Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mkwasa kudumu Stars, Simba yapongeza

Baada ya timu ya taifa, Taifa Stars kuonesha kiwango cha kuridhisha, mambo yanaweza kumnyookea kocha wa timu hiyo, Charles Mkwasa kwani sasa huenda akapewa mkataba wa kudumu.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Vijimambo

MKWASA APEWA MKATABA WA KUDUMU STARS


Charles Boniface Mkwasa amepewa mkataba wa kudumu kukinoa kikosi cha timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) kwa kipindi cha mwaka mmoja na nusu kuanzia Oktoba Mosi mwaka huu na kumalizika Machi 31, 2017. 

TFF Imefikia makubaliano hayo na kocha Mkwasa baada ya kurudhika na utendaji wake katika kukinoa kikosi cha timu ya Taifa, ambapo mpaka sasa ameweza kuingoza Stars katika sare ya michezo miwili dhidi ya Uganda na Nigeria. Kufuatia kusaini mkataba huo, Mkwasa atapatiwa huduma na marupurupu...

 

10 years ago

Michuzi

9 years ago

TheCitizen

Mkwasa: Stars can still advance

The national soccer team head coach, Charles Mkwasa, believes that his side will upset Algeria in Algiers tomorrow and book their place in group stage of the 2018 World Cup qualifiers.

 

10 years ago

Michuzi

MKWASA AITA 26 TAIFA STARS

Kocha Mkwasa (kushoto) na msaidizi wake Hemed Morocco wakiongea na waandishi wa habari.TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI - RELEASE NO. 104
TAREHE 24 JUNI 2015
Katibu Mkuu wa Shirikisho la Mpira wa miguu Tanzania (TFF), Mwesigwa Selestine leo amemtambuisha kocha mpya wa timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) Charles Boniface Mkwasa mbele ya waandishi wa habari.

Akiongea na waandishi wa habari, Mwesigwa amewaomba wadau wa mpira wa miguu nchini kuwapa sapoti makocha hao wazawa wanaoanza kazi...

 

9 years ago

Habarileo

Mkwasa aipunguzia dozi Stars

KIKOSI cha Taifa Stars sasa kitaendelea na mazoezi mara moja tu kwa siku kwa siku zote zilizobaki za kambi yake hapa nchini Uturuki. Stars imeweka kambi ya siku nane mjini Kartepe, Uturuki kujiandaa na mechi yake dhidi ya Nigeria itakayofanyika Septemba 5 kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mkwasa kupewa mikoba ya Stars ?

Shirikisho la soka nchini Tanzania lipo mbioni kumtaja kocha atakayerithi mikoba ya aliyekuwa kocha wa Stars, Mdachi Mart Nooij.

 

9 years ago

TheCitizen

Mkwasa salutes Stars players

The national soccer team (Taifa Stars) head coach Boniface Charles Mkwasa has hailed his players for their stunning performance against the Super Eagles in the 2017 AFCON Qualifying match held at the National Stadium in Dar es Salaam on Saturday.

 

9 years ago

Mtanzania

Mkwasa kuongezewa mkataba Stars

Mkwasa-CharlesJUDITH PETER NA JENIFFER ULLEMBO, DAR ES SALAAM

SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF) linafikiria kumpa mkataba wa kudumu kocha mkuu wa timu ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’, Charles Boniface Mkwasa, pamoja na viongozi wengine wa benchi la ufundi baada ya kusaidia kuinua kiwango cha wachezaji ambao wameonekana kufurahia uwepo wake ndani ya kikosi hicho.

Viongozi wengine wa benchi la ufundi wanaofikiriwa ni Kocha Msaidizi, Hemed Morocco, kocha wa makipa Peter Manyika, Meneja Omary Kapilima na...

 

9 years ago

TheCitizen

Mkwasa relishes Stars progress

Taifa Stars coach Charles Mkwasa is pleased with the preparations of the national team ahead of their 2018 World Cup qualifier against Algeria.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani