TCRA yakutana na wamiliki wa Blogs (Bloggers) Tanzania leo
![](http://1.bp.blogspot.com/-QJAYgEpGXYU/VGHUUZXzjEI/AAAAAAAGwhc/bK0Q5pm2rgI/s72-c/2.jpg)
Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA),Prof. John Nkoma akitoa hotuba yake wakati wa ufungumzi wa Mkutano wa Mamlaka ya Mawasiliano nchini na wamiliki wa Blogs (Bloggers) Tanzania wenye lengo la kutoa mafunzo ya namna ya kutoa taarifa mbali mbali wakati wa Chaguzi mbali mbali hapa nchini,uliofanyika leo katika Ukumbi wa Mikutano wa Mlimani City,Jijini Dar es Salaam.Picha zote na Othman Michuzi.
Inginia Andrew Kisaka akitoa Mada katika Mkutano wa Mamlaka ya Mawasiliano...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLTCRA YAWATAKA WAMILIKI BLOGS KUZITUMIA VIZURI WAKATI WA UCHAGUZI
10 years ago
VijimamboMnuso wa Bloggers Watikisa Jiji la Dar, MCT watambua Mchango wa Blogs Tanzania
9 years ago
MichuziNEC YAKUTANA NA WAMILIKI WA VYOMBO VYA HABARI LEO JIJINI DAR ES SALAAM
Mwenyekiti wa Makampuni ya IPP,Dk.Reginard Mengi akichangia maada katika mkutano wa Wamiliki na Vyombo vya habari uliotishwa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) uliofanyika leo katika Hoteli ya Serena jijini Dar es Salaam.
10 years ago
VijimamboWAMILIKI WA BLOGS NCHINI WAPIGWA MSASA
10 years ago
Vijimambo06 Nov
Taarifa ya TCRA kwa wamiliki wa blogu Tanzania
TANZANIA COMMUNICATIONS REGULATORY AUTHORITY
ISO 9001:2008 CERTIFIED
TAARIFA KWA UMMA
MAMLAKA YA MAWASILIANO TANZANIA INAPENDA KUWATANGAZIA WAMILIKI WOTE WA MITANDAO YA KIJAMII “BLOGERS” KUWA KUTAKUWA NA MKUTANO TAREHE 11.11.2014 KUANZIA SAA TATU ASUBUHI UKUMBI WA MLIMANI CITY JIJINI DAR ES SALAAM.
MKUTANO HUO UTAJADILI MATUMIZI YA BLOGS KIPINDI CHA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA WABUNGE NA RAIS KAMA ILIVYOAINISWA KWENYE RASIMU YA MWONGOZO WA MAUDHUI KWA AJILI YA...
10 years ago
Dewji Blog29 Mar
TCRA izimulike blogs ‘Uchwara’ na kuzichukulia hatua kali
“Screen shot” ikionyesha moja ya habari zilizorushwa kwenye moja ya blog uchwara kuhusiana na taarifa za uzushi wa kifo cha mchungaji Gwajima.
…Ni zile zinazoandika habari za uongo, matusi
Na Andrew Chale wa Modewji blog
Miongoni mwa mambo ambayo Tanzania tunapitia kwa sasa ni pamoja na teknolojia mbalimbali ikiwemo mawasiliano ya simu, intaneti vyombo vya habari na mengine mengi, Lakini mawasiliano hayo kwa sasa ikiwemo Intaneti wapo wanayoyatumia vibaya.
Kupitia BLOG, mtandao ambao...
10 years ago
Vijimambo29 Mar
TAHARIRI: TCRA IZIMULIKE BLOGS ‘UCHWARA’ NA KUZICHUKULIA HATUA KALI
![11039142_10200327749914253_7953568182828634952_n](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/03/11039142_10200327749914253_7953568182828634952_n.jpg)
![1](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/03/126.jpg)
Na Andrew Chale wa Modewji blogMiongoni mwa mambo ambayo Tanzania tunapitia kwa sasa ni pamoja na teknolojia mbalimbali ikiwemo mawasiliano ya simu, intaneti vyombo vya habari na mengine mengi, Lakini mawasiliano hayo kwa sasa...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Ok30SVir64kZTliqYXdjrQGBF*mBx**7CXlOWg1lz7eo0MFnh4tDLtQllInDzNtpHrpdEIwI9YjF8NLUWuS1x6Mnv1IrjYcK/GWAJIMA.jpg)
TAHARIRI: TCRA IZIMULIKE BLOGS ‘UCHWARA’ NA KUZICHUKULIA HATUA KALI
10 years ago
Daily News12 Nov
Report on development, TCRA urges bloggers
Daily News
Daily News
THE Tanzania Communications Regulatory Authority (TCRA), Director General, Prof John Nkoma, has stressed the need for bloggers to report issues that foster national development. Opening a one-day seminar for local bloggers on 2014 Code of Conduct ...
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10