Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mkinga yapigwa tafu ujenzi maabara

KAMPUNI ya saruji Tanga imekabidhi mifuko 1,000 ya saruji kwa ajili ya kusaidia ujenzi wa maabara za sayansi shule za Sekondari wilayani Mkinga mkoani hapa. Msaada huo wenye thamani ya...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Mbopima yapigwa tafu milioni 60/-

JUMUIYA ya Matumizi Bora ya Mali Hai Tarafa ya Idodi na Pawaga mkoani Iringa (Mbomipa), imepewa msaada wa sh milioni 60 na kampuni ya Mkwawa Hunting Safaris ya mjini Iringa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

AFC yapigwa tafu vifaa

TIMU ya AFC ya Arusha imepokea msaada wa vifaa vya michezo zikiwemo jezi, mipira na viatu vyote vikiwa na thamani ya sh milioni 2.5 kutoka Kampuni ya Tanzanite Forever ikiwa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Serengeti Boys yapigwa tafu

KAMPUNI ya Airtel Tanzania imeahidi kuendelea kuunga mkono juhudi za serikali katika kuendeleza michezo nchini ili kuleta ufanisi katika sekta hiyo. Akizungumza kabla ya kukabidhi mipira 100 kwa timu ya...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Ofisi ya Msajili wa Vyama yapigwa ‘tafu’

SERIKALI kupitia Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa, imepokea msaada wa vifaa vya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (Teknohama), vyenye thamani ya zaidi ya sh milioni 200. Vifaa hivyo...

 

9 years ago

Dewji Blog

Hospitali ya Mkoa Singida yapigwa tafu ya mashuka na benki ya Posta nchini

DSC01622

Meneja wa benki ya Posta tawi la Singida, Redenoter Rweyemamu, akizungumza kwenye hafla ya benki hiyo kutoa msaada wa shuka 104 yenye thamani ya zaidi ya shilingi milioni mbili, kwa hospitali ya mkoa mjini hapa, inayokabiliwa na uhaba wa shuka na kusababisha wagonjwa kutumia mashuka yao binafsi kitendo ambacho ni kinyume na taratibu.

DSC01626

Mganga mfawidhi wa hospitali ya mkoa mjini hapa, Dk. Daniel Tarimo, akitoa shukrani zake kwa benki ya posta tawi la Singida mjini kwa msaada wake wa mashuka...

 

10 years ago

Michuzi

UJENZI WA MAABARA: MAHIZA AWATAKA WAKUU WA IDARA WASIKAE OFISINI WAENDE KWENYE KATA,ATAKA MADIWANI WAAHIRISHE VIKAO VYAO HADI UJENZI UTAKAPOKAMILIKA

Na John Gagarini, Bagamoyo
SUALA la Maabara kwa shule za Sekondari za Kata limeingia kwenye hatua nzito baada ya mkuu wa Mkoa wa Pwani Mwantumu Mahiza kuiacha ofisi yake na kuhamia Wilaya ya Bagamoyo ili kuhakikisha agizo la Rais Dk Jakaya Kikwete la kila wilaya iwe imekamilisha ujenzi huo ifikapo Novemba 30 mwaka huu.
Sambamba na hilo mkuu huyo amewataka wakuu wa idara wa Wilaya hiyo kila mmoja kutokaa ofisini na kuchagua kata ya kwenda ili kusimamia ujenzi huo hadi ujenzi wa maabara...

 

10 years ago

Dewji Blog

Raza apiga tafu ujenzi wa kituo cha afya Shelui

JB

Diwani wa Kata ya Shelui (CCM) Omary Kinota JB akizungumza na wananchi wa kijiji cha Nselembwe wakati wa mkutano wa hadhara juu ya maendeleo ya Kata hiyo sambamba na hafla ya kukabidhi mifuko 100 ya saruji kwa ajili ya ujenzi wa kituo cha Afya, mifuko hiyo imetolewa na Mkurugenzi wa Kampuni ya Golden Coach Mohammed Raza.

Na Hillary Shoo, IRAMBA.

TATIZO la kina mama wajawazito na watoto kutembea umbali mrefu kwa ajili ya kutafuta huduma za afya katika Tarafa ya Shelui Wilayani Iramba,...

 

10 years ago

Habarileo

DC Mpwapwa apania ujenzi wa maabara

Mkuu wa Wilaya ya Mpwapwa, Antony MavundeMKUU mpya wa Wilaya ya Mpwapwa mkoani Dodoma, Antony Mavunde ameapishwa jana mjini hapa na Mkuu wa Mkoa wa Dodoma huku akisema kipaumbele chake cha kwanza ni kuhakikisha ujenzi wa maabara unakamilika kwa wakati.

 

10 years ago

Habarileo

Mikoa 6 taabani ujenzi wa maabara

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda.MIKOA sita ‘imevurunda’ katika ujenzi wa maabara katika shule za sekondari baada ya kushindwa kufikia malengo. Ni mikoa mitatu pekee ndiyo imefanya vizuri kwa kuvuka nusu ya malengo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani