Mkutano wa kimataifa wa Wizara ya Madini kufanyka februari 22-23 jijini Dar
![](https://1.bp.blogspot.com/-p7Qyx_boTaE/Xk02jrJmQFI/AAAAAAALeU0/1DsfDcyuvyARVvDMdge1ty50peBIK2xfgCLcBGAsYHQ/s72-c/1-50.jpg)
KATIBU Mkuu wa Madini, Profesa Simon Msanjila ameeleza kuwa Serikali kupitia Wizara ya Madini imeandaa mkutano wa kimataifa wa Madini na Uwekezaji unaotarajia kufanyika tarehe 22 na 23 mwezi Februari 2020 katika ukumbi wa mikutano wa kimataifa wa Mwl. J. K Nyerere jijini Dar es Salaam.Amebainisha kuwa serikali imeamua mikutano hiyo kufanyika kila mwaka tarehe 22 na 23 ya mwezi Februari huku ikiwakutanisha wadau mbalimbali wa madini kutoka nchi mbalimbali duniani.Profesa Msanjila ameyasema...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
VijimamboWIZARA YA MAMBO YA NJE NA USHIRIKIANO WA KIMATAIFA WAFANYA MKUTANO MKUBWA JIJINI DAR ES SALAAM KUJAILI MCHANGO WA DIPLOMASIA KATIKA KUFIKIA DIRA YA TAIFA 2025
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-qeZBLtHd_Dk/VOQNwNQfL6I/AAAAAAAHEO4/QWEqsxA7J1g/s72-c/IMG-20150217-WA0004.jpg)
Mkutano wa Trévo kufanyika hoteli ya Serena jijini Dar Februari 27, 2015
![](http://4.bp.blogspot.com/-qeZBLtHd_Dk/VOQNwNQfL6I/AAAAAAAHEO4/QWEqsxA7J1g/s1600/IMG-20150217-WA0004.jpg)
11 years ago
MichuziMKUTANO WA WADAU WA UONGEZAJI THAMANI MADINI WAFANYIKA JIJINI DAR
10 years ago
MichuziMkutano wa Kimataifa wa Tekinolojia ya Mawasiliano waanza jijini dar
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-VqO3kgZXrzc/UwNZxmclvdI/AAAAAAAFNzM/bLI5B7qHpQI/s72-c/unnamed+(11).jpg)
KATIBU MKUU WA WIZARA YA NISHATI NA MADINI APOKEA MITAMBO YA KUZALISHA UMEME JIJINI DAR LEO
![](http://4.bp.blogspot.com/-VqO3kgZXrzc/UwNZxmclvdI/AAAAAAAFNzM/bLI5B7qHpQI/s1600/unnamed+(11).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-uxO7FD_O4cg/UwNZxxwF44I/AAAAAAAFNzU/kwfQPBPWDR0/s1600/unnamed+(12).jpg)
10 years ago
MichuziKAIMU MKURUGENZI WA SHIRIKA LA STAMICO ATEMBELEA MABANDA YA WIZARA YA NISHATI NA MADINI KWENYE MAONESHO YA UTUMISHI WA UMMA JIJINI DAR
10 years ago
Mtanzania16 Feb
Wizara ya Nishati na Madini yang’ara kimataifa
Na Teresia Mhagama
WIZARA ya Nishati na Madini, imepata tuzo ya ki¬mataifa ya mwaka ya Maendeleo ya Udhibiti wa sekta ndogo ya mafuta na gesi.
Tuzo hiyo ya mwaka 2014 inayotolewa na Kampuni ya Kimataifa ya Wildcat International ya nchini Marekani kupitia machapisho yake maarufu duniani ya The Oil & Gas Year (TO&GY), imekabidhiwa rasmi mwishoni mwa wiki jijini Dar es Salaam kwa Waziri wa Nishati na Madini, George Simbachawene kwa niaba ya wizara hiyo.
Tuzo hiyo iliyotolewa na Mratibu wa...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-VEIoIIYbBIU/VNu--ctZIuI/AAAAAAAHDKQ/GcfRhU4sc6s/s72-c/unnamed%2B(64).jpg)
Wizara ya Nishati na Madini yapata tuzo ya Kimataifa
10 years ago
MichuziWAZIRI MEMBE AFUNGUA BARAZA LA TISA LA WAFANYAKAZI LA WIZARA YA MAMBO YA NJE NA USHIRIKIANO WA KIMATAIFA JIJINI DAR LEO.