MKUTANO MKUU WA WANACHAMA WA MUUNGANO WA KLABU ZA WAANDISHI WA HABARI TANZANIA- UTPC MJINI MOROGORO
Hapa ni katika ukumbi wa Flomi Hotel mjini Morogoro ambako leo Ijumaa Novemba 06,2015 kunafanyika mkutano mkuu wa wanachama wa Muungano wa Klabu za waandishi wa habari Tanzania-UTPC wanakutana kujadili mambo mbali mbali ili kuboresha taaluma ya uandishi wa habari nchini Tanzania.Mkutano huo wa siku mbili unakutanisha wenyeviti wa klabu za waandishi wa habari Tanzania,makatibu na waweka hazina.Katika mkutano huo pia utafanyika uchaguzi wa rais wa UTPC na wajumbe wa bodi wa UTPC-Fuatilia picha...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi10 Mar
Mkutano Mkuu wa Baraza la Watoto la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania 2014 kufanyika mkoani Morogoro
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-hv_YxStkzss/VL5VfDUgD-I/AAAAAAAG-fI/hv59y4FbTvc/s72-c/unnamed%2B(8).jpg)
MKUTANO MKUU WA BARAZA LA WATOTO WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WAANZA LEO MJINI DODOMA
kila baada ya miaka 2 Baraza la Watoto la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania hufanya mabadiliko ya...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-wycmbTx22Yk/VUm_yGFezhI/AAAAAAAHVsQ/lN2fyQvsOv0/s72-c/coastal.jpg)
TFF yaiagiza Klabu ya Coastal Union kuitisha mkutano mkuu wa dharura wa wanachama
![](http://2.bp.blogspot.com/-wycmbTx22Yk/VUm_yGFezhI/AAAAAAAHVsQ/lN2fyQvsOv0/s1600/coastal.jpg)
Katibu Mkuu wa TFF, Mwesigwa Selestine ameiandikia barua Klabu ya Coastal Union akiiagiza klabu hiyo kuitisha mkutano mkuu wa dharura wa wanachama tarehe 17 Mei mwaka 2015.
Matokeo ya maamuzi haya yamepatikana baada ya kikao cha usuluhishi cha amani kilichoongozwa na Mjumbe wa Kamati ya Utendaji ya TFF, Ahmed Iddi Mgoi...
10 years ago
Dewji Blog06 Jul
Mkutano mkuu wa tatu wa Chama cha waandishi wa habari za uchaguzi wafanyika
![](http://3.bp.blogspot.com/-wYzK7if34r8/VZkSqLXuSVI/AAAAAAAAFM4/XK_LPt5FmJs/s640/kumbumbuku.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-flQ41uBK85o/VZkSqmm-Z2I/AAAAAAAAFNI/Gue5GjAuKIE/s640/mjumbe%2B1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-Hnbq6U7watc/VZkSu_9rquI/AAAAAAAAFNU/-_9q9FhXE_o/s640/mjumbe%2B3.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-pfG8ADxjzXU/VZkSvIhf4tI/AAAAAAAAFNY/ryYbMA66dsQ/s640/mjumbe%2B4.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-lHz2kv7q0PQ/VZkSvYIk_tI/AAAAAAAAFNo/lFAW8fVHKMM/s640/mjumbe%2B5.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-X1K5pxfjzHU/VZkSznZ4F9I/AAAAAAAAFNw/9PXeJuYs7xI/s640/mjumbe%2B6.jpg)
9 years ago
VijimamboMKUU WA MKOA WA DODOMA AFUNGUA MKUTANO WA CHAMA CHA WAANDISHI WA HABARI DODOMA KUHUSU UCHAGUZI MKUU
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-wYzK7if34r8/VZkSqLXuSVI/AAAAAAAAFM4/XK_LPt5FmJs/s72-c/kumbumbuku.jpg)
MKUTANO MKUU WA TATU WA CHAMA CHA WAANDISHI WA HABARI IRINGA (IPC) WA UCHAGUZI
![](http://3.bp.blogspot.com/-wYzK7if34r8/VZkSqLXuSVI/AAAAAAAAFM4/XK_LPt5FmJs/s640/kumbumbuku.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-X1K5pxfjzHU/VZkSznZ4F9I/AAAAAAAAFNw/9PXeJuYs7xI/s640/mjumbe%2B6.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-UhcQEJn1XYQ/VHn9rV-JTnI/AAAAAAAG0Qk/TtyPew4En98/s72-c/unnamed%2B(6).jpg)
HOTUBA YA MHESHIMIWA MIZENGO P. PINDA (MB), WAZIRI MKUU WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, WAKATI WA KUHITIMISHA SHUGHULI ZA MKUTANO WA 16 NA 17 WA BUNGE LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA TAREHE 29 NOVEMBA, 2014
Mheshimiwa Spika,1. Leo tunahitimisha shughuli za Mkutano wa Kumi na Sita na Kumi na Saba wa Bunge lako Tukufu. Ni jambo la kumshukuru Mwenyezi Mungu mwenye wingi wa Rehema kwa kutufikisha salama siku ya leo.
Mheshimiwa Spika,2. Mkutano huu ulijumuisha kujadili kazi kubwa zifuatazo:
Kwanza: Mapendekezo ya Mpango wa Maendeleo wa Taifa kwa Mwaka 2015/2016;
Pili:Muswada wa Sheria ya Usimamizi wa Kodi wa Mwaka 2014 [The Tax Administration...
11 years ago
MichuziWARSHA YA KUWAJENGEA UWEZO WAANDISHI WA HABARI KUHUSU UANDISHI WA HABARI ZA KITAKWIMU YAFANYIKA MKOANI MOROGORO
WAANDISHI wa Habari nchini wametakiwa kutumia taaluma yao kwa ajili ya kuhamasisha Umma kuhusu umuhimu wa Takwimu.
Wito huo umetolewa na Mkurugenzi wa Takwimu za Kiuchumi Morice Oyuke kwa niaba ya Mkurugenzi Mkuu wa Ofisi ya Taifa ya Takwimu Dkt. Albina Chuwa.mjini Morogoro leo asubuhi wakati akifungua Warsha ya siku moja ya kuwajengea uwezo wanahabari kuhusu namna bora ya kuandika habari za kitakwimu.
"Ninyi wanahabari ni muhimu katika masuala...