Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MNH imenizushia ‘zengwe’-Dk Rashid

Daktari bingwa wa upasuaji katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MNH), Dk Adbulrahman Ismail Rashid, ameulalamikia uongozi wa hospitali hiyo kwa kumfukuza kazi miezi michache baada ya kutoka masomoni nchini Urusi.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

ZENGWE MTOTO WA AUNT APIGWA ZENGWE!

Mwandishi wetu
Mtoto wa kike wa staa wa sinema za Kibongo, Aunt Ezekiel Grayson aliyejifungua mwishoni mwa wiki iliyopita na kumpa jina la Cookie (keki ndogo lakini tamu) anaanza kung’aa kwenye vyombo vya habari baada ya baadhi ya watu kumpiga zengwe la madai kwamba eti hafanani na baba yake, Moses Iyobo ‘Moze’. Staa wa sinema za Kibongo, Aunt Ezekiel Grayson. Huku ishu hiyo ikipingwa vikali na Aunt,...

 

9 years ago

TheCitizen

MNH to decongest wards

Authorities at Muhimbili National Hospital (MNH) have embarked on a move to reduce the number of patients who overstay in an effort to find a lasting solution to congestion.

 

11 years ago

Mwananchi

Aga Khan, MNH kushirikiana

Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) imeandaa mkakati wa kuandaa wataalamu wengi wa magonjwa ya moyo kukabiliana na changamoto iliyopo sasa, inayosababisha wagonjwa wengi kusafirishwa nje ya nchi kupata huduma hiyo.

 

11 years ago

TheCitizen

MNH receives new dialysis machine

The Muhimbili National Hospital has received a donation of a Dialysis machine in an effort to improve services for the increasing number of patients with kidney problems at the hospital.

 

9 years ago

TheCitizen

How ministry deal bogged down MNH

The Citizen can reveal today why major medical equipment in most public hospitals, including Muhimbili National Hospital (MHN) are malfunctioning.

 

10 years ago

Mwananchi

MNH walalamikia kukosa mishahara

Wafanyakazi wapya katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili(MNH), wamelalamikia kutolipwa mishahara kwa miezi minne sasa, huku uongozi ukishindwa kuwapa majibu ya ufumbuzi wa tatizo hilo.

 

11 years ago

Mwananchi

NMB yasaidia vifaatiba Amana, MNH

Benki ya NMB imetoa misaada ya vifaatiba mbalimbali kwa Hospitali za Amana na Muhimbili(MNH), ikiwa ni sehemu ya shamrashamra za ufunguzi wa tawi jipya la benki hiyo lililopo,Barabara ya Mandela, Dar es Salaam.

 

10 years ago

Mwananchi

MNH: Tumepandisha gharama kuilipa MSD

 Uongozi wa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MNH) umesema umepandisha gharama za kitanda na chakula ili kuongeza mapato yatakayosaidia kulipa deni la Bohari Kuu ya Dawa (MSD).

 

11 years ago

Tanzania Daima

Majeruhi wa ujambazi Newala aletwa MNH

ASKARI Polisi aliyejeruhiwa kwenye tukio la ujambazi wilayani Newala alisafirishwa jana kwa ndege ya polisi akipelekwa Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) kwa matibabu zaidi. Kwa mujibu wa taarifa ya Kamanda...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani