MNH imenizushia ‘zengwe’-Dk Rashid
Daktari bingwa wa upasuaji katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MNH), Dk Adbulrahman Ismail Rashid, ameulalamikia uongozi wa hospitali hiyo kwa kumfukuza kazi miezi michache baada ya kutoka masomoni nchini Urusi.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/oJI0y6HlVvRW5Z5zK*fG-G*3yOjWx9CAjLntPUPxmrypGRWyFi4dzXzoXB-F9f1g03Izy20-G8VzQgUrVq9klsjrxubXPTKU/BackAmani.jpg?width=650)
ZENGWE MTOTO WA AUNT APIGWA ZENGWE!
Mwandishi wetu
Mtoto wa kike wa staa wa sinema za Kibongo, Aunt Ezekiel Grayson aliyejifungua mwishoni mwa wiki iliyopita na kumpa jina la Cookie (keki ndogo lakini tamu) anaanza kung’aa kwenye vyombo vya habari baada ya baadhi ya watu kumpiga zengwe la madai kwamba eti hafanani na baba yake, Moses Iyobo ‘Moze’. Staa wa sinema za Kibongo, Aunt Ezekiel Grayson. Huku ishu hiyo ikipingwa vikali na Aunt,...
9 years ago
TheCitizen03 Dec
MNH to decongest wards
Authorities at Muhimbili National Hospital (MNH) have embarked on a move to reduce the number of patients who overstay in an effort to find a lasting solution to congestion.
11 years ago
Mwananchi29 Jan
Aga Khan, MNH kushirikiana
Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) imeandaa mkakati wa kuandaa wataalamu wengi wa magonjwa ya moyo kukabiliana na changamoto iliyopo sasa, inayosababisha wagonjwa wengi kusafirishwa nje ya nchi kupata huduma hiyo.
11 years ago
TheCitizen11 Jun
MNH receives new dialysis machine
The Muhimbili National Hospital has received a donation of a Dialysis machine in an effort to improve services for the increasing number of patients with kidney problems at the hospital.
9 years ago
TheCitizen11 Nov
How ministry deal bogged down MNH
The Citizen can reveal today why major medical equipment in most public hospitals, including Muhimbili National Hospital (MHN) are malfunctioning.
10 years ago
Mwananchi08 Nov
MNH walalamikia kukosa mishahara
Wafanyakazi wapya katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili(MNH), wamelalamikia kutolipwa mishahara kwa miezi minne sasa, huku uongozi ukishindwa kuwapa majibu ya ufumbuzi wa tatizo hilo.
11 years ago
Mwananchi28 Feb
NMB yasaidia vifaatiba Amana, MNH
Benki ya NMB imetoa misaada ya vifaatiba mbalimbali kwa Hospitali za Amana na Muhimbili(MNH), ikiwa ni sehemu ya shamrashamra za ufunguzi wa tawi jipya la benki hiyo lililopo,Barabara ya Mandela, Dar es Salaam.
10 years ago
Mwananchi29 Oct
MNH: Tumepandisha gharama kuilipa MSD
 Uongozi wa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MNH) umesema umepandisha gharama za kitanda na chakula ili kuongeza mapato yatakayosaidia kulipa deni la Bohari Kuu ya Dawa (MSD).
11 years ago
Tanzania Daima16 Jan
Majeruhi wa ujambazi Newala aletwa MNH
ASKARI Polisi aliyejeruhiwa kwenye tukio la ujambazi wilayani Newala alisafirishwa jana kwa ndege ya polisi akipelekwa Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) kwa matibabu zaidi. Kwa mujibu wa taarifa ya Kamanda...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania