MLANGUZI MKUU WA MADAWA YA KULEVYA BRAZIL AKAMATWA
Mlanguzi mkuu wa madawa ya kulevya Brazil, Mario Sergio Machado Nunes 'O Goiano' akiwa mikononi mwa wanausalama. Mario Sergio Machado Nunes akiwa chini ya ulinzi. wanausalama nchini Brazil baada ya kumtia nguvuni O Goiano. WANAUSALAMA nchini Brazil wamemtia mbaroni mmoja wa walanguzi wakubwa wa madawa ya kulevya nchini humo. Mario Sergio Machado Nunes, ambaye pia anafahamika kama 'O Goiano' amekuwa mafichoni tangu atoroke...
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili20 Sep
Muuzaji madawa ya kulevya mtoro akamatwa Brazil
10 years ago
GPLCHID BENZ AKAMATWA NA MADAWA YA KULEVYA AIRPORT
9 years ago
MichuziMwanasheria Mkuu wa Serikali alia na mtuhumiwa wa madawa ya kulevya
Maombi hayo dhidi ya Muharami na mkewe yaliwasilishwa kwa hati ya dharura mahakamani hapo Septemba 13, mwaka huu mbele ya Jaji Wilfred...
10 years ago
Dewji Blog22 Jan
Kamati ya Masuala ya Ukimwi na Madawa ya Kulevya yajadili Muswada wa Sheria ya Usimamizi na Udhibiti wa Dawa za Kulevya ya mwaka 2014
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia mambo ya Bunge, Sera na Uratibu Mhe. William Lukuvi akifungua kikao cha Kamati ya Masuala ya Ukimwi na Madawa ya Kulevya kujadili Muswada wa Sheria ya Usimamizi na Udhibiti wa Dawa za Kulevya ya mwaka 2014 kilichofanyika 22/01/2015 katika Ukumbi wa Mwalimu Nyerere jijini Dar es Salaam.
Baadhi ya wadau toka Taasisi mbalimbali zisizo za Kiserikali wakichangia mada kupitia vifungu mbalimbali vya Muswada wa Sheria ya Usimamizi na Udhibiti wa...
11 years ago
GPLMADHARA YA MADAWA YA KULEVYA-2
10 years ago
GPLMADAWA YA KULEVYA: DIAMOND KIMENUKA
11 years ago
GPLMADAWA YA KULEVYA YAKAMATWA GEREZA LA KEKO
10 years ago
Bongo Movies11 Aug
Nisha Akana Kukamatwa na Madawa ya Kulevya
Msanii wa tasnia ya Bongo movie nchini Salama Jabu alimaarufu kama Nisha ameibuka na kuwatoa hofu watanzania pamoja na mashabiki wake kuwa hajakamatwa na madawa ya kulevya kama ambavyo taarifa zinavyosambaza katika mitandano ya kijamii.
Nisha kwa sasa yupo nchini China amekanusha taarifa hizo kupitia ukurasa wake wa Instagram baaada ya kuona akiulizwa sana na kupewa pole na watu wake wa karibu. Nisha amesema huwa si kawaida yake kujibu au kutolea ufafanuzi mambo ambayo huwa ni uzushi lakini...