Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mnara mrefu zaidi katika msitu wa Amazon

Mnara wa kimo kirefu zaidi duniani kujengwa katika msitu wa Amazon kusaidia utafiti wa hali ya anga.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Chifu wa miaka 90 aliyepambana kuulinda msitu wa Amazon kwa zaidi ya miaka 50

Wanaharakati wa mazingira na makundi ya wazawa wanasema sera za kiongozi wa Brazil Jair Bolsonaro zimechangia kwa kiasi kikubwauangamizaji wa msitu wa mvua.

 

9 years ago

BBCSwahili

Marais walioongoza muda mrefu zaidi Afrika

Rais wa Congo-Brazzaville Denis Sassou Nguesso ni mmoja wa viongozi wa sasa Afrika waliokaa muda mrefu zaidi uongozi. Wengine ni kina nani?

 

11 years ago

Tanzania Daima

Stars hii inahitaji muda mrefu zaidi kujengwa

DROO ya mechi za awali kuwania tiketi ya kucheza hatua ya makundi ya Kombe la Mataifa Afrika za mwakani nchini Morocco, ilipangwa jana mjini Cairo, Misri. Timu zitakazopenya hatua hiyo...

 

10 years ago

Mwananchi

Gisele Bundchen:Mwanamitindo anayevuta ‘mkwanja’ mrefu zaidi

Fani ya mitindo imekuwa haipewi kipaumbele kikubwa nchini Tanzania na ukanda wa Afrika Mashariki kwa jumla.

 

5 years ago

BBCSwahili

Ndege huyu alisafiri vipi umbali mrefu zaidi duniani?

Kwa kutumia mbinu ya kumuwekea setilaiti ndege, wanasayansi wamemfuatilia ndege ambaye amepaa zaidi ya maili 7,500 (sawa na kilomita 12,000) kutoka Afrika Kusini hadi katika eneo la kuzalia lililopo Mongolia.

 

10 years ago

Vijimambo

KAMPUNI YA SIMU YA TTCL YAZINDUA MNARA WA MAWASILIANO, WAISHIO VIJIJINI KUNUFAIKA ZAIDI

Mwakilishi wa Mkuu wa Wilaya ya Chunya ambaye pia ni Katibu Tawala wa Wilaya ya Chunya, Sosthenes Mayoka akikata utepe kuashiria ufunguzi wa sherehe za kuzindua mnara wa simu ya kampauni ya TTCL katika kijiji cha Shoga wilayani Chunya.
Mkurugenzi wa Kanda ya TTCL akiungana na kikundi cha sanaa kucheza ngoma ya asili ya wakazi wa kijiji cha Shoga katika sherehe za uzinduzi wa mnara wa mawasiliano.Mwakilishi wa Mkuu wa Wilaya ya Chunya ambaye pia ni Katibu Tawala wa Wilaya ya Chunya(DAS),...

 

10 years ago

Bongo5

Ben Pol adai uhusiano wa miezi 9 na Latifa ni mrefu zaidi aliowahi kuwa nao tangu awe staa

Uhusiano na mshindi wa pili wa Miss Tanzania 2013, Latifa Mohamed wenye miezi tisa sasa, ndio uhusiano mrefu zaidi aliowahi kuwa nao Ben Pol tangu awe staa. Ben Pol ameiambia Bongo5 kuwa mahusiano yake yaliyopita yalishindwa kudumu kwakuwa wasichana wengi walikuwa na matarajio makubwa kutoka kwake kwakuwa yeye ni msanii. “Sasa hivi tuna miezi tisa, […]

 

11 years ago

Michuzi

KILWA KISIWANI NA SONGO MNARA YAONDOLEWA KATIKA ORODHA HATARISHI YA UNESCO

Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii Mhe. Mahmoud Mgimwa akipongezwa na mmoja wa wajumbe wanaohudhuria Mkutano wa UNESCO jijini Doha, Qatar kufuatia hatua ya Hifadhi ya Urithi wa Dunia ya Magofu ya Kilwa Kisiwani na Songo Mnara kuondolewa katika orodha ya maeneo ya urithi wa dunia yaliyo hatarini kutoweka na kurudishiwa hadhi yake ya awali ya urithi wa dunia. Wanaoshuhudia ni Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii Bi. Tarishi Kibenga (kati) na Mkurugenzi wa Malikale Bw. Donatius...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani