Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


‘Mkurabita ukieleweka utaimarisha uchumi’

Imeelezwa kuwa kama Mpango wa Kurasimisha Rasilimali na Biashara za Wanyonge Tanzania (Mkurabita) utaeleweka kwa umma, malengo yaliyokusudiwa yatafikiwa kadri uchumi utakavyoimarika.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

IPPmedia

'Mkurabita not doing well'


IPPmedia
'Mkurabita not doing well'
IPPmedia
The Parliamentary Committee on Constitutional, Legal Affairs and Governance has expressed dissatisfaction over the slow pace in the implementation of property and business formalisation programme (Mkurabita) enabling only few natives to benefit from the ...

 

11 years ago

Daily News

MKURABITA gets new chief


Daily News
MKURABITA gets new chief
Daily News
PRESIDENT Jakaya Kikwete has appointed Mr John Chiligati as the new chairman of the executive committee of Property and Business Formalisation Programme (MKURABITA). A press release issued by the State House on Friday stated that Mr Chiligati ...

 

11 years ago

IPPmedia

Chiligati new MKURABITA chairperson


IPPmedia
Chiligati new MKURABITA chairperson
IPPmedia
John Chiligati new Chairperson of the Executive Committee for the Property and Business Formalization Programme (MKURABITA). President Jakaya Kikwete has appointed the Manyoni East MP (CCM) John Chiligati new Chairperson of the Executive ...
MKURABITA gets new chiefDaily News

all 2

 

11 years ago

Tanzania Daima

JK amteua Chiligati Mwenyekiti Mkurabita

RAIS Jakaya Kikwete amemteua Mbunge wa Manyoni Mashariki, Kapteni mstaafu, John Chiligati kuwa Mwenyekiti wa Kamati Tendaji ya Mkurabita kwa miaka mitatu kuanzia Julai Mosi. Sambamba na uteuzi huo, Waziri...

 

10 years ago

Habarileo

Ataka Mkurabita ilete maendeleo

WAKUU wa Wilaya, Wakurugenzi na Wenyeviti wa Halmashauri ambazo zimenufaika na Mpango wa Kurasimisha Rasilimali na Biashara za Wanyonge Tanzania (Mkurabita), wametakiwa kuitumia fursa hiyo kuwapatia wananchi wao maendeleo kwa kutumia rasilimali ardhi katika kukuza uchumi wa taifa.

 

11 years ago

Tanzania Daima

MKURABITA yawataka wajasiriamali kujisajili

MPANGO wa Kurasimisha Rasilimali na Biashara Tanzania (MKURABITA) umewataka wajasiriamali wadogo kusajili biashara zao na kupata mafunzo sahihi ili kufikia malengo yao. Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es...

 

10 years ago

Michuzi

MAELFU YA WANANCHI WA HALMASHAURI TATU ZA MKOA WA MORO WANUFAIKA NAMPANGO WA MKURABITA

 Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Dk.Rajabu Rutengwe kushoto akifurahia jambo na Mratibu wa Mkurabita Saraphia Mgembe.  Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Dk.Rajabu Rutengwe mwenye suti nyeusi akiongoza kucheza ngoma ya Sangula ya wapogolo baada ya kuzindua utoaji wa hati miliki za kimila chini ya Mkurabita wilayani Kilombero. Baadhi ya wananchi mbalimbali wa wilaya ya Kilombero Mkoani Morogoro wakimsiliza Mkuu wa Mkoa wa Morogoro.
KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA. 

 

10 years ago

Michuzi

Mkurabita yaendelea na Urasimishaji biashara na Rasilimali za Wanyonge katika mikoa ya Mbeya, iringa na morogoro

 Mkurugenzi wa Liganga Blacksmith Group,akizungumza na wanahabari na kuwaonyesha bidhaa zinazotengenezwana kampuni hiyo walipoanzia na sasa walipo baada ya kupata mafunzo na kuwa wakopaji wazuri kwenye taasisi za fedha za mkoa huo. Kemy Kiula, Mwenyekiti wa Kikundi cha wanaushirika cha trust deed of the regegistered of Tanzania, akipanga biashara na mwanaushirika mwenzake biashara zao zimerasimishwa na wameanza kujipatia mikopo.  wananchi wa morogoro eneo la kihondana viongozi wa manispaa ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani