Dk Slaa aibua upya sakata la viungo vya maiti vilivyotupwa
Katibu Mkuu wa Chadema, Dk Willbrod Slaa amemtaka Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk Seif Rashid kujiuzulu kutokana na sakata la utupaji viungo vya binadamu katika Bonde la Mto Mpiji, Dar es Salaam.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-hEGkr3BeAhU/U85UqUTHEEI/AAAAAAAF4sg/NnQGo7T4kH0/s72-c/3.jpg)
KAMANDA KOVA AKUTANA NA WANAHABARI KUZUNGUMZIA SWALA NA VIUNGO LA VIUNGO VYA WATU VILIVYOTUPWA
![](http://3.bp.blogspot.com/-hEGkr3BeAhU/U85UqUTHEEI/AAAAAAAF4sg/NnQGo7T4kH0/s1600/3.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-vmL4Qkuabp0/U85UspcLKZI/AAAAAAAF4sk/YNr2OLdZ_8w/s1600/1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-PoWCh_oG1SQ/U85Usj92MDI/AAAAAAAF4so/vt2MAtsvjYQ/s1600/2.jpg)
Chini ni Taarifa Rasmi iliyotolewa leo.
11 years ago
Mwananchi23 Jul
Siri utupaji viungo vya maiti yabainika
10 years ago
Mwananchi07 Aug
Teknolojia ya kutumia viungo vya maiti yanukia Tanzania
10 years ago
Mwananchi05 Apr
Maiti yafukuliwa, yabainika kukatwa baadhi ya viungo
11 years ago
Tanzania Daima17 Dec
Dk. Slaa aibua ufisadi CHC
KATIBU Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dk. Willibrod Slaa, amedai kupata nyaraka za siri zinazobainisha ufisadi ulioko nyuma ya mashirika yaliyobinafsishwa chini ya Shirika Hodhi la Serikali...
10 years ago
Tanzania Daima06 Dec
Dk. Slaa aibua mapya IPTL
KATIBU Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dk. Wilibrod Slaa, amesema fedha zilizochotwa katika Akaunti ya Tegeta Escrow ni sh bilion 400 badala sh bilioni 306 kama ilivyokaririwa...
11 years ago
Mwananchi25 Jul
SAKATA LA VIUNGO: Serikali yaingilia kati
11 years ago
CloudsFM18 Jun
FAMILIA YAKATAA KUCHUKUA MAITI MOCHWARI, KISA YANYOFOLEWA VIUNGO
Vurugu kubwa zimetokea katika kijiji cha Buyango wilayani Muleba mkoani Kagera baada ya wazazi kuikataa maiti ya mtoto wao kwa madai amenyofolewa viungo vyake vya mwili hali iliyosababisha polisi kutumia mabomu ya machozi kutawanya makundi yaliyofunga barabara na kubomoa chumba cha kuhifadhia maiti kutafuta viungo hivyo.
9 years ago
Mtanzania05 Sep
Mke mwingine wa Slaa aibua maswali
NA EVANS MAGEGE
HATIMAYE mke mdogo wa Dk. Willibrod Slaa, Josephine Mushumbusi, ameibuka na kujibu baadhi ya hoja ambazo zimekuwa zikielekezwa kwake yeye binafsi na kwa mume wake na zaidi akisema yote yanayosemwa dhidi yao hayako katika fikra zao kwani kwa sasa baada ya kuachana na siasa wanajipanga kuelekea upande mwingine wa kuwa wawekezaji.
Akizungumza na MTANZANIA Jumamosi kwa njia ya simu jana, Mushumbusi aliitaja mipango yao hiyo kuwa ni pamoja na kujenga shule na hospitali.
Mushumbusi...