Mlinda mlango Newcastle afariki dunia
PRAGUE, JAMHURI YA CZECH
MLINDA mlango wa zamani wa timu ya Newcastle, Pavel Srnicek, amefariki dunia kutokana na kusumbuliwa na ugonjwa wa moyo.
Nyota huyo ambaye amefariki huku akiwa na umri wa miaka 47, aliugua ugonjwa huo kwa siku tisa na kupoteza maisha yake.
Srnicek, enzi za uhai wake aliwahi kuchezea klabu ya Sheffield Wednesday, Portsmouth West Ham na Newcastle, wakati huo akiitumikia timu ya Taifa ya Jamhuri ya Czech, ambayo aliitumikia kwa michezo 49.
Mchezaji huyo alianza...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo18 Dec
Real Madrid wako tayari kuvunja rekodi ya usajili kwa kumsajili mlinda mlango David De Gea
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/660/amz/worldservice/live/assets/images/2014/10/07/141007144536_david_de_gea_640x360_reuters_nocredit.jpg)
Real Madrid wako tayari kuvunja rekodi ya usajili kwa kumsajili mlinda mlango David De Gea toka klabu ya Man United usajili huu utavunja rekodi ya uhamisho iliyowekwa na kipa Gianluigi Buffon aliehamia Juventus toka Parma.Huku kukiwa na taarifa De Gea anafuraha kubaki na kikosi cha Manchester United na atasaini mkataba mpya .
Timu ya Liverpool imefikia makubaliano ya kumsajili kipa Guillermo Ochoa toka klabu ya Malaga kwa dau la £3milion ili kuwa mbadala wa Simon Mignolet ambae...
10 years ago
Bongo527 Oct
Nahodha na mlinda mlango wa Bafana Bafana Senzo Meyiwa auawa na majambazi
11 years ago
Mwananchi22 Feb
Mtume aliyetabiri mwisho wa dunia afariki dunia
10 years ago
CloudsFM20 Feb
Mez B afariki Dunia
10 years ago
CloudsFM21 Oct
MSANII YP AFARIKI DUNIA
Msanii aliyekuwa mkali wa Bongo Fleva, YP kutoka kundi la wanaume Family amefariki dunia usiku wa kuamkia leo.
Meneja wa kundi hilo Said Fella amethibitisha kutokea kwa msiba wa msanii huyo, aliyefariki kwa maradhi ya kifua katika hospitali ya Temeke, Dar es Salaam.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
Y-P WA TMK AFARIKI DUNIA
11 years ago
Mwananchi23 Jan
Mbunge afariki dunia
10 years ago
Uhuru Newspaper08 Apr
Dk. Mhita afariki dunia
NA MWANDISHI WETU ALIYEKUWA Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Hali ya Hewa (TMA),Dk. Mohamed Mhita, amefariki dunia. Dk. Mhita ambaye pia ni mume wa Mbunge wa Kondoa Kaskazini, Zabein Mhita, anatarajiwa kuzikwa leo baada ya kuwasili kwa mkewe, aliyeko India kwa matibabu. Akizungumza na waandishi wa habari, mtoto wa marehemu, Muhaji Mhita alisema baba yake aliugua maralia, Jumatatu alfajiri na kupelekwa hospitali, ambapo alifariki usiku. Alisema walipofika hospitali walibaini kuwa shinikizo la...