Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mkuu wa polisi Uganda akemewa

Neno lililo na alama ya reli SomeonetellKayihura linaendelea kutumiwa katika mtandao wa twitter nchini Uganda

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Mwindaji akemewa Facebook

Ukurasa wake wa Facebook umezua hisia kali huku maelfu wakimtaka akome kuwinda barani Afrika.

 

10 years ago

BBCSwahili

Balotelli akemewa kwa kubadilishana jezi

Mkufunzi wa Liverpool amemkumbusha Mario Baloteli kuhusu utamaduni wa soka ya Uingereza na ule wa Liverpool.

 

11 years ago

Raisi Kikwete amteua Kamishna wa Polisi Ernest Mangu kuwa Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini.


THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA
DIRECTORATE OF PRESIDENTIAL COMMUNICATIONS

Telephone: 255-22-2114512, 2116898
E-mail:  ikulumawasiliano@yahoo.com
              press@ikulu.go.tz             
Fax: 255-22-2113425

PRESIDENT’S OFFICE,
      THE STATE HOUSE,
              P.O. BOX 9120,  
DAR ES SALAAM.
Tanzania.

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa ...

 

9 years ago

StarTV

Mkuu wa wilaya wa Kinondoni asifia utendaji  wa Polisi katika uchaguzi mkuu.

Jeshi la Polisi Tanzania limepongezwa kwa kazi  nzuri ya ulinzi wa raia na mali zao hususani katika kipindi cha kampeni za uchaguzi hadi kupiga kura.

Pongezi hizo zimetolewa na Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni na Mwenyekiti Kamati ya Ulinzi na Usalama wa wilaya hiyo, Paul Makonda katika hafla fupi iliyofanyika katika viwanja vya polisi Oysterbay Kinondoni Jijini Dar es salaam.

 Mkuu huyo wa wilaya ya  Kinondoni, Paul Makonda amesema askari wa jeshi la Polisi nchini, wanafanya kazi katika...

 

10 years ago

BBCSwahili

Polisi wanasa vilipuzi Uganda

Polisi nchini Uganda wamenasa vilipuzi na washukiwa 19 kufuatia jaribio la shambulizi la kigaidi.

 

10 years ago

GPL

POLISI WANASA MILIPUKO UGANDA

POLISI nchini Uganda wamekamata kiasi kikubwa cha milipuko walipokuwa wakifanya operesheni ya kutibua jaribio la shambulizi la kigaidi la wanamgambo wa al-Shabab. Hadi sasa, watu 19 wamekamatwa na Jeshi la Polisi na wanahojiwa kuhusiana na nia yao kutekeleza vitendo vya kigaidi, kulingana na msemaji wa polisi. Wiki iliyopita, ubalozi ya Marekani mjini Kampala ulionya kuwa kulikuwa na uwezekano wa shambulizi la kulipiza kisasi...

 

10 years ago

BBCSwahili

Amama Mbabazi azuiwa na Polisi Uganda

Aliyekuwa waziri mkuu wa Uganda, Amama Mbabazi amekamatwa na anazuiwa Njeru katika eneo la kati mwa Uganda.

 

11 years ago

Mwananchi

JKT Mbweni yainyuka Polisi Uganda

Timu ya Tanzania ya JKT Mbweni Wanawake imeanza vyema harakati za kutwaa ubingwa wa Michuano ya Klabu Bingwa Afrika Mashariki ya Netiboli baada ya kuigalagaza Polisi Uganda kwa magoli 42-36 kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.

 

9 years ago

Michuzi

WAZIRI MKUU MIZENGO PINDA AMTEMBELEA WAZIRI MKUU WA UGANDA

 Waziri Mkuu Mizengo Pinda na ujumbe wa Tanzania wakiwa katika picha ya pamoja na Waziri Mkuu wa Uganda Dr Ruhakana Rugunda pamoja na viongozi wa serekalini Uganda.Waziri Mkuu Mizengo Pinda akiongea jambo na Waziri Mkuu wa Uganda Dr Ruhakana Rugunda alipo mtembelea ofisini kwake kushoto ni Kaimu wa Itafaki Tanznia Bw. Jemes Bwana,  Waziri Mkuu yupo Nchini Uganda kumuwakilisha Rais Jakaya Kikwete katika sherehe za Skauti kutimiza mika miamoja nchini Uganda.Picha na Chris Mfinanga.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani