Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MO MUSIC: ZAO LA TX MOSHI LINALOBAMBA NA BASI NENDA!

Staa wa muziki wa Bongo Fleva, Mo Music akiwa katika pozi. MAKALA NA MAYASA MARIWATA UKITAKA kuzungumzia ngoma inayotikisa kwa sasa kwenye anga la muziki wa Bongo Fleva katika kipengele cha R&B, basi huwezi kuacha kuijadili ngoma kali inayokwenda kwa jina la Basi Nenda.
Mzigo huo umefanywa na dogo machachari anayetokea pande za Mwanza, Moshi Katemi almaarufu kwa jina la stejini, Mo Music.… ...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo5

New Video: Nedy Music — Nenda Salama

Video mpya kutoka kwa msanii Nedy Music wimbo unaitwa “Nenda Salama” video imeongzwa na Abas Adam

 

9 years ago

Bongo5

Music: Nician — Zao Zangu

Wimbo mpya wa Mwanadada Nician ambaye ni rapper unaitwa “Zao Zangu” Producer ManDvD Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

9 years ago

Bongo5

New Music: Ervixy f/ Belle 9 & Prezzo – Basi

Ngoma mpya kutoka kwa msanii wa Kenya, Ervixy f/ Belle 9 & Prezzo – Basi. Imetayarishwa na Sappy kupitia Sappy Music Lab ya Nairobi Kenya. Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

5 years ago

Michuzi

NAIBU WAZIRI ABDALLAH ULEGA ATOA POLE KWA FAMILIA 21 AMBAZO NDUGU ZAO WAMEFARIKI DUNIA KATIKA AJALI YA BASI MKURANGA

NAIBU Waziri wa Mifugo na Uvuvi Abdallah Ulega ametoa pole kwa familia 21 zilizopata msiba uliotokana na ajali ya basi iliyotokea maeneo ya kilimahewa wilayani Mkuranga mkoani Pwani na kuwataka wananchi kuchukua taadhari dhidi ya ugonjwa wa Corona.                                               Akizungumza na wanafamilia hao aliowatembelea kuwapa pole katika kata saba za Wilaya ya Mkuranga, Ulega aliwapatia kiasi zaidi ya Sh.milioni moja na unga kwa familia hizo za marahemu.                  ...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Moshi yafunika Kili Music Tour

TAMASHA la kwanza linalohusisha ziara ya wanamuziki zaidi ya 10 linalodhaminiwa na bia ya Kilimanjaro Premium Lager, limeanza kwa kishindo mwishoni mwa wiki ambako zaidi ya wakazi 10,000 walihudhuria na...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kilimanjaro Music Tour yabisha hodi Moshi

ZIARA ya Kilimanjaro Music Tour ambayo imeanza kuwa gumzo kwa sasa katika sekta ya burudani, imebisha hodi mjini Moshi ambako wapenzi wa muziki wanatarajiwa kupata burudani ya aina yake kutoka...

 

11 years ago

Michuzi

MOSHI YAFUNIKA TAMASHA LA KILIMANJARO MUSIC TOUR

Wakazi wa mji wa Moshi wakifuatilia tamasha la kwanza la ‘Kilimanjaro Music Tour 2014’ lililofanyika katika Viwanja vya Chuo Shirikishi cha Ushirika na Biashara (MUCCOBs). Kilimanjaro Music Tour inadhaminiwa na Bia ya Kilimanjaro Premium Lager. Msanii wa Muziki wa Kizazi Kipya, Kala Jeremiah akifanya vitu vyake wakati wa tamasha la kwanza la ‘Kilimanjaro Music Tour 2014’ lililofanyika katika Viwanja vya Chuo Shirikishi cha Ushirika na Biashara (MUCCOBs). Kilimanjaro Music Tour...

 

10 years ago

Michuzi

From Moshi to Harvard Presentation by International School Moshi — This Saturday at Seacliff Hotel

International School Moshi welcomes you all to join us for a presentation and find out how we helped one of our students get into Harvard University. When: Feb 14th, 10:00 AM | Where: Sea Cliff Hotel, Dar es Salaam For more info please visit us on www.ismoshiarusha.org

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani