MKURANGA WAPATA MSAADA WA MADAWATI
![](http://4.bp.blogspot.com/-695hndKSpVE/VPBzy3DBhxI/AAAAAAAHGPM/5FJ0WUDlRf0/s72-c/g.jpg)
Afisa Elimu Sekondari wa Wilaya ya Mkuranga,Benjamini Majoya akipokea msaada uliotolewa na Kampuni ya Upendo Media Group,Benki ya Maendeleo na Fifa Flow Limited kwa Mteule Msaidizi wa Askofu wa Dayosisi ya Mashariki na Pwani,Chediel Luiza katika hafla ya makabidhiano iliyofanyika katika viwanja vya Azania Front Jijini Dar es Salaam.
Na Chalila Kibuda,Globu ya Jamii.
AFISA Elimu Sekondari,Wilaya ya Mkuranga Benjamini Majoya amekishukuru Kituo cha Radio cha Upendo pamoja na gazeti la Upendo...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog09 Sep
Shule ya msingi Kiimbwa Mkuranga yanufaika na msaada wa Madawati 100 toka KCB Benki
Mwalimu Mkuu wa Shule ya Msingi Kiimbwa iliyopo Wilaya ya Mkuranga Mkoa wa Pwani Eugema Njau(kushoto) akipokea moja ya msaada wa madawati kati ya 100 toka kwa Ofisa Masoko wa Benki ya KCB Tanzania, Margaret Mhina (kulia) Msaada huo ni mwendelezo wa mradi wao wa kugawa madawati 1000 kwa shule za msingi. Wanaoshuhudia wapili kutoka kushoto ni Mwenyekiti wa kijiji Ramadhani Bakari na Meneja wa benki hiyo tawi la Buguruni Luck Mwakitalu.
Ofisa wa Benki ya KCB Tanzania,Magret...
11 years ago
GPLMKURANGA WAPEWA MSAADA WA KISIMA
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-lLDFaJS_1zc/VbChB52hGYI/AAAAAAAC85M/Ag8q4QSZsf4/s72-c/NMB%2B1.jpg)
NMB YATOA MSAADA WA MADAWATI 570
![](http://4.bp.blogspot.com/-lLDFaJS_1zc/VbChB52hGYI/AAAAAAAC85M/Ag8q4QSZsf4/s640/NMB%2B1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-v7MIG6ZLBXk/VbChCICm7oI/AAAAAAAC85I/FZvaOttsoyo/s640/nmb%2B2.jpg)
9 years ago
MichuziNMB YAKABIDHI MSAADA WA MADAWATI HAI
Na...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-P-H746zAgQI/VgkyYPcChjI/AAAAAAAH7jA/La9LVoMwUOU/s72-c/EXIM%2BPIC%2B1..jpg)
BENKI YA EXIM YATOA MSAADA WA MADAWATI SHINYANGA.
![](http://1.bp.blogspot.com/-P-H746zAgQI/VgkyYPcChjI/AAAAAAAH7jA/La9LVoMwUOU/s640/EXIM%2BPIC%2B1..jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-ndjRdgbxPfQ/VgkyYDQ-hpI/AAAAAAAH7jE/t8kh-XYwRqQ/s640/EXIM%2BPIC%2B2.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-HOq1uWtpRNA/VJbyN0z-ylI/AAAAAAACwro/KsF7zRrCNqY/s72-c/MADAWATI_CHANIKA.jpg)
Shirika la PSPF latoa msaada wa madawati jijini Dar
![](http://2.bp.blogspot.com/-HOq1uWtpRNA/VJbyN0z-ylI/AAAAAAACwro/KsF7zRrCNqY/s1600/MADAWATI_CHANIKA.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-oT_oGIZ5VJ0/VJbyM8iswJI/AAAAAAACwrg/fSd7q2DBisE/s1600/MADAWARTI_CHANIKA6.jpg)
11 years ago
Dewji Blog09 Jun
Mbunge wa Mkuranga amwaga msaada kwa wajasiriamali jimboni kwake
Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM) Wilaya ya Mkuranga mkoa wa Pwani, Shabani Mandai,(katikati) akishuhudia vijana wake wakiunganisha cherahani, baada ya kupokea msaada wa cherahani 20 kwa ajili ya wajasiliamali na vifaa vya michezo kwa uongozi wa UVCCM Mkuranga.
Mwakilishi wa Mbunge wa Mkuranga ,Omary Kisigalile (kushoto)akimkabidhi mwenyekiti wa UVCCM Wilaya ya Mkulanga, Shabani Mandai (kulia) Cherehani 20 zilizotolewa na Mbunge wa jimbo hilo kwa ajili ya Vikundi vya...
10 years ago
MichuziTBL YATOA MSAADA WA SH. MIL. 56 ZA KISIMA CHA MAJI MKURANGA
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/sNGui7dfNNbNXrJo1jHZnACj38vZ5eZzQlFHdAOQJd5EnbzZzpSLTtM5rYlEsZ573aScDw91iuiNTXBq2d1NBC4ZiSSjPKD5/PIC1.jpg?width=650)
TPA YAKABIDHI MSAADA WA MADAWATI 110 KWA MKOA WA LINDI