Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mkwasa looks to solve Stars striking ‘crisis’

Stars showed tremendous improvement on Saturday, but could not execute chances that came on their way

TheCitizen

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

The Guardian

Can Detroit's automakers solve America's ventilator crisis?

Can Detroit's automakers solve America's ventilator crisis?  The GuardianFord and GM are undertaking a warlike effort to produce ventilators. It may fall short and come too late.  The Washington PostFord teaming up with GE Healthcare to produce 50,000 ventilators in next 100 days  WJW FOX 8 News ClevelandWill Detroit automakers' ventilator efforts be too little too late?  Deadline DetroitFord preparing to make 50000 ventilators in 100 days for hospitals amid COVID-19 pandemic  News 5...

 

10 years ago

Michuzi

9 years ago

TheCitizen

Mkwasa: Stars can still advance

The national soccer team head coach, Charles Mkwasa, believes that his side will upset Algeria in Algiers tomorrow and book their place in group stage of the 2018 World Cup qualifiers.

 

9 years ago

Mtanzania

Mkwasa kuongezewa mkataba Stars

Mkwasa-CharlesJUDITH PETER NA JENIFFER ULLEMBO, DAR ES SALAAM

SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF) linafikiria kumpa mkataba wa kudumu kocha mkuu wa timu ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’, Charles Boniface Mkwasa, pamoja na viongozi wengine wa benchi la ufundi baada ya kusaidia kuinua kiwango cha wachezaji ambao wameonekana kufurahia uwepo wake ndani ya kikosi hicho.

Viongozi wengine wa benchi la ufundi wanaofikiriwa ni Kocha Msaidizi, Hemed Morocco, kocha wa makipa Peter Manyika, Meneja Omary Kapilima na...

 

10 years ago

Michuzi

MKWASA AITA 26 TAIFA STARS

Kocha Mkwasa (kushoto) na msaidizi wake Hemed Morocco wakiongea na waandishi wa habari.TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI - RELEASE NO. 104
TAREHE 24 JUNI 2015
Katibu Mkuu wa Shirikisho la Mpira wa miguu Tanzania (TFF), Mwesigwa Selestine leo amemtambuisha kocha mpya wa timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) Charles Boniface Mkwasa mbele ya waandishi wa habari.

Akiongea na waandishi wa habari, Mwesigwa amewaomba wadau wa mpira wa miguu nchini kuwapa sapoti makocha hao wazawa wanaoanza kazi...

 

9 years ago

Raia Tanzania

Mkwasa asifia kiwango Stars

KOCHA wa Timu ya Taifa ‘Taifa Stars’ Boniface Mkwasa ameelezea kufurahishwa na matokeo waliopata juzi katika mchezo wa kufuzu kucheza fainali za Mataifa ya Afrika (Afcon) dhidi ya Nigeria katika Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.

Timu hizo zilitoka sare ya 0-0. Stars wapo nafasi ya tatu katika kundi D baada kupata pointi moja katika michezo miwili waliocheza. Awali walicheza na Misri na kufungwa mabao 3-0 ugenini.

Mkwassa alisema amefurahishwa na kiwango kilichoonyeshwa na kikosi...

 

10 years ago

BBCSwahili

Mkwasa kupewa mikoba ya Stars ?

Shirikisho la soka nchini Tanzania lipo mbioni kumtaja kocha atakayerithi mikoba ya aliyekuwa kocha wa Stars, Mdachi Mart Nooij.

 

9 years ago

TheCitizen

Mkwasa salutes Stars players

The national soccer team (Taifa Stars) head coach Boniface Charles Mkwasa has hailed his players for their stunning performance against the Super Eagles in the 2017 AFCON Qualifying match held at the National Stadium in Dar es Salaam on Saturday.

 

9 years ago

Habarileo

Mkwasa aipunguzia dozi Stars

KIKOSI cha Taifa Stars sasa kitaendelea na mazoezi mara moja tu kwa siku kwa siku zote zilizobaki za kambi yake hapa nchini Uturuki. Stars imeweka kambi ya siku nane mjini Kartepe, Uturuki kujiandaa na mechi yake dhidi ya Nigeria itakayofanyika Septemba 5 kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani