Mkutano wa 67 wa WHA wafunguliwa leo Jijini Geneva,Uswiss
![](http://1.bp.blogspot.com/-Op2KXd2qfcM/U3nErZaq4lI/AAAAAAAFjoQ/oiVKVc8UD0c/s72-c/unnamed+(15).jpg)
Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii,Mh Dkt. Seif Rashid na Waziri wa Afya wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar,Mh. Dkt. Juma Duni wakifuatilia kwa Makini Mkutano wa 67 wa Shirika la Afya Ulimwenguni (WHA) uliofunguliwa leo Jijini Geneva,Uswiss na Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Afya Duniani Dr Margareth Chang.Mada kuu ya Mkutano wa mwaka huu ni "The link between climate and health" yaani Uhusiano kati ya mabadiliko ya tabia nchi na Afya.Vile vile pamoja na Mada nyingi zitakazozungumziwa katika...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-A9qcHEmzQtk/VGYV3rsjhbI/AAAAAAAGxMo/GzzQl909Co4/s72-c/unnamed%2B(34).jpg)
Mkutano wa Mawaziri wa Mifugo wafunguliwa leo jijini Nairobi,Kenya
![](http://2.bp.blogspot.com/-A9qcHEmzQtk/VGYV3rsjhbI/AAAAAAAGxMo/GzzQl909Co4/s1600/unnamed%2B(34).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-n9Jv3cwSdn0/VGYV3jgSZ4I/AAAAAAAGxMw/CVMcTc7YtJs/s1600/unnamed%2B(35).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-2X5s1P6uSC4/VGYV3-ltssI/AAAAAAAGxMs/11S2mxVi7Ik/s1600/unnamed%2B(36).jpg)
10 years ago
Michuzi12 Nov
Mkutano wa Fidic Business Day wafunguliwa leo jijini Dar
![](https://1.bp.blogspot.com/-doRXPRiRwyc/VGNWaSeeXFI/AAAAAAAGwvY/jCDo2cZUOhU/s640/IMG-20141112-WA009.jpg)
![](https://3.bp.blogspot.com/-BqmzrDIpHbM/VGNWbkDEKKI/AAAAAAAGwvg/DVNV5YOOaNA/s640/IMG-20141112-WA007.jpg)
![](https://3.bp.blogspot.com/-KS7xA9LWKkY/VGNWdvJQjqI/AAAAAAAGwvo/ifcSwRQVrcs/s640/IMG-20141112-WA010.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-yljBQVu6lps/VGNWfwnG-FI/AAAAAAAGwvw/FzT7utJPb90/s640/IMG-20141112-WA008.jpg)
9 years ago
Dewji Blog06 Oct
Mkutano wa pili wa mwaka wa Kimataifa wa wataalamu wa kudhibiti Mbu wafunguliwa rasmi leo jijini DAR
Mwele Malecela akifungua mkutano huo wa pili wa mwaka wa kimataifa wa wataalam
wa kudhibiti Mbumbu kwa Nchi zisizofungamana Afrika (PAMCA) ulioanza leo jijini
Dar es Salaam.
Afrika. Mkutano wa kwanza wa Kimataifa wa PAMCA ulifanyika jijini Nairobi Kenya 2014. Dk Malecela amesema kuwa mkutano huu unakutanisha wataalam wa...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-tQcRmLVkjj8/U0ZtZbaP8PI/AAAAAAAFZog/dzGsOo9Sp4g/s72-c/1.jpg)
Mkutano wa 32 wa Sekta ya Fedha, Soko la Mitaji na Mifuko ya Jamii (CISNA) wafunguliwa leo jijini dar
![](http://3.bp.blogspot.com/-tQcRmLVkjj8/U0ZtZbaP8PI/AAAAAAAFZog/dzGsOo9Sp4g/s1600/1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-tTpJKUvZ0Vs/U0ZuTBRMXEI/AAAAAAAFZp4/7Muv0Yu2x5k/s1600/2.jpg)
9 years ago
MichuziMKUTANO WA PILI WA MWAKA WA KIMATAIFA WA WATAALAM WA KUDHIBITI MBU WAFUNGULIWA RASMI JIJINI DAR ES SALAAM LEO
KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA.
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-UIsTBEjK2L8/VmWfMf0Yw-I/AAAAAAAAFHo/d3x0XsDPd5U/s72-c/P%2B1.jpg)
MKUTANO WA MWAKA WA WATAALAMU WA MANUNUZI NA UGAVI WAFUNGULIWA JIJINI ARUSHA.
![](http://4.bp.blogspot.com/-UIsTBEjK2L8/VmWfMf0Yw-I/AAAAAAAAFHo/d3x0XsDPd5U/s640/P%2B1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-ts1PxFz7NYQ/VmWfOxG1FSI/AAAAAAAAFHw/_oCatwEjG9k/s640/P2.jpg)
11 years ago
Dewji Blog11 Apr
Mkutano wa 32 wa Sekta ya Fedha, Soko la Mitaji na Mifuko ya Jamii (CISNA) wafunguliwa jijini Dar
Mgeni rasmi katika Mkutano wa 32 wa Sekta ya Fedha, Soko la Mitaji na Mifuko ya Jamii (CISNA),Katibu Mkuu Ofisi ya Rais,Peter Ilomo akizungumza wakati akifungua mkutano huo ulioanza jana April 10,2014 katika hoteli ya White Sands,Jijini Dar es Salaam.
Sehemu ya Wajumbe wa Mkutano wa 32 wa Sekta ya Fedha, Soko la Mitaji na Mifuko ya Jamii (CISNA) wakiendelea na Mkutano huo uliofunguliwa rasmi jana April 10,2014 na Katibu Mkuu Ofisi ya Rais,Peter Ilomo (katikati mwenye tai nyekundu).
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-cSndD-2fky8/VmnOPw72NAI/AAAAAAAILi4/i9UUHJa0Ix4/s72-c/20151210_155514.jpg)
ushiriki wa Tanzania katika Mkutano wa Shirika la Msalaba Mwekundu Duniani jijini Geneva
![](http://3.bp.blogspot.com/-cSndD-2fky8/VmnOPw72NAI/AAAAAAAILi4/i9UUHJa0Ix4/s640/20151210_155514.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-oWsWtLYYGic/VUzJ2Pgg4vI/AAAAAAAHWTI/-OMOBwNN0OU/s72-c/542.jpg)
Mkutano wa 17 wa Wakuu wa Majeshi ya Anga wa Mataifa ya Kusini mwa Bara la Afrika SADC wafunguliwa leo Zanzibar
![](http://1.bp.blogspot.com/-oWsWtLYYGic/VUzJ2Pgg4vI/AAAAAAAHWTI/-OMOBwNN0OU/s640/542.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-Vb4mDS4lDLU/VUzJ3PEG6xI/AAAAAAAHWTU/QGODmfMEetE/s640/545.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-0eLFizgrrKE/VUzJ1_9qqOI/AAAAAAAHWTM/4gE_eWG7K6Y/s640/523.jpg)
Baadhi ya washiriki wa Mkutano wa 17 wa Wakuu wa Majeshi ya Anga wa...