Kutana na MKUDE SIMBA : Jina Linalonogesha eFM
Pengine kituo cha redio cha eFM ndio habari ya mjini kwa sasa. Kwenye daladala, vijiweni, sokoni na kwenye baa nyakati za asubuhi, lazima ukute watu wanasikiliza redio hiyo ambayo imeanza kwa nguvu mwaka huu kwa kuajiri watangazaji maarufu kutoka vituo mbalimbali vya redio nchini.
Lakini kivutio kikubwa na matangazo yake yanayowekwa kwa ajili ya kuitangaza redio hiyo.
Ndani ya matangazo hayo yumo Mkude Simba, ambaye vichekesho anavyobuni huwavunja mbavu wengi.
Vichekesho hivyo huwa katika...
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi06 Sep
MKUDE SIMBA : Jina linalonogesha redio ya eFM
11 years ago
GPLMKUDE SIMBA: AAAAAAAALO!
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-UxYZkcwV3oU/U6XtJibnBVI/AAAAAAAFsNQ/CIU5G42UYZY/s72-c/GlobalPublishertopefm.jpg)
mambo ya e-fm 93.7 na mkude simba
![](http://3.bp.blogspot.com/-UxYZkcwV3oU/U6XtJibnBVI/AAAAAAAFsNQ/CIU5G42UYZY/s1600/GlobalPublishertopefm.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/15pbGCBw7iOD008gYNdIVjhqjqHra5OiFJJDX9mWzcO0XoaGiF*YRMVyU9Upk0Ys9Xy8WxnwLHkthmdIOfvF7DK3maP0mLIP/jonas.jpg?width=650)
Mkude: Sijasaini Simba
10 years ago
Tanzania Daima13 Nov
Mil. 60 zamshika Mkude Simba
HATIMAYE klabu ya Simba imefanikiwa kumbakiza kiungo wake Jonas Mkude aliyekuwa akimezewa mate na timu za Yanga ama Azam FC katika dirisha la usajili linalotarajiwa kufunguliwa Novemba 15, baada ya...
10 years ago
Mwananchi11 Nov
Mkude awazia ubingwa Simba
9 years ago
Mwananchi03 Sep
Mkude kujifua kinoma Simba
10 years ago
Tanzania Daima23 Sep
Jonas Mkude arejea Simba
KIUNGO wa Simba, Jonas Mkude, amerejea rasmi kikosini na kuanza mazoezi baada ya kuwa benchi kwa wiki sita akiwa na majeraha aliyopata akiwa na timu ya soka ya Tanzania, Taifa...
10 years ago
Mwananchi12 Nov
Ivo aitwa Kenya, Mkude ni Simba tu