Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MKUDE SIMBA : Jina linalonogesha redio ya eFM

Pengine kituo cha redio cha eFM ndio habari ya mjini kwa sasa. Kwenye daladala, vijiweni, sokoni na kwenye baa nyakati za asubuhi, lazima ukute watu wanasikiliza redio hiyo ambayo imeanza kwa nguvu mwaka huu kwa kuajiri watangazaji maarufu kutoka vituo mbalimbali vya redio nchini.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo Movies

Kutana na MKUDE SIMBA : Jina Linalonogesha eFM

Pengine kituo cha redio cha eFM ndio habari ya mjini kwa sasa. Kwenye daladala, vijiweni, sokoni na kwenye baa nyakati za asubuhi, lazima ukute watu wanasikiliza redio hiyo ambayo imeanza kwa nguvu mwaka huu kwa kuajiri watangazaji maarufu kutoka vituo mbalimbali vya redio nchini.

Lakini kivutio kikubwa na matangazo yake yanayowekwa kwa ajili ya kuitangaza redio hiyo.

Ndani ya matangazo hayo yumo Mkude Simba, ambaye vichekesho anavyobuni huwavunja mbavu wengi.

Vichekesho hivyo huwa katika...

 

11 years ago

GPL

TASWIRA ZA UZINDUZI WA REDIO YA EFm MWEMBE-YANGA, TEMEKE

PNC akiimba kibao chake cha habari ya mjini. Mkude Simba akiwaongoza wapenda burudani kwa kunyoosha mikono juu kama ishara ya kumkumbuka marehemu Sharo. Umati wa watu uliojazana…

 

11 years ago

Michuzi

mambo ya e-fm 93.7 na mkude simba

Hapana shaka umeshamsikia Mkude Simba kwenye mitandao, hasa Whatsapp, akichana watu mbavu kwa lafudhi yake ya Kiluguru na vituko kibao. Kama hujamsikia basi Mkude Simba ndio gumzo la mujini hivi sasa. Naye anapatikana katika kituo kipya cha redio inayokuja juu kwa kasi nchini E-FM 93.7 ambapo usiku ni ngoma ya mchiriku kwa kwenda mbele....Hehehheee Pia kituo hicho cha vijana kinarusha vituzzzz live BOFYA HAPA ama hapo juu katika Globu ya Jamii.

 

11 years ago

GPL

MKUDE SIMBA: AAAAAAAALO!

Staa wa Muziki na Vichekesho Bongo, Musa Yusuf, a.k.a Mkude Simba akiwa kwenye mahojiano aliyofanya na Global TV Online.
Makala: Shani Ramadhai
AAAAAAAAALO ndiyo msemo unaomtambulisha kwa sasa. Anaijiita Mkude Simba, ametumia jina hilo kama ‘brand’ ya mfumo mpya wa uchekeshaji. Amekubalika na sasa ndiyo habari, kila mtu utamsikia akisema; ‘aaaaaalo, naongea na Mkunde Simba?’.… ...

 

10 years ago

GPL

Mkude: Sijasaini Simba

Kiungo wa Simba, Jonas Mkude. HABARI ni kuwa, Klabu ya Yanga inamhitaji kwa nguvu zote kiungo wa Simba, Jonas Mkude ambaye ili kumshawishi abaki klabuni hapo, uongozi wa Simba ukaamua kumpa gari, lakini mchezaji huyo ametoa kauli nzito. Mkude ambaye amekabidhiwa gari aina ya Toyota GX 115, ameliambia gazeti hili kuwa, mkataba wake na Simba uliobaki ni ule wa miezi sita pekee na kusisitiza kuwa hajasaini mkataba wowote...

 

9 years ago

Mwananchi

Mkude kujifua kinoma Simba

Kiungo mkabaji wa Simba, Jonas Mkude amedhamiria kufanya mazoezi mara mbili zaidi ili kupigania namba kikosi cha kwanza msimu huu.

 

10 years ago

Mwananchi

Mkude awazia ubingwa Simba

Kiungo wa Simba, Jonas Mkude amesema ushindi wa kwanza walioupata dhidi ya Ruvu Shooting umewapa morali na watahakikisha hawarudi nyuma na watajitahidi watwae ubingwa msimu huu.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani