Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Teknolojia ya kutumia viungo vya maiti yanukia Tanzania

Hii ni teknolojia ya kisasa ya kitabibu ambayo ni ya kutumia viungo vya maiti kuoka maisha ya wengine.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Siri utupaji viungo vya maiti yabainika

>Wakati ikibainika kuwa viungo vya miili ya binadamu vilivyookotwa juzi katika Bonde la Mto Mpiji nje kidogo ya Jiji la Dar es Salaam vilitoka katika Chuo Kikuu cha Kimataifa cha Tiba na Teknolojia (IMTU), jana Jeshi la Polisi liliwatia nguvuni watumishi wanane wa chuo hicho kuhusiana na sakata hilo.

 

11 years ago

Mwananchi

Dk Slaa aibua upya sakata la viungo vya maiti vilivyotupwa

Katibu Mkuu wa Chadema, Dk Willbrod Slaa amemtaka Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk Seif Rashid kujiuzulu kutokana na sakata la utupaji viungo vya binadamu katika Bonde la Mto Mpiji, Dar es Salaam.

 

10 years ago

Mwananchi

Tanzania inajipanga kutumia teknolojia ya GMO katika kilimo

Ni teknolojia inayotarajia kuleta mapinduzi ya kilimo kwa zaidi ya asilimia 70 ya Watanzania ambao wanalima bila tija. Hiyo inaitwa ni teknolojia ya Uhandisi Jeni (GMO).

 

11 years ago

Mwananchi

TEKNOLOJIA: Tanzania tunaweza kutumia ndege zisizotumia rubani

>Hatujaifikia teknolojia hiyo, lakini tunaweza kuwekeza katika ubunifu na kufikia mahali pa kutengeneza au kuzitumia katika shughuli mbalimbali. Nazungumzia ndege zisizo na rubani maarufu kwa jina la ‘Drones’.

 

11 years ago

Michuzi

KAMANDA KOVA AKUTANA NA WANAHABARI KUZUNGUMZIA SWALA NA VIUNGO LA VIUNGO VYA WATU VILIVYOTUPWA

Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam,CP Suleiman Kova akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es salaam leo wakati akitoa taarifa ya tukio la kukutwa kwa viunga vya binadamu liliyotokea jana jioni maeneo ya Bonde la Mbweni,Mpiji. Sehemu ya waandishi wa habari waliohudhulia Mkutano huo wa Kamanda Kova.
Chini ni Taarifa Rasmi iliyotolewa leo.

 

10 years ago

Mwananchi

Maiti yafukuliwa, yabainika kukatwa baadhi ya viungo

Taharuki imetanda kwa wakazi wa Kijiji cha Parknyigoti, Kata ya Ikoma, Wilaya ya Serengeti mkoani baada ya kufukua kaburi la Selina Jumapili na kukutwa sehemu mbalimbali za viungo vikiwa vimekatwa.

 

11 years ago

BBCSwahili

Viungo vya binadamu vyakutwa,Tanzania

Viungo mbali mbali vya binadamu vimekutwa katika eneo la kutupa taka la Bunju mjini Dar es Salaam.

 

11 years ago

CloudsFM

FAMILIA YAKATAA KUCHUKUA MAITI MOCHWARI, KISA YANYOFOLEWA VIUNGO

Vurugu kubwa zimetokea katika kijiji cha Buyango wilayani Muleba mkoani Kagera baada ya wazazi kuikataa maiti ya mtoto wao kwa madai amenyofolewa viungo vyake vya mwili hali iliyosababisha polisi kutumia mabomu ya machozi kutawanya makundi yaliyofunga barabara na kubomoa chumba cha kuhifadhia maiti kutafuta viungo hivyo.

Vurugu hizo zimetokea baada ya mama mmoja mkazi wa Arusha aliyepeleka maiti ya mtumishi wake wa ndani na kuwakabidhi wazazi wake kwa masharti ya kutoifunua hali...

 

11 years ago

Mwananchi

Mbaroni wakidaiwa kusafirisha ‘unga’ kutumia maiti

>Polisi mkoani  Morogoro, wanawashikilia watu watatu kwa tuhuma za kusafirisha maiti inayosadikiwa kuwa na dawa za kulevya.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani