Dk. Slaa: Bunge lichunguzwe kwa ufisadi
SIKU chache baada ya wabunge kuumbuana kwa kuchukua fedha za safari bila kwenda wanakotakiwa, Katibu Mkuu wa CHADEMA, Dk. Willibrod Slaa, ametaka Ofisi ya Bunge ichunguzwe haraka. Dk. Slaa ametoa...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima17 Dec
Dk. Slaa aibua ufisadi CHC
KATIBU Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dk. Willibrod Slaa, amedai kupata nyaraka za siri zinazobainisha ufisadi ulioko nyuma ya mashirika yaliyobinafsishwa chini ya Shirika Hodhi la Serikali...
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/sc-xA_49dck/default.jpg)
9 years ago
Mzalendo Zanzibar08 Sep
SAID KUBENEA AKIMCHAMBUWA DR SLAA na KUMBASHA HARRISON MWAKIEMBE KUHUSU UFISADI WA RICHMOND — KYELA
Mgombea Ubunge wa Jimbo la Ubungo Saidi kubenea
The post SAID KUBENEA AKIMCHAMBUWA DR SLAA na KUMBASHA HARRISON MWAKIEMBE KUHUSU UFISADI WA RICHMOND – KYELA appeared first on Mzalendo.net.
10 years ago
BBCSwahili04 Aug
UN:Shambulio la Burundi lichunguzwe
10 years ago
Mtanzania08 Jun
Bunge lanusa ufisadi wa Sh Trilioni 1.5
NA ARODIA PETER, DODOMA
KAMATI ya Bunge ya Uchumi, Viwanda na Biashara, imeitaka Serikali kulieleza Bunge matumizi ya zaidi ya Sh trilioni 1.5 ambazo hazina maelezo kutoka Hazina ingawa zinaonekana zimetumika kulipa sehemu ya deni la taifa. Deni a Taifa limeongezeka na kufikia zaidi ya Sh trilioni 40 kwa miaka miwili.
Akiwasilisha maoni ya kamati yake kwa mwaka 2015/2016, mwenyekiti wake, Luhaga Mpina alisema kwa mujibu wa vielelezo vilivyotolewa mbele ya kamati, zilionyesha katika kipindi...
10 years ago
Mwananchi27 Jan
Ufisadi mpya kutikisa Bunge
10 years ago
Vijimambo22 Apr
Ufisadi, ufisadi, ufisadi TRL
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Sitta-22April2015.jpg)
Aidha, imebainika pia kuwa ya...
9 years ago
VijimamboMKE HALALI WA NDOA WA DK.WILBROD SLAA, MBUNGE ROSE KAMILI AMLIPUA DR SLAA
Mbunge wa Viti Maalumu kupitia chadema,Rose Kamili,akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo jioni kuhusiana na tuhuma alizozitoa mume wake kwamba waliishi kwa maisha ya kula mihogo na familia yake ili kuhakikisha chadema inastawi na kuimarika jambo ambalo si la kweli walikuwa na maisha mazuri ya kawaida tu na kusema kuwa Dk.Slaa anapaswa awaombe radhi wataznzania kwa kufafanisha kula mihogo kuwa ni umaskini na kuongeza kwa kusema mbona ukienda katika mahoteli makubwa...
10 years ago
BBCSwahili11 Mar
Manmohan atuhumiwa kwa ufisadi India