Mnuso wa Bloggers Watikisa Jiji la Dar, MCT watambua Mchango wa Blogs Tanzania
Mgeni rasmi katika Mnuso wa bloggers ambae pia ni Katibu Mtendaji wa Baraza la Habari Tanzania (MCT) Kajubi Mukajanga akitoa mawili matatu kwa bloggers na kuahidi kuwa kuanzia mwaka huu bloggers wataingia katika tuzo mbalimbali zinazoendeshwa na MCT
Mrs Jeff (kushoto) akiwa na Mrs Ankal (Katikati) na Shamim Mwasha wa 8020 fashion blog wakati wa mnuso wa bloggers
Gadiola kutoka Wazalendo 255 Arusha(Kulia) akiwa na Ankal (Katikati) na ZAinul Mzige kutoka dewji blog
Katibu Mkuu Mtendaji wa...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-IdgqDH3rM-0/VPI9ZpZE1jI/AAAAAAAHGkM/H1JOlrXUjuQ/s72-c/IMG_0049.jpg)
Mnuso wa Tanzania Bloggers Network (TBN) funika bovu dar es salaam serena hotel usiku huu
![](http://2.bp.blogspot.com/-IdgqDH3rM-0/VPI9ZpZE1jI/AAAAAAAHGkM/H1JOlrXUjuQ/s1600/IMG_0049.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-kJV5PC1FJaI/VPI9z3aV4ZI/AAAAAAAHGlA/JbOGq50kOsY/s1600/IMG_0040.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-jbH7ZRipSBk/VPI9oYTe98I/AAAAAAAHGkk/b0cPRpGsbi8/s1600/IMG_0041.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-sD5rse9d_gI/VPI90KRGlfI/AAAAAAAHGk8/BEPKBn2EmVo/s1600/IMG_0054.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-elAZnw7l254/VPI9y1JFzBI/AAAAAAAHGk0/oAGHFRwuNs4/s1600/IMG_0057.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-QJAYgEpGXYU/VGHUUZXzjEI/AAAAAAAGwhc/bK0Q5pm2rgI/s72-c/2.jpg)
TCRA yakutana na wamiliki wa Blogs (Bloggers) Tanzania leo
![](http://1.bp.blogspot.com/-QJAYgEpGXYU/VGHUUZXzjEI/AAAAAAAGwhc/bK0Q5pm2rgI/s1600/2.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-vVm9g08jGEo/VGHT_GrhAlI/AAAAAAAGwgM/DhCwzztWMVM/s1600/10.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-5yda2xCcA5c/VPM5Mrm4ZcI/AAAAAAAHGyA/YVyj30yaZ6w/s72-c/DSC_0271.jpg)
TEAM MICHUZI PRODUCTION YAREKODI KWA WELEDI WA HALI YA JUU MNUSO WA TANZANIA BLOGGERS PARTY SERENA HOTEL JIJINI DAR ES SALAAM
![](http://3.bp.blogspot.com/-5yda2xCcA5c/VPM5Mrm4ZcI/AAAAAAAHGyA/YVyj30yaZ6w/s1600/DSC_0271.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-5yda2xCcA5c/VPM5Mrm4ZcI/AAAAAAAHGyA/YVyj30yaZ6w/s72-c/DSC_0271.jpg)
TEAM MICHUZI PRODUCTION YAREKODI KWA WELEDI WA HALI YA JUU MNUSO WA TANZANIA BLOGGERS PARTY SERENA HOTEL JIJINI DAR ES SALAAM
![](http://3.bp.blogspot.com/-5yda2xCcA5c/VPM5Mrm4ZcI/AAAAAAAHGyA/YVyj30yaZ6w/s1600/DSC_0271.jpg)
10 years ago
Dewji Blog02 Jan
Panya road watikisa jiji la Dar
Kundi linalozaniwa ni la kihalifu maafuru kama “Panya Road” usiku wa leo wametoa hofu kubwa kwa wakazi wa Dar yakiwemo maeneo ya Tandale, Manzese, Magomeni, Mabibo na mengineyo.
Kundi hilo limezua hofu na kusababisha maduka kufungwa mapema huku watu wakikimbia ovyo kwa hofu na shughuli zote kwenye baadhi ya maeneo ya jiji kusimama mpaka pale hali itakapotengemaa.
Imebainika baadhi ya maeneo ni Magomeni, Tabata, Kinondoni na kwingineko kundi hilo limepita na kufanya uhalifu kwa kupora...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-PHlTBLRI_Sc/VTif7Czm57I/AAAAAAABMUc/sRMpiL3FTwk/s72-c/unnamed%2B(2).jpg)
TAARIFA KWA BLOGGERS KUHUSU UANDIKISHAJI WANACHAMA 'TANZANIA BLOGGERS NETWORK' (TBN)
![](http://4.bp.blogspot.com/-PHlTBLRI_Sc/VTif7Czm57I/AAAAAAABMUc/sRMpiL3FTwk/s1600/unnamed%2B(2).jpg)
ni wamiliki na waendeshaji wote wa mitandao ya kijamii (blogs na forums) Tanzania na Watanzania wanaofanya kazi kama hiyo nje ya nchi.
Sifa kuu kwa mwanachama ni kuwa na blog ambayo ina umri wa miezi sita tangu ianze kuendeshwa mfululizo. Kwa wa kazi wa Dar es Salaam wenye sifa ambao wanataka...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-xI-Jr-F9f0I/VPI_91wgq2I/AAAAAAAHGqk/vPtRwWg4Zj0/s72-c/unnamed%2B(65).jpg)
HAFLA YA TANZANIA BLOGGERS NETWORK YAFANA SANA,SERENA HOTEL JIJINI DAR
![](http://1.bp.blogspot.com/-xI-Jr-F9f0I/VPI_91wgq2I/AAAAAAAHGqk/vPtRwWg4Zj0/s1600/unnamed%2B(65).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-CzW7mDLraBg/VPI-CUWXX8I/AAAAAAAHGl0/OLsVthcyDww/s1600/DSC_0015.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-HVQlvuyRVKs/VBGD9UdaHMI/AAAAAAAGi48/olyt84FOuJ0/s72-c/1.jpg)
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AKUTANA NA UONGOZI WA BARAZA LA HABARO TANZANIA (MCT), IKULU DAR LEO
![](http://4.bp.blogspot.com/-HVQlvuyRVKs/VBGD9UdaHMI/AAAAAAAGi48/olyt84FOuJ0/s1600/1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-T_dXjzxthds/VBGD9wYKZMI/AAAAAAAGi5A/xdxAbYJXK48/s1600/4.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-NCMhCwweheM/VZAMsNiUQlI/AAAAAAAC7t0/TJrpy1bswcc/s72-c/11.jpg)
KATIBU MKUU WA CCM NDUGU KINANA NA NAPE NNAUYE WATIKISA JIJI LA MWANZA LEO
![](http://3.bp.blogspot.com/-NCMhCwweheM/VZAMsNiUQlI/AAAAAAAC7t0/TJrpy1bswcc/s640/11.jpg)
Mkutano huo umefanyika kwenye viwanja vya Furahisha, Kirumba jijini Mwanza jioni ya leo. Ndugu Kinana ambaye katika ziara hiyo ameambatana na Katibu wa Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye,...