Mke mwingine wa Slaa aibua maswali
NA EVANS MAGEGE
HATIMAYE mke mdogo wa Dk. Willibrod Slaa, Josephine Mushumbusi, ameibuka na kujibu baadhi ya hoja ambazo zimekuwa zikielekezwa kwake yeye binafsi na kwa mume wake na zaidi akisema yote yanayosemwa dhidi yao hayako katika fikra zao kwani kwa sasa baada ya kuachana na siasa wanajipanga kuelekea upande mwingine wa kuwa wawekezaji.
Akizungumza na MTANZANIA Jumamosi kwa njia ya simu jana, Mushumbusi aliitaja mipango yao hiyo kuwa ni pamoja na kujenga shule na hospitali.
Mushumbusi...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/oJI0y6HlVvRNWLfqSFwFfuMKKwFsMvYVawU-uhNaDGKEBpolVm4tm3aTQeByXkI0Hk3aQcQA4D-mNnHf79RTNfb9Q3SU-oO4/Johari.jpg?width=650)
MTOTO WA JOHARI AIBUA MASWALI
10 years ago
Tanzania Daima06 Dec
Dk. Slaa aibua mapya IPTL
KATIBU Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dk. Wilibrod Slaa, amesema fedha zilizochotwa katika Akaunti ya Tegeta Escrow ni sh bilion 400 badala sh bilioni 306 kama ilivyokaririwa...
11 years ago
Tanzania Daima17 Dec
Dk. Slaa aibua ufisadi CHC
KATIBU Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dk. Willibrod Slaa, amedai kupata nyaraka za siri zinazobainisha ufisadi ulioko nyuma ya mashirika yaliyobinafsishwa chini ya Shirika Hodhi la Serikali...
9 years ago
VijimamboMKE HALALI WA NDOA WA DK.WILBROD SLAA, MBUNGE ROSE KAMILI AMLIPUA DR SLAA
Mbunge wa Viti Maalumu kupitia chadema,Rose Kamili,akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo jioni kuhusiana na tuhuma alizozitoa mume wake kwamba waliishi kwa maisha ya kula mihogo na familia yake ili kuhakikisha chadema inastawi na kuimarika jambo ambalo si la kweli walikuwa na maisha mazuri ya kawaida tu na kusema kuwa Dk.Slaa anapaswa awaombe radhi wataznzania kwa kufafanisha kula mihogo kuwa ni umaskini na kuongeza kwa kusema mbona ukienda katika mahoteli makubwa...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Vf77AmMaeXvV1e9DfNsCUWPIkAYsl42vlJOP--gEm2Xa7PSl2j3USTFLH-3gSNiyu1d6SmMR2o*if1s73gbf-JhLBL2YZycM/bilionea.jpg?width=650)
BILIONEA ALIYEJIUA... MKE WAKE AIBUA MAZITO
11 years ago
Mwananchi28 Jul
Dk Slaa aibua upya sakata la viungo vya maiti vilivyotupwa
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-4lPsTwn7GEc/Vd6Ro6Rg3NI/AAAAAAAH0RU/vmF-Mq65uvM/s72-c/images.jpg)
MKE WANGU ANA MIMBA YA MWANAUME MWINGINE, JE SHERIA INASEMAJE ?
10 years ago
Mwananchi07 Aug
Mke wa Dk Slaa afunguka
9 years ago
Mtanzania04 Sep
Mke wa Dk. Slaa Amwaga mboga
AZIZA MASOUD NA SHABANI MATUTU, DAR ES SALAAM
KWA vijana wa mjini, wanaweza kusema kwamba alichofanya Dk. Willibrod Slaa juzi kwa kuachana na siasa na kurusha tuhuma kwa chama chake, ni sawa na kumwaga ugali, na majibu aliyotoa mkewe wa kwanza, Rose Kamili jana, ni sawa na kumwaga mboga.
Mke huyo aliyedai kutelekezwa na Dk. Slaa mwaka 2010 pamoja na watoto, alisema kiongozi huyo ni mwongo na ni dhaifu kwa wanawake.
Akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam jana, Rose alisema...