Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mkuu wa Wilaya Karatu atishia kufunga machinjio

Mkuu wa Wilaya ya Karatu ameiagiza Mamlaka ya Chakula na Dawa TFDA kuyafunga machinjio ya Karatu ifikapo tarehe 23 mwezi huu endapo Halmashauri itashindwa kuweka miundombinu ya maji katika eneo hilo.

Agizo hilo linatolewa baada ya Mkuu wa Wilaya kutembelea eneo hilo la machinjio na kukuta hali mbaya ya miundombinu ikiwemo kutokuwepo milango, kukosekana kwa maji, ubovu wa sakafu pamoja na madirisha hali inayoweza kusababisha mlipuko wa magonjwa.

Star tv ilitembelea eneo hilo la machijio na...

StarTV

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Marekani:Trump atishia kufunga mitandao ya kijamii

Rais wa Marekani Donald Trump atishia kudhibiti au kufunga kabisa mitandao ya kjamii nchini humo.

 

9 years ago

Mwananchi

TOCHI YA MOROGORO : Pongezi TFDA kufunga machinjio Morogoro

Panapotokea mtu akafanya kazi nzuri au jambo jema ni vyema akapongezwa kwa hilo, ikiwa kwa kupewa zawadi au kusifiwa.

 

10 years ago

Michuzi

Baadhi ya machinjio jijini Dar es Salaam hayakidhi vigezo vya mazingira ya machinjio - Waziri Mahenge

Na Victor Mariki – Ofisi ya Makamu wa Rais
Baadhi ya machinjio jijini Dar es Salaam hayakidhi vigezo vya mazingira ya machinjio, hali ambayo huatarisha afya za wakazi wanaozunguka maeneo hayo ikiwemo pamoja na wafanyakazi machinjioni humo.
Hayo yalibainika wakati Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu ya Rais - Mazingira, Mh. Binilith Mahenge alipofanya ziara ya ukaguzi mazingira katika baadhi ya machinjio hayo jijini humo leo.
Katika ziara hiyo, Mh. Mahenge alitembelea machinjio ya Ukonga na...

 

11 years ago

Michuzi

MKUU WA WILAYA YA HAI AAINISHA MAAFA YA WILAYA yake, AOMBA MISAADA YA HALI NA MALI

Wapendwa tunahitaji misaada yenu ya hali na mali.Hali halisi ndiyo kama mtakavyoisoma katika hii taarifa kwa ufafanuzi wowote waweza kuwasiliana nami kwa njia hii ama simu yangu +255 713682268 Regards Novatus Makunga Mkuu wa Wilaya ya Hai,  Kilimanjaro

 

10 years ago

Dewji Blog

JK amemteua Bwana Anthony Mavunde kuwa Mkuu wa Wilaya ya Mpwapwa-Dodoma, ,afanya uhamisho wa wakuu 10 wa wilaya

Ikulu-tz

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amemteua Bwana Anthony Peter Mavunde kuwa Mkuu wa Wilaya ya Mpwapwa, Mkoa wa Dodoma, kuanzia leo, Jumatatu, Mei 25, 2015. Aidha, Rais Kikwete amefanya uhamisho wa wakuu 10 wa Wilaya kwa nia ya kuongeza ufanisi katika uongozi wa Wilaya mbali mbali nchini. Katika mabadiliko hayo, Rais Kikwete amemhamisha Luteni Edward Ole Lenga kutoka Wilaya ya Mkalama, Mkoa wa Singida kwenda kuwa mkuu wa wilaya mpya ya Kyerwa, Mkoa...

 

10 years ago

Vijimambo

MWENGE WA UHURU WAKIMBIZWA WILAYA YA KINONDONI MKUU WA WILAYA ATANGAZA AJIRA YA PAPO KWA PAPO

 Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda akiwa ameubeba mwenge wa Uhuru baada ya kukabidhiwa na Mkuu wa Wilaya ya Ilala, Raymond Mushi. Mkuu wa Wilaya ya Ilala, Raymond Mushi (kushoto), akimkabidhi Mwenge wa Uhuru Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda baada ya kumaliza mbio zake wilayani humo Dar es Salaam leo asubuhi. Mwenge huo ulianza mbio zake Wilaya ya Ilala na kuzindua miradi mbalimbali. Kiongozi wa mbio za mwenge kitaifa mwaka 2015, Juma Khatibu Chum (kulia), akisalimia na Meya...

 

9 years ago

Michuzi

MAZISHI YA ALIYEKUWA MKUU WA WILAYA YA MICHEWENI PEMBA ND.JABU KHAMIS MTWANA YALIYOFANYIKA JANA KIJINI KWAO WILAYA YA MICHEWENI

 Jeneza lililobeba mwili wa marehemu.
 Makamu wa pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akishiriki katika mazishi ya aliyekuwa mkuu wa wilaya ya Micheweni Pemba.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani