na MTANZANIA Jumamosi kwa njia ya simu jana, Mushumbusi aliitaja mipango yao hiyo kuwa ni pamoja na kujenga shule na hospitali.
Mushumbusi...