Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Music: Nician — Zao Zangu

Wimbo mpya wa Mwanadada Nician ambaye ni rapper unaitwa “Zao Zangu” Producer ManDvD Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

MO MUSIC: ZAO LA TX MOSHI LINALOBAMBA NA BASI NENDA!

Staa wa muziki wa Bongo Fleva, Mo Music akiwa katika pozi. MAKALA NA MAYASA MARIWATA UKITAKA kuzungumzia ngoma inayotikisa kwa sasa kwenye anga la muziki wa Bongo Fleva katika kipengele cha R&B, basi huwezi kuacha kuijadili ngoma kali inayokwenda kwa jina la Basi Nenda.
Mzigo huo umefanywa na dogo machachari anayetokea pande za Mwanza, Moshi Katemi almaarufu kwa jina la stejini, Mo Music.… ...

 

11 years ago

Michuzi

KATAA UMEME FAMILY YAWAKEMEA WATU WANAOTUMIA PICHA ZAO KWENYE BIASHARA ZAO ZA MADAWA YA KUPUNGUZA UZITO

Kiongozi wa Kikundi cha Kataa Unene Family (KUF) ambaye pia ni mwandishi na mtangazaji wa Televison ya Taifa (TBC1), Angella Msangi amekemea tabia ya baadhi ya wafanyabiashara wanaotumia picha zao ili waweze kuuza biashara zao za madawa ya kupunguza uzito. Akizungumza  kwa masikitiko makubwa, Kiongozi huyo alisema kuwa kuna wafanyabiasha ambao si waaminifu wamekuwa wakichukua picha zao katika mitandao ya jamii na sehemu nyingine na kutangazia biashara zao kuwa hao wametumia dawa zao na...

 

10 years ago

Mwananchi

Kumbukumbu zangu za Afrika Mashariki

Katika makala haya tutawaletea uhakiki mfupi wa kitabu chake kiitwacho “Kumbukumbu zangu za Afrika Mashariki (My Reminiscences of East Africa).

 

9 years ago

Bongo Movies

Niacheni na Fito Zangu-Shilole

Staa mrembo wa Bongo Movies na bongo Fleva Shilole ambae kwa sasa anafanya vizuri na wimbo wake mpya wa 'Nyang'anyang'a' amefunguka na kuwataka watu ambao wanamkejeli kuwa ana miguu mibaya wamuache na miguu yake hiyo.

Shilole jana alipost picha kwenye Instagram ambayo ilikuwa ikionyesha sehemu kubwa ya miguu yake na baadhi ya watu walianza kusema kuwa afunike miguu yake hiyo kwani ni mibaya wengine walionyesha kupenda picha ile huku wengine wakimpa sifa kuwa ni mrembo, lakini hizo comment...

 

11 years ago

Mwananchi

Hapokei, wala hajibu meseji zangu

Shangazi niko kwenye uhusiano na msichana mmoja aliye mbali kwa sasa. Kinachonisibu ni kwamba, ni muda mrefu sasa hapokei simu yangu wala hajibu ujumbe ninaomtumia nifanyeje?

 

10 years ago

GPL

CHUCHU: RAY AMEWAKIMBIZA MARAFIKI ZANGU

Imelda Mtema
Nyota wa filamu Bongo, Chuchu Hans ameibuka na kusema rafiki yake wa kiume, Vincet Kigosi ‘Ray’ amewakimbiza marafiki zake wote kwani tangu waanze uhusiano wao, hawapo karibu naye kwa vile awali walikuwa michepuko yake. Nyota wa filamu Bongo, Vincet Kigosi ‘Ray’ akiwa na mpenz wake Chuchu Hans. Akizungumza na Risasi Mchanganyiko hivi karibuni,  Chuchu alisema baada ya mashostito hao...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Timbulo: ‘Niende Zangu’ hisia za kweli

MSANII wa muziki wa kizazi kipya nchini, Ally Timbulo ‘Timbulo’, amesema wimbo wake aliousambaza hivi karibuni unaokwenda kwa jina la ‘Niende Zangu’, unaelezea historia ya kweli na kwamba ndiyo mwisho...

 

10 years ago

BBCSwahili

Lupita:Najivunia nywele zangu asili

Muigizaji nyota mshindi wa tuzo la Oscar kutoka Kenya bi Lupita Nyon'go amesema kuwa anajivunia kuwa mwanamke mwenye nywele asili

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani