mkutano wa masuala ya madini wafanyika mjini Morogoro
Kamishna wa Madini, Mhandisi Paul Masanja (kushoto) akieleza jambo kabla ya ufunguzi wa Kikao cha Kazi cha Idara ya Madini. Katikati ni Katibu Tawala wa Mkoa wa Morogoro, Bw. Alfred Shayo ambaye alikuwa Mgeni Rasmi katika kikao hicho.
Katibu Tawala wa Mkoa wa Morogoro, Bw. Alfred Shayo (katikati) akifungua rasmi kikao cha Kazi cha Idara ya Madini kilichofanyika hivi karibuni katika hoteli ya Kings Way ya Mkoani Morogoro. Kushoto ni Kamishna wa Madini, Mhandisi Paul Masanja na kulia ni...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
MichuziMKUTANO WA WADAU WA UONGEZAJI THAMANI MADINI WAFANYIKA JIJINI DAR
10 years ago
MichuziMkutano wa kundi la Afrika wafanyika mjini Washington DC
Akishiriki kikao cha kundi la Africa(African Group one Constituency). Kundi hili hukutana kila kunapokuwa na mikutano ya Shirika la Fedha la Kimataifa na Benki ya Dunia kwa lengo la kuwezesha nchi za Afrika kuwa na sauti moja na kujua hatua ambazo Nchi za Afrika zimefikia kuhusiana na...
11 years ago
Michuzi.jpg)
mkutano wa wadau wa maendeleo kutoka maeneo kame wafanyika leo mjini Singida
.jpg)
10 years ago
VijimamboMKUTANO WA MAJADILIANO YA RIPOTI YA UTEKELEZAJI WA MPANGO WA MAFANIKIO NCHI ZA AFRIKA WAFANYIKA MJINI ABIDJAN
10 years ago
MichuziMKUTANO MKUU WA JUMUIYA YA WAWEKEZAJI WA SEKTA YA UTALII ZANZIBAR (ZATI) WAFANYIKA MJINI UNGUJA
10 years ago
MichuziMKUTANO WA ACT WAZALENDO JIMBO LA MOROGORO MJINI LEO
viongozi wa kitaifa wa ACT wazalendo wakiimba wimbo wa Taifa kabla ya kuanza mkutano wa hadhara jimbo la Morogoro mjini leo
Picha zaidi BOFYA HAPA
10 years ago
Dewji Blog19 Jul
Wananchi wa Morogoro mjini wamnunulia fomu Abood ili aendelee kuwa mbunge wao Jimbo Morogoro mjini

Mbunge wa Jimbo la Morogoro Mjini, Mh Aziz Abood akipokea michango ya wanafunzi waliojitokeza kumchangia mbunge huyu ili achukue fomu ya kugombea tena Ubunge wa Jimbo hilo kupitia Chama cha Mapinduzi Mara baada ya kuridhishwa na utendaji kazi wa Mbunge huyo ambaye amefanya mambo mengi ya maendeleo ikiwemo kuwalipia ada zaidi ya wanafunzi 500 wasiokuwa na uwezo wa kujilipia ada na wanaoishi katika mazingira magumu.
Mbunge wa Jimbo la Morogoro Mjini, Mh Aziz Abood, akipokea kiasi cha...
11 years ago
Michuzi
MKUTANO WA BARAZA LA WAFANYAKAZI IDARA YA POLISI WAFUNGULIWA MJINI MOROGORO



9 years ago
MichuziMKUTANO MKUU WA WANACHAMA WA MUUNGANO WA KLABU ZA WAANDISHI WA HABARI TANZANIA- UTPC MJINI MOROGORO
Hapa ni katika ukumbi wa Flomi Hotel mjini Morogoro ambako leo Ijumaa Novemba 06,2015 kunafanyika mkutano mkuu wa wanachama wa Muungano wa Klabu za waandishi wa habari Tanzania-UTPC wanakutana kujadili mambo mbali mbali ili kuboresha taaluma ya uandishi wa habari nchini Tanzania.Mkutano huo wa siku mbili unakutanisha wenyeviti wa klabu za waandishi wa habari Tanzania,makatibu na waweka hazina.Katika mkutano huo pia utafanyika uchaguzi wa rais wa UTPC na wajumbe wa bodi wa UTPC-Fuatilia picha...
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10