Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Dk. Slaa aibua ufisadi CHC

KATIBU Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dk. Willibrod Slaa, amedai kupata nyaraka za siri zinazobainisha ufisadi ulioko nyuma ya mashirika yaliyobinafsishwa chini ya Shirika Hodhi la Serikali...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Tanzania Daima

Msigwa aibua ufisadi mpya misitu

WAKATI Serikali ikiwekeza katika kupambana na ujangili nchini, imebainika kuwa raia kutoka China wamekuwa wakifanya ufisadi katika rasilimali za misitu hali inayohatarisha uhai wa rasilimali hiyo. Akizungumza na Tanzania Daima...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Dk. Slaa aibua mapya IPTL

KATIBU Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dk. Wilibrod Slaa, amesema fedha zilizochotwa katika Akaunti ya Tegeta Escrow ni sh bilion 400 badala sh bilioni 306 kama ilivyokaririwa...

 

9 years ago

Mtanzania

Mke mwingine wa Slaa aibua maswali

josephineNA EVANS MAGEGE

HATIMAYE mke mdogo wa Dk. Willibrod Slaa, Josephine Mushumbusi, ameibuka na kujibu baadhi ya hoja ambazo zimekuwa zikielekezwa kwake yeye binafsi na kwa mume wake na zaidi akisema yote yanayosemwa dhidi yao hayako katika fikra zao kwani kwa sasa baada ya kuachana na siasa wanajipanga kuelekea upande mwingine wa kuwa wawekezaji.

Akizungumza na MTANZANIA Jumamosi kwa njia ya simu jana, Mushumbusi aliitaja mipango yao hiyo kuwa ni pamoja na kujenga shule na hospitali.

Mushumbusi...

 

11 years ago

Mwananchi

Dk Slaa aibua upya sakata la viungo vya maiti vilivyotupwa

Katibu Mkuu wa Chadema, Dk Willbrod Slaa amemtaka Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk Seif Rashid kujiuzulu kutokana na sakata la utupaji viungo vya binadamu katika Bonde la Mto Mpiji, Dar es Salaam.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Dk. Slaa: Bunge lichunguzwe kwa ufisadi

SIKU chache baada ya wabunge kuumbuana kwa kuchukua fedha za safari bila kwenda wanakotakiwa, Katibu Mkuu wa CHADEMA, Dk. Willibrod Slaa, ametaka Ofisi ya Bunge ichunguzwe haraka. Dk. Slaa ametoa...

 

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

SAID KUBENEA AKIMCHAMBUWA DR SLAA na KUMBASHA HARRISON MWAKIEMBE KUHUSU UFISADI WA RICHMOND — KYELA

Mgombea Ubunge wa Jimbo la Ubungo Saidi kubenea

The post SAID KUBENEA AKIMCHAMBUWA DR SLAA na KUMBASHA HARRISON MWAKIEMBE KUHUSU UFISADI WA RICHMOND – KYELA appeared first on Mzalendo.net.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mkulo: Sijauza kiwanja cha CHC

MBUNGE wa Kilosa, Mustapha  Mkulo, ameibuka na kukanusha tuhuma za kuuza kiwanja namba 10 cha Shirika Hodhi la Mali za Serikali (CHC) alipokuwa Waziri wa Fedha. Akizungumza na wazee jimboni...

 

10 years ago

Vijimambo

Ufisadi, ufisadi, ufisadi TRL

Sasa yagundulika aliyeleta mabehewa feki alikuwa na bei ya juu kuliko wote, Aliruhusiwa na kufanyia marekebisho zabuni yake kinyemelaMadudu zaidi yameendelea kuibuka katika sakata la mabehewa feki 274 yaliyonunuliwa na Kampuni ya Reli Tanzania (TRL), na sasa imebainika kuwa kampuni iliyopewa zabuni ya kuleta mabehewa hayo ndiyo iliyokuwa ya bei ya juu zaidi kuliko kampuni 10 zilizokuwa zimeomba na haikuweka dhamana yoyote kama sheria ya manunuzi inavyotaka.

Aidha, imebainika pia kuwa ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani